Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 17,080
- 33,076
Ununue gari kwa kabulu au Mzulu hizo mambo utakutana nazo wapi? Pana gari niliwahi nunua jamaa hawajui hata kutoa tairi ya Spare wananiuliza hili tairi tunatoaje harafu huyo huyo umpe kesi ya kurudisha Mileage wao wanachojua ni kuendesha tuu..Usemacho ni sahihi, wanaolalamika gari za south ni mbovu wengi wao walienda kununua kule kwa yard za wanaijeria- Walter Sisulu road….huko ndo kuna ujanja ujanja mwingi!
Na pia wengi ni story za vijiweni tu hawana uhakika na wanachoongea. Napenda sana watu kama Isanga family wenye real life experience ya wanachoandika humu na sio bla bla za vijiweniUsemacho ni sahihi, wanaolalamika gari za south ni mbovu wengi wao walienda kununua kule kwa yard za wanaijeria- Walter Sisulu road….huko ndo kuna ujanja ujanja mwingi!
Mkuu toa codes za namna ya kufikia hii huduma. Nahitaji sana Fuso, Harrier au Hilux Pick up. Ukinipa connection itakuwa njemaMtoa mada umefanya utafiti gani kuhusu hizi gari za kaburu au ndio stories za vijiweni?,sasa soma hii, gari za SA ni bora sana kulinganisha ni mikebe inayokuja nchini kwa meli na nchi inakuwa kama dumping area kwa uchafu huu, gari ya kaburu inatambaa yenyewe na elewa Joberg to Dar ni almost 3500km na ukitokea mother city to Dar ni zaidi ya 5000km, gari za Buru zipo imara sana, maana barabara zao na services za magari haya ni top class, tembea hapa Dar na linganisha gari za mikebe na za buru, royal families zote zinatumia gari za buru, ukihitaji pick up nenda kanunue kwa wakulima wa kikaburu ,saloons cars nenda kanunue kwenye Minada ya banks, epuka kununua gari kwenye showrooms za wapopo utapigwa, wapopo ni kenges wakubwa ndio maana ushelisheli imewapiga marufuku kuingia, hapa wanaingia kama choo
Kwa kweli JF kuna wajuaji wengi wasiojua kitu …binafsi nimenunua gari 3 SA na kuziendesha mwenyewe mpaka bongo. Gari zao ni nzuri na quality ipo juu kwa kweli.Na pia wengi ni story za vijiweni tu hawana uhakika na wanachoongea. Napenda sana watu kama Isanga family wenye real life experience ya wanachoandika humu na sio bla bla za vijiweni
Mara nyingi SA watu wananunua magari kwa kutumia bank ambapo bank wanakuwa wanamkata kila mwezi na iwapo utalikinai gari lako basi unawarudishia wao na unapewa lingine na kukatwa kunaendelea kama kawaida. Sasa hayo magari yalorudishwa ndo bank au financial system iliyonunua ndo inakuja kuyauza laterMkuu toa codes za namna ya kufikia hii huduma. Nahitaji sana Fuso, Harrier au Hilux Pick up. Ukinipa connection itakuwa njema
Kabisa mkuu, kuna watu humu wanapenda kudandia nyuzi na kuandika vitu ambavyo hawavijui. Ni wapotoshaji wakubwa sanaa. Hii tabia wanayo sana wabongo na katika vitu vingi tu. Ukiwasikiliza wabongo unaweza usinunue kitu.Kwa kweli JF kuna wajuaji wengi wasiojua kitu …binafsi nimenunua gari 3 SA na kuziendesha mwenyewe mpaka bongo. Gari zao ni nzuri na quality ipo juu kwa kweli.
Ila ukienda yard za wa-Nigeria utapigwaa fresh tuuu
Uzuri wa gari za SA unakwenda mwenyewe kununua, gari zote hapo juu unaweza kuzipata,code ni wewe mwenyewe kwenda SA, usiwe na haraka ya kupata gari, tembelea hasa sehemu za mashamba kama unahitaji toyota hilux, wazungu gari zao wanazitunza na wengi hawazifanyii modifications nyingi (original ya gari itabakia hivyo),kusanya fedha, panda Bubele bus hadi joberg, then anza msako ,na elewa gari za kwa Zulu natal,eastern cape,western cape, northern cape, zinaweza kuwa na tatizo la mabodi (chumvi ya baharini),tafuta gari hasa North West na Free state, good luck mkuuMkuu toa codes za namna ya kufikia hii huduma. Nahitaji sana Fuso, Harrier au Hilux Pick up. Ukinipa connection itakuwa njema
Usidanganywe Wasauzi gari hawana ujanja wowote wafanye ili wauze gari zipo nyingi kama mchanga na hazina soko....unaweza kwenda mwaka mzima sehemu zingine utakuta gari zipo vile vile na zile zile SA mafundi wengi ni Wageni na ndio wanunuzi wa magari na kuyauza hapo hapo nani afikirie mambo ya kurudisha nyuma hizo Km wao wanazingatia sana Service na wanapouza gari hawatoi kitu kama ilikua na tairi za ziada mbili utapewa hata awe amenunua jana hawana Ujinga wa abadilishe ili akuuzie chakavu harafu auze Tairi peke yake....watu wanauza gari kwa kuwa ameichoka Bima au mawakala wanampa ingine kwa kuendelea kukatwa kwenye mshahara tena hatafu afikirie kufanya nini Wasauzi wengi wanachojua ni kubadili Tairi tu na kuweka maji kwenye Rejetor hata kucheki oil wengine wanapeleka gari Garage ndio anafundishwa huko huwa hawataki kuumiza kichwa...
Acha ubishi, tofautisha story zisizo na uhakika za vijiweni na real life experiences. Watu hizo ndio biashara zaoKwani South wanaishi wasouth pekee yao Chief, wapo mafundi wanaofanya hivyo
Kama wanaishi wasouth peke yao sawa
Acha ubishi, tofautisha story zisizo na uhakika za vijiweni na real life experiences. Watu hizo ndio biashara zao
Kwa nini mnapenda kudanganya watu ili iweje na watu wananunua hayo magari miaka nenda miaka rudi watu tumeanza kununua huko 504 miaka ya 2000 mpaka leo Ford Ranger SA ni uhalifu tuu ndio kikwazo kikubwa cha biashara ila sio ishu nyingine...Kwani South wanaishi wasouth pekee yao Chief, wapo mafundi wanaofanya hivyo
Kama wanaishi wasouth peke yao sawa
Mkuu sidhani kama Upo sahihi. Tuliofanya na wanaofanya manunuzi ya magari South Africa tutakupinga kwa kauli hiiSouth gari rahisi lakini hazina ubora ni bora ukachukua kutoka Japan
Kwa nini mnapenda kudanganya watu ili iweje na watu wananunua hayo magari miaka nenda miaka rudi watu tumeanza kununua huko 504 miaka ya 2000 mpaka leo Ford Ranger SA ni uhalifu tuu ndio kikwazo kikubwa cha biashara ila sio ishu nyingine...
Watu wananunua na wengi kutoka JF sidhani kama wanakusikiliza wapo na mashine zao home...hapa tunapiga story tu mtu na hela zake hawezi kusikiliza hizi mambo wakati gari ananunua ya Insurance...Hakuna uongo hapo tunawashtua watu wasiibiee, wewe ukweli ndio hauutaki
Ukweli ni kwamba gari nyingi za SA zinafutwa km unakuta imetembea km nyingi mno ila mtu akitaka kuuza anaenda kupiga chini hizo km na kutafuta mteja na endapo mtu akiinunua gari ikitembea mwezi tu zile km zinarudi kama kawaida, ukweli ndio huo mkuu hata kama hauutaki