Gaudensia Kabaka Mwenyekiti wa UWT?

Gaudensia Kabaka Mwenyekiti wa UWT?

Lib...
Kukosea kunawezekana vipi nami nina vitabu na papers nyingi hii pamoja na kitabu ambacho kimesahihisha historia ya uhuru wa Tanganyika?
Mzee wetu, hujiulizi kwa nini siku zote watu wanakulaumu kwamba una ubaguzi wa kiimani!? Unadhani wote wanaokulalamikia ni kwamba wana chuki na wewe?

So long you're happy with what you're doing bila kujali italeta madhara gani kwa jamii just do it.

Ila ujue tu mzee wetu mbegu hii unayoipanda itatugharimu sote bila kujali imani zetu.

Yawezekana wewe usichume matunda ya hii dhambi ila vizazi vyako vinaweza kuja kuwa wahanga wa hii sumu unayoipanda, maana pakija kuvurugika wataingia waliomo na wasio kuwamo
 
Kwani kina Sykes ,baada ya kuifadhiki TANU na of course Nyerere,ukitaka wafanyiw3 mini ambacho hawakufanyiwe ili wewe na Wahafadhna wenzako uridhike!?
Kuna tofauti gani na kina Paul Rupia!
Na Elikaele Mbowe!
Lombo,
Nimeandika kitabu ili kumrejesha katika historia ya TANU na kadi yake ya TANU No. 3.

Kwa nini alifutwa?
 
Mzee wetu, hujiulizi kwa nini siku zote watu wanakulaumu kwamba una ubaguzi wa kiimani!? Unadhani wote wanaokulalamikia ni kwamba wana chuki na wewe?
So long you're happy with what you're doing bila kujali italeta madhara gani kwa jamii just do it. Ila ujue tu mzee wetu mbegu hii unayoipanda itatugharimu sote bila kujali imani zetu. Yawezekana wewe usichume matunda ya hii dhambi ila vizazi vyako vinaweza kuja kuwa wahanga wa hii sumu unayoipanda, maana pakija kuvurugika wataingia waliomo na wasio kuwamo
Lib...
Watu mfano wako ndiyo hawapendi historia hii.

Kitabu cha Abdul Sykes kimechapwa mara nne.
 
Hujui chochote kuhusu kuharibu taifa
Kujenga na huku tunaboma haviwezi kutufikisha popote kama taifa.

Huu ungeweza kuwa na maans lakini sababu unachochea kuchukiana sababu ya mtendaji kuwa imani nyingine unaishia kuchochea Udini na kuharibu utaifa

Nadhani ifike mahala kiongozi anapokosea au kufanya maamuzi usiyoyapenda, yasiyokufurahisha, yasiyokua ya mrengo wako au tunapokosea au tunapofanya mabaya basi tutuhumiane kwa matendo yetu na sio kwa imani zetu
 
Ni baba yake Makongoro, Madaraka na wenzao, lakini ikikupendeza muite vyovyote utakavyo.
Muongezee na mengine mkuu ukitaka.

Naona kuitwa baba wa taifa inakuuma sana,
Ndio ashaitwa mkuu,hata kama wewe hutaki.
 
May Day,
Hivi unajua Nyerere kaja Dar es Salaam hana ndugu wala jamaa?

Unawajua waliompokea?

Unadhani endapo wazee wetu wamgekuwa wabaguzi wa dini au kabila Nyerere angefika hapo alipofika?

Wewe unaridhishwa na hii hali ya leo katika mgawanyo wa fursa 20:80?
Wewe utakuwa una stress za maisha tu. Kwani wewe ukienda mikoa mingine ya TZ na kupokelewa basi waliokupokea ndiyo watakuwa pekee yao wameleta hayo mafanikio? Kunywa maji upumzike nafikiri stress zitaisha tu.
 
Mi natamani kujua kwanini Bibi Titi Mohammed hakuunga mkono azimio la Arusha?

Bibi Titi alikosana nini na Mwalimu Nyerere mpaka akavuliwa vyeo vyote na akafungwa jela??
 
Mi natamani kujua kwanini Bibi Titi Mohammed hakuunga mkono azimio la Arusha?

Bibi Titi alikosana nini na Mwalimu Nyerere mpaka akavuliwa vyeo vyote na akafungwa jela??
Alikuwa kwenye group la kupindua nchi.
 
Muongezee na mengine mkuu ukitaka.

Naona kuitwa baba wa taifa inakuuma sana,
Ndio ashaitwa mkuu,hata kama wewe hutaki.
Siwezi kuumizwa na kitu ambacho hakina tija kwangu ndio maana nimesema aitwe vyovyote siwezi kuzuia chochote iwe nataka au sitaki, Nafikiri umekasirishwa na maoni yangu lakini hilo lipo juu ya uwezo wako kwani haiwezekani kila mtu atoe maoni yatakayokufurahisha wewe.
 
Huwa tunapitia maandiko yako ila tunashangazwa na jinsi unavyoshindwa kuzuia husia za udini na chuki dhidi ya watu wengine usiowapenda. Pia tunashangazwa unavyochambua historia ya J.K. Nyerere kana kwamba bila "Wazee wa dar" basi Nyerere asingefika alipofika.

Kumbuka kabla hizo harakati ambazo unatoa historia yake Nyerere alikuwa na elimu yake ya kutosha tu, hivyo kusema alipokelewa dar "kama Hana ndugu" tunashindwa kukuelewa. Ni sawa na kusema mara yake ya kwanza kukanyaga dar alikutana na hizo harakati za TAA which is not true.

Suala la kujiuliza Mzee wangu ni hili "Nyerere alikuwa na kitu gani special ambacho wengine hawana mpaka hao wazee wakampokea na kumpa madaraka km unavyodai??"
Nyerere ni mtanzania alikuwa na haki ya kwenda sehemu yeyote ile katika nchi hii kuhakikisha malengo ya Ukombozi yanafikiwa, bila kujali udini, ukabila wala utamaduni wa sehemu husika. Hoja ya kwamba alikuja dar hana ndugu hivyo Fadhila za "wazee wa dar" ndio zimemfikisha alipofika ni hoja mfu mno ni bora ukaachana nayo.

Tangu yupo shule Nyerere alijulikana kama mtu smart sana kichwani hivyo suala la Nyerere kupokelewa na kupewa hayo aliyopewa na wazee wa dar ni kutokana na uwezo wake kichwani wala sio fadhila za "wazee wa dar"

Mzee Mohamed tunatambua mchango wako ila uchambuzi ulio na hisia za kidini tutaupinga kwa nguvu zote.
 
Wakristo muwe wavumilivu watu wanapotoa historia za kweli wa harakati za kudai uhuru wa nchi ya Tanganyika, waislamu wa Tanganyika wametumia rasilimali nyingi na wamefanya jitihada nyingi kuhakikisha uhuru unapatikana na walifanya hayo yote kwa kushirikiana na Watanganyika wote wakidhani wote ni kitu kimoja lakini nchi ilipofanikiwa kupata uhuru Waislamu wakaanza kubaguliwa katika uongozi, mwacheni Mohamed Said aseme.
Hebu ,tupe mifano halisi mkuu
 
Lombo,
Nimeandika kitabu ili kumrejesha katika historia ya TANU na kadi yake ya TANU No. 3.

Kwa nini alifutwa?
Kama umefutwa na hatujausoma Basi andika kwa kifupi ,jinsi kina Sykes walivyodhulumiwa ,mimimninavojua Hawa jamaa ni mojawapo ya Familia bora ,na wanakula mkate wa Tanganyika!
 
Ni baba yake Makongoro, Madaraka na wenzao, lakini ikikupendeza muite vyovyote utakavyo.
Mzee hizi pumba zinakudhalilisha na kindi lako unalolitetea ...Nyerere alikiwa smart ndio maana, wazee was Dar walimpokea baada ya kubaini hivo...Kama walikiwa na ajenda nyingine Basi Nyerere hakuwa fala!
Kwa mujibu wamaandiko yako,wale wazee' walikuwa Wana ufananisha Uzungu na Ukristo,na Uislam na Uarabu!
Hata katika Ukristo kulikuwa na wajinga kama hao!
Na pengine bado wapo...mdio maana kina watu huwa Wanaona aibu kuongelea Utumwa na Madhila kwa kutaka kumaintain status quo za Dini zao!
 
Ila wewe mzee ni mdini[emoji119
Habun,
Ikiwa Mohamed Said mdini wale waliopanga njama ya kuwabana Waislam katika fursa zote na kujipachika wenyewe tutawaitaje?

Msome Bergen (1981), Sivalon (1992) na Njozi (2002).
Kama umefutwa na hatujausoma Basi andika kwa kifupi ,jinsi kina Sykes walivyodhulumiwa ,mimimninavojua Hawa jamaa ni mojawapo ya Familia bora ,na wanakula mkate wa Tanganyika!
 
Habun,
Ikiwa Mohamed Said mdini wale waliopanga njama ya kuwabana Waislam katika fursa zote na kujipachika wenyewe tutawaitaje?

Msome Bergen (1981), Sivalon (1992) na Njozi (2002).

Hawakuishia hapo wakafuta na historia yao katika kupigania uhuru.
 
Mzee Said shikamoo, nasubiria kwa hamu kipindi cha Zumari kesho, Kuna yakujifunza kutoka kwako
 
Back
Top Bottom