Watu wananunua na wengi kutoka JF sidhani kama wanakusikiliza wapo na mashine zao home...hapa tunapiga story tu mtu na hela zake hawezi kusikiliza hizi mambo wakati gari ananunua ya Insurance...
Kwanini...?Japo zimetembea Sana Ila nyingi zina afadhali kuliko zinazotoka Kwa wavimba macho Japan.
Ushawahi kununua gari South?Hakuna uongo hapo tunawashtua watu wasiibiee, wewe ukweli ndio hauutaki
Ukweli ni kwamba gari nyingi za SA zinafutwa km unakuta imetembea km nyingi mno ila mtu akitaka kuuza anaenda kupiga chini hizo km na kutafuta mteja na endapo mtu akiinunua gari ikitembea mwezi tu zile km zinarudi kama kawaida, ukweli ndio huo mkuu hata kama hauutaki
Mkuu muignore, jamaa analeta story za vijiweniWatu wananunua na wengi kutoka JF sidhani kama wanakusikiliza wapo na mashine zao home...hapa tunapiga story tu mtu na hela zake hawezi kusikiliza hizi mambo wakati gari ananunua ya Insurance...
Ushawahi kununua gari South?
Noma sana!Mtoa mada umefanya utafiti gani kuhusu hizi gari za kaburu au ndio stories za vijiweni?,sasa soma hii, gari za SA ni bora sana kulinganisha ni mikebe inayokuja nchini kwa meli na nchi inakuwa kama dumping area kwa uchafu huu, gari ya kaburu inatambaa yenyewe na elewa Joberg to Dar ni almost 3500km na ukitokea mother city to Dar ni zaidi ya 5000km, gari za Buru zipo imara sana, maana barabara zao na services za magari haya ni top class, tembea hapa Dar na linganisha gari za mikebe na za buru, royal families zote zinatumia gari za buru, ukihitaji pick up nenda kanunue kwa wakulima wa kikaburu ,saloons cars nenda kanunue kwenye Minada ya banks, epuka kununua gari kwenye showrooms za wapopo utapigwa, wapopo ni kenges wakubwa ndio maana ushelisheli imewapiga marufuku kuingia, hapa wanaingia kama choo
Mkuu SA unaweza kuendesha hata Range Rover ya 2023 shida hiyo Vellar iwepo bongo kwa namba za T....EAA kodi yake ni mara mbili ya bei ya Pretoria tunavyonunua SA ukiona mtu ana gari Tanzania ya SA kapambana kweli hizo Nissan pick up tu double cab za 2010 zinauzwa rand 70,000 kodi yake ni Tsh 18M kununua ni Tsh 9m..Nipo SA , mkuu na kuhusu magari ni nabadilisha kila leo karibu
Fresh wakiingia SA siku mbili tatu huwa wanapenda kuwakatisha tamaa wengine wakidhani ndio njia sahihi kwani mimi nikiwa na gari nzuri kutoka SA na mwingine akawa nayo shida ipo wapi hata mtoke mtaa mmoja...maana magari SA hatuwezi kuyamaliza hata twende vijiji na vijiji...Mkuu muignore, jamaa analeta story za vijiweni
SawaNipo SA , mkuu na kuhusu magari ni nabadilisha kila leo karibu
Yani gari unanunua milion 9 halafu Kodi milion 1Mkuu SA unaweza kuendesha hata Range Rover ya 2023 shida hiyo Vellar iwepo bongo kwa namba za T....EAA kodi yake ni mara mbili ya bei ya Pretoria tunavyonunua SA ukiona mtu ana gari Tanzania ya SA kapambana kweli hizo Nissan pick up tu double cab za 2010 zinauzwa rand 70,000 kodi yake ni Tsh 18M kununua ni Tsh 9m..
Na hiyo utaangalia mwaka wa chini ili usilipe kodi kubwa Tanzania wakati mwingine ukienda Yard unakuta gari hiyo hiyo unayohitaji ya 2015 na 2010 au 2007 bei hazijatofautiana ila ukiangalia kikokoteo cha TRA tofauti ya kodi ni kubwa mteja anachukua ya muda mrefu na anaacha ya mwaka wa karibuni kwa sababu ya Kodi kubwa...tunaendesha gari chakavu kwa sababu ya kodi kubwa sana ila huko Sokoni magari hayana bei kubwa kwa hizi used...Yani gari unanunua milion 9 halafu Kodi milion 1
kweli hii ndio Tanzania *****
Volkswagen polo ya kuanzia 2010mpaka bongo inaweza nicost ngapiDaah nimecheka sana aisee...
Acha ufara wanaume wanapoongeaHayaa mjuaji
Baasha wako asiamhiwe ukweli
Acha ufara wanaume wanapoongea
Kula tano hao jamaa wanajua kwenda na fashion za magari haswa na siku hizi hata matajiri wa malori wanachukua mtumba hapo bondeni ukija hapa kwetu unakuta ndio tolea jipya hata pale Saab Scania halipoGari za SA vitu navyozingatia ni mwaka wa gari ni rahisi kupata gari SA miaka ya 2010 kuja mbele mpaka 2015 na hilo gari likiwa na historia nzuri ya Service bila kuruka na kwa bei ambayo inawezekana kulipwa...
Unaweza kununua gari SA kama ilikua na matunzo mazuri haufanyi kitu zaidi ya kuongeza maji na unafika nayo Dalsm...
Kama unajitaji gari nzuri nenda SA utapata gari nzuri kwa uchaguzi wako na kwa bei nzuri wengi wameenda na wamepata gari na yapo makampuni ambayo ukifika unapewa address zao unafanya nao biashara iliyonyooka...
Gari zao wanajali sana matunzo ya matengenezo kutoka kwa Mawakala wa hiyo kampuni ni mara chache sana ukanunua gari huku ikiwa mbovu na ipo yard...
Wao wana gari zao VW, Ford na Toyota zilizo kwenye fashion wananunua sana magari kwa kuangalia fashion kwa hiyo ukienda ukanunua gari iliyopitwa na fashion kwa SA kwetu bado ni mpya hiyo...
Hili la wapopo hili. Wapopo ningekuwa na ruhusu ningewapiga marufuku duniani kote, wabaki kwao tu. Kila sehemu waliyopo ni lazima wanaharibu.Mtoa mada umefanya utafiti gani kuhusu hizi gari za kaburu au ndio stories za vijiweni?,sasa soma hii, gari za SA ni bora sana kulinganisha ni mikebe inayokuja nchini kwa meli na nchi inakuwa kama dumping area kwa uchafu huu, gari ya kaburu inatambaa yenyewe na elewa Joberg to Dar ni almost 3500km na ukitokea mother city to Dar ni zaidi ya 5000km, gari za Buru zipo imara sana, maana barabara zao na services za magari haya ni top class, tembea hapa Dar na linganisha gari za mikebe na za buru, royal families zote zinatumia gari za buru, ukihitaji pick up nenda kanunue kwa wakulima wa kikaburu ,saloons cars nenda kanunue kwenye Minada ya banks, epuka kununua gari kwenye showrooms za wapopo utapigwa, wapopo ni kenges wakubwa ndio maana ushelisheli imewapiga marufuku kuingia, hapa wanaingia kama choo
Wewe umewahi kununua gari wapi? Umewahi kufika Sauzi?Usemacho ni sahihi, wanaolalamika gari za south ni mbovu wengi wao walienda kununua kule kwa yard za wanaijeria- Walter Sisulu road….huko ndo kuna ujanja ujanja mwingi!
Nimeshafika nimeishi na kufanya kazi huko. Pia nimeshanunua gari mara 3 nilizozileta bongo.Wewe umewahi kununua gari wapi? Umewahi kufika Sauzi?