Libertatem Pugnator
JF-Expert Member
- Aug 24, 2017
- 1,005
- 1,377
Mzee wetu kubali kuwa hapa umekosea. Wewe ni binadamu, na kukosea ni kawaida. Ila uungwana ni kukiri kuwa umeteleza. Kwa umri wako hukutakiwa kuendekeza kauli za ubaguzi na uchochezi wa kidini namna hii.Saint,
Suala hili si la kujadiliwa na lugha za kejeli za "lialia."
Serikali inajua tatizo hili na iko kimya.
Kwa sababu maalum.
Soma historia ya uhuru wa Tanganyika kuna mengi utajifunza.
Ndipo unaweza ukawa na maarifa ya kukusaidia kujadili.
Tk...Una udini balaa na unachofanya ni kujificha nyuma bibi Tit, nikukumbushe tu bibi Tit hakuwa anapigania udini Bali uhuru
Halafu eti Jamii Forum walimpa huyu Babu Tuzo...!Huyu Mzee Mohamed Said ni useless kabisa! Kila kitu yeye ni kuingiza hisia za udini! Hiyo UDOM wewe unadhani inaongozwa kama kijiwe cha kahawa unakoshindia ukipiga domo kutwa! Uamuzi wa kutojenga au kujenga Msikiti chuoni hauwezi kuchukuliwa na mtu mmoja!
Bibi Titi alipigania harakati za kudai uhuru na si kuuinua uislam, Wewe kizuka jaribu kutumia akili!
Mbona unaficha ukweli kwamba huyo Bi Titi alishiriki kutaka kuipindua Serikali akakamatwa na kushtakiwa kwa kosa ya uhaini na wenzie na kufungwa kabla ya kupewa msamaha na Nyerere?
Fuma...Kumradhi Mohamed Said, ni kweli nimeghadhibika sana na maelezo yako ya uzandiki na uchochezi kuhusu Bibi Titi, Gaudencia Kabaka na Suala la Msikiti pale UDOM!
Tunamwomba sana Mwenyezi Mungu kwamba kizazi chenye mawazo hasi na primitive kama wewe kiishe haraka katika Nchi yetu ili Taifa hili lije kupumua!
Wewe Mohamed Said ni mtu mdini , mwenye maarifa madogo sana na mwenye chuki iliyopitiliza dhidi ya Hayati Julius Kambarage Nyerere na harakati zake za kudai Uhuru wa Tanganyika.
Siku zote unataka wajinga wenzio wamwone Julius Nyerere kama mtu mshamba ambaye alifika Dar es Salaam hajui chochote na isingekuwa hao Wazee wako wa Kiislamu wa Dar es Salaam kumpokea asingekuwa chochote!
Unachosahau au ambacho hujui na hutaki kujifunza ni kwamba hata kabla ya kuja Dar es Salaam, Julius Kambarage Nyerere alikuwa ni kijana wa Chifu Burito wa Wazanaki kule Butiama na katika makuzi yake ya utoto alianza kupata hisia za uongozi kutoka kwa baba yake Chifu Burito na jinsi utawala wa kikoloni ulivyokuwa uki- operate!
Nadhani muda huo Wazee wako hao ambao mimi binafsi nawapenda na kuwaheshimu kwa mawazo yao na hawakuwa wadini na wajinga kama wewe hawakuwa na mikakati imara ya kudai Uhuru mpaka akina Dossa Azizi walipokutana na kijana mahiri na Mwalimu wa Sekondari ya St. Francis kama sikosei (Pugu Sekondari leo) Julius Kambarage Nyerere na wao kumtambulisha kwa Wazee wao.
Tambua kuwa muda huo Julius Nyerere alishatoka Makerere University Uganda, ameshasoma Tabora School ( Ambako pia nilisoma mimi Fumadilu Kalimanzila) na kuacha rekodi mbalimbali kama kijana shupavu na mwenye maono ya mbali kuhusu utawala wa kikoloni .
Wewe Said Mohamed hujui chochote zaidi ya kuokoteza "vistory" vya kwenye kahawa hapo Kariakoo na "tu- picha" twa zamani kutoka kwa familia za hao Wazee wa Kiislamu wa zamani hapo Mzizima na kuenezea UDINI WAKO!!!
Hivi kwani so walipigania Uhuru ili iweje!Tk...
Hakika soma mchango wa masheikh waliokuwa mstari wa mbele katika kupigania uhuru wa Tanganyika utajifuunza mengi.
Sina saabu ya kujificha.
Jina langu liko hapa.
Uliyejificha ni wewe.
Nini kinakutisha?
Lombo,Halafu eti Jamii Forum walimpa huyu Babu Tuzo...!
Yaani hoja ya kipuuzi kabisa...Kwani mama Kabaka ndiye mmiloki ya UDOM!
UJINGA MTUPU..
Lombo,Hivi kwani so walipigania Uhuru ili iweje!
Hawaapo kwenye Taifa Huru!
Kwa ujinga Kuna watu walikiwa wanapigania Uhuru wakifikiri wanapingana na Ukristo(wa Wazungu)😂
Lombe,Halafu eti Jamii Forum walimpa huyu Babu Tuzo...!
Yaani hoja ya kipuuzi kabisa...Kwani mama Kabaka ndiye mmiloki ya UDOM!
UJINGA MTUPU..
Kuna mambo mengine hayataki ligi. Fika Mzumbe University, pale kuna kanisa na wamepewa mpaka eneo la kujenga shule ilhali waislamu wanaswali Mzumbe Secondary School.UDOM ni taasisi isiyo na dini mkuu.
Hata wakristo hawaruhusiwi kujenga makanisa yao ndani ya eneo ya chuo.
Ni sehemu ya kupata elimu ya juu,si mahala pa kujenga madrasa Wala vyuo vya Biblia.
Kuna halls ambazo kwa utaratibu mzuri hutumika kuabudia.
Ndio ashapewa uongozi hivyo,,
Udini unakusumbua mzee.
Waislam mnateseka sana,acheni kulialia.
Did...Halafu na nyie msiwe mnasema tu waislamu wamefukuzwa. Unajua vyeti vya hao jamaa vilikuwaje? Msiwe mnanunua ugomvi wa vitu msivyovijua ambavyo wahanga wanakuja kupiga kelele za uongo misikitini. Unajua wakristo wangapi na waislamu wangapi walikuwa na vyeti fake na wakaondolewa kwenye ajira? Au kwa sababu ni chuo kikuu cha Dodoma ndio kelele kubwa? Unajua hao ndugu zako baadhi waliwahamia vyuo vingine wakakataliwa kwa sababu ya utata wa vyeti? Wakati mwingine tangaza dini tu.
Niweke mimi, au waweke waliolalamika sifa walizonazo na kwamba walionewa.Did...
Ikiwa wamefukuzwa kwa ajili ya kukosa sifa hapo hakuna tatizo lakini hebu tuwekee hapa ili ukwelii ujulikane na ubishi umalizike.
Hili la wao kufukuzwa na msikiti kuvunywa nalo vipi?
Ule msingi ulikuwa chini ya viwango?
Nan..Mohamed Said ni mkaanga sumu tu. Mmanyema anayejjdai kuwa mswahili wa Dar.
Did...Niweke mimi, au waweke waliolalamika sifa walizonazo na kwamba walionewa.
Mama...✍✍✍✍✍✍👌
Lib...Mzee wetu kubali kuwa hapa umekosea. Wewe ni binadamu, na kukosea ni kawaida. Ila uungwana ni kukiri kuwa umeteleza. Kwa umri wako hukutakiwa kuendekeza kauli za ubaguzi na uchochezi wa kidini namna hii.
Umefeli sana hapa mzee wetu