Gaudensia Kabaka Mwenyekiti wa UWT?

Gaudensia Kabaka Mwenyekiti wa UWT?

Sir...
Hakikusahaulika kitu.
Mwaka wa 1962 baada ya uhuru tu palifanyika First Muslim Congress chini ya EAMWS agenda ikiwa ELIMU.

Ikaamuliwa zijengwa shue za msingi, sekondari majimbo yote kwa ili sasa Waislam wajinyanyue katika elimu ambayo ilikuwa ikitolewa kwa ubaguzi baina ya wakoloni na wamishionari.

Mwaka wa 1963 pakafanyika Second Muslim Congress na ikaamuliwa kuwa ijengwe Chuo Kikuu .

Jiwe la msingi la Chuo Kikuu likawekwa na Mwalimu Nyerere mwaka wa 1968.
Hapa ndipo matatizo yakaanza.

Waislam wakajikuta wapo katika mgogoro.
Hiki kisa ni kirefu sana na nimekieleza katika kitabu cha Abdul Sykes.

EAMWS ikavunjwa na serikali na chuo na miradi yote ya elimu ikafa.
Pakawa pia na njama ndani ya Wizara ya Elimu ya kuhujumu nafasi za elimu ya juu kwa Waislam.

Hili ni jambo nyeti sana kwa serikali na haipo tayari kulizungumza.
Matokeo yake ndiyo haya.

Nadhani umepata kusikia matatizo ya NECTA jinsi wanavyohujumu shule zetu Waislam tunazojenga kwa jasho, vumbi na damu zetu.

Waislam waliandamana mwaka wa 2012 kueleza vipi Ndalichako ndani ya NECTA inavyohukumu mitihani ya shule za Kiislam.

Serikali ilionya Waislam kuktoshiriki katika maandamano haya lakini Waislam walikaidi na Sheikh Ponda aliongoza maadamano haya kutokea
Nakubalian na wewe mohamedi, tukirudi kuwatazama waislam kwa sasa tuliofungamana mno na upwani. Unaionaje hali hii sabbu historia ishatuachia kovu, nimebahatika kuona namna ambavyo wapwani/waislam tunasafa mno kulinganisha n wenzetu. Hii imewia ugumu hata kupata nafas kubwa katika teuzi nyingi.

Binafsi nashawishika kusema kwamba jitihada hizi hata kama zilizimwa kwa kias kikubwa kwa sasa, pwani inahitaji elimu ya kuipokea elimu iliyopo. Hili suala la uchache wa ajira kwa pwani ishakuw sabbu y kuachana na mambo ya elimu

Nimeona kama si kusikia mzee wa ruksa akitupambania sana kufika sehemu walau na sisi tuwemo. Na pia maendleo ya idadi ya waislam vyuoni n taasisi kubwa nchini z kielim sio mazuri inawez kuwa 30:70 huku ndipo tatizo hili kwa sasa linapotokea
 
Mzee hizi pumba zinakudhalilisha na kindi lako unalolitetea ...Nyerere alikiwa smart ndio maana, wazee was Dar walimpokea baada ya kubaini hivo...Kama walikiwa na ajenda nyingine Basi Nyerere hakuwa fala!
Kwa mujibu wamaandiko yako,wale wazee' walikuwa Wana ufananisha Uzungu na Ukristo,na Uislam na Uarabu!
Hata katika Ukristo kulikuwa na wajinga kama hao!
Na pengine bado wapo...mdio maana kina watu huwa Wanaona aibu kuongelea Utumwa na Madhila kwa kutaka kumaintain status quo za Dini zao!
Lombo,
Haijatokea mimi kuandika, "pumba."
Soma haya uliyoandika na angali lugha yako.

Rejea kwenye makala yangu yoyote isome na linganisha.
 

Mzee Leo Ameteleza Asamehewe Bure

Ameleta Mada Ambayo Mods Walitakiwa Waifute Haraka Kulinda Heshma Ya Mzee



Vinginevyo Nao Ziro Tolerance Haipo Kwa Wachangiaji
Mzee Ameleta Uzi Ulio Na Ukakasi Hasa Dini
Ken...
Umefanya haraka sana ya kuhukumu.
 
Jibu ni rahisi tu,anayekereketwa ahamie huko mzumbe.
UDOM hakuna huo utaratibu wa kujenga makanisa na nisikiti eneo la chuo.
Eneo la chuo ni kwa ajili ya matumizi ya chuo,,
Kama ku mtu anataka kujikita zaidi Kwenye kuabudu anaweza kwenda vyuo kama MUM morogoro au SAUT ,ni rahisi tu mkuu.
Kwani umekerekwa na nini?
 
Mzee Mohamed, Mimi nimekulia Temeke,ukweli ni kuwa wazawa was huko hawaapedi Elimu Dunia,hawana mwamko, sijui linahusiana vipi na Nyerere na Uhuru,baada ya miaka 60?
Mbona UNICEF waliingia Kisarawe miaka 2000s na ufaulu ukaapanda Sana ...hapo Historia na ukandimizwaji wa Waisaam ilikuwa wapi!?
 
Halafu ungetueleza hapa,kinagaubaga kuwa ulitaka Historia iwataje kina nani ..ambao unafikiri.hawakuyendewa haki!
Ukiacha mbali Bibi Titi.
Hizi story kiwa Nyerere alipewa pa kuishi na Sykes ,tumeshazissikia Sana,au MamaNyerere alianzishiwa biashara ya Duka na ....!
Isitoshe kwq Mwafrika hayo.ni Mambo ya kawaida!
Kwenye historian za maisha yao ...familia ndio wataandikkaalakini sio suala la Kitaifa!
 
Ni imani yangu huyu mzee mleta mada ataanza kufikiri kwa usahihi nje kabisa ya udini
 
Wakristo muwe wavumilivu watu wanapotoa historia za kweli wa harakati za kudai uhuru wa nchi ya Tanganyika, waislamu wa Tanganyika wametumia rasilimali nyingi na wamefanya jitihada nyingi kuhakikisha uhuru unapatikana na walifanya hayo yote kwa kushirikiana na Watanganyika wote wakidhani wote ni kitu kimoja lakini nchi ilipofanikiwa kupata uhuru Waislamu wakaanza kubaguliwa katika uongozi, mwacheni Mohamed Said aseme.
Walibaguliwaje?Mzee Kawawa alikuwa Mkristo?na kama wanabaguliwa wakina Samia,Majaliwa,Kikwete walifikaje hizo ngazi za uongozi?achilia mbali Vyombo vya usalama.
 
Tk...
Hakika soma mchango wa masheikh waliokuwa mstari wa mbele katika kupigania uhuru wa Tanganyika utajifuunza mengi.

Sina sababu ya kujificha.
Jina langu liko hapa.

Uliyejificha ni wewe.
Nini kinakutisha?
Tunashukuru walipigania uhuru..inatosha unataka nini zaidi..tuwajengee sanamu k.koo ama?

#MaendeleoHayanaChama
 
Kuna baadhi ya dini wapo kama wamachinga wanataka kufanya biashara kila sehemu na wanaona ni haki yao hata uwaelimishe vipi wanaona aananyanyaswa
 
Nilishawahi kukuambia hapo nyuma, punguza udini hii nchi ni ya watanzania wote.
 
Andoza,
Wakati wa kuigania uhuru wa Tanganyika Ally Sykes alikuwa katika orodha ya wachochezi.

Yeye alikuwa akichapa kwa siri makaratasi ya kuhamasisha Waafrika wajiunge na TAA wapigania uhuru.

Kadi 1000 za kwanza za TANU yeye ndiye aliyenunua kutoka mfukoni kwake.
Uchochezi unategemea umesimama wapi.

Kadi yake ni no.2 na kadi no. 1 ni Julius Nyerere na aliandikiwa na Ally Sykes.
Ulikuwa unayajua haya?

Uchochezi unategemea umesimama kwenye haki au batil?
Kwahiyo mzee ulitakaje yani..lengo lako nini hasa au kiu yako hasa ni nini?

#MaendeleoHayanaChama
 
Mzee Mohamed Said kwani tatizo lako ni nini hasa??? Kwamba tuseme Tanzania imeundwa na waislamu au unataka nini kitokee??
Unajua sisi vijana ambao tumeishi na waislamu, tumesoma na waislamu, tunafanya kazi na waislamu, tunashirikiana mashule, mitaani na kila mahala na waislamu tunashindwa kuelewa tatizo la udini liko wapi maana mambo mengi yanatokea kwa jina la utaifa na sio udini.
Vipi hizi harakati ya kuondoa wamachinga huenda kuna hola za uislamu ndani yake au kuna sivyo?
Unataka nini kifanyake uache kulalama?
Huyu anayoonekana..kwanza anataka taifa liwe la kiislamu..hataki na haupendi ukristo..kiufupi ni mdini ila anajifichwa kwenye vi historia vyake uchwara..namtaarifu tu akae alee wajukuu Tanzania ni kubwa sana kuliko yeye na hizo ideology zake.

#MaendeleoHayanaChama
 
Hakuna tatizo mkuu,
Chuki zako tu na ufia dini unakusumbua.
Acheni kulialia,
Mbona hata sisi wakristo kuna wafia dini tupo na hatulilii,na tumesoma UDOM na kuabudu kwenye venues!

Wana UDOM wenyewe wameridhika na mfumo uliopo.
Tunaabudu kwenye venues zilizowekwa na chuo kwa utaratibu maalum.
Watoto wenu wa kiislamu pia Wana venues zao na huwa wanaabudu humo.

Unataka kuleta udini kwenye mambo yasiyohitaji udini,,
Pale ni taaluma kwanza mzee,,masuala ya kujenga mahema ya kuabudia pelekeni kwenye vyuo vya kidini.
Asiyetaka huo utaratibu basi na ahamie vyuo wanavyoruhusu kujenga misikiti shuleni ili asome madrasa huko muda wote.

Gaudensia ataendelea kuchapa kazi,
Huwezi mzuia rizki yake..

Wewe Endelea na ufia dini wako mzee.
Huyu mzee mpumbafu anazeeka vibaya..atambue hii nchi sio nchi ya kidini..ni non secular country.

#MaendeleoHayanaChama
 
Wakristo muwe wavumilivu watu wanapotoa historia za kweli wa harakati za kudai uhuru wa nchi ya Tanganyika, waislamu wa Tanganyika wametumia rasilimali nyingi na wamefanya jitihada nyingi kuhakikisha uhuru unapatikana na walifanya hayo yote kwa kushirikiana na Watanganyika wote wakidhani wote ni kitu kimoja lakini nchi ilipofanikiwa kupata uhuru Waislamu wakaanza kubaguliwa katika uongozi, mwacheni Mohamed Said aseme.
Walibaguliwa vipi?..kama watoto hampeleki shule mana wakririsha elimu akera..unadhani nchi inaendeshwa na elimu akhera..pelekeni watoto shule muache kulalamika..serikali sio msikiti...elimu dunia inahitajika...hii nchi yetu sote

#MaendeleoHayanaChama
 
Endeleeni kukereketwa mkuu.
Ila hata mkereketwe vipi ,misikiti haijengwi Udom.

Udom siyo madrasa za waislamu.


Na baba wa taifa ni Nyerere mkuu.
Walitaka awe sykes..dah basi awe baba wa taifa wa pili?..lunatics

#MaendeleoHayanaChama
 
Nakubalian na wewe mohamedi, tukirudi kuwatazama waislam kwa sasa tuliofungamana mno na upwani. Unaionaje hali hii sabbu historia ishatuachia kovu, nimebahatika kuona namna ambavyo wapwani/waislam tunasafa mno kulinganisha n wenzetu. Hii imewia ugumu hata kupata nafas kubwa katika teuzi nyingi... Binafsi nashawishika kusema kwamba jitihada hizi hata kama zilizimwa kwa kias kikubwa kwa sasa, pwani inahitaji elimu ya kuipokea elimu iliyopo. Hili suala la uchache wa ajira kwa pwani ishakuw sabbu y kuachana na mambo ya elimu
Nmeona kama si kusikia mzee wa ruksa akitupambania sana kufika sehemu walau na sisi tuwemo. Na pia maendleo ya idadi ya waislam vyuoni n taasisi kubwa nchini z kielim sio mazuri inawez kuwa 30:70 huku ndipo tatizo hili kwa sasa linapotokea
Nashukuru kwa kulitambua hili..jamii nyingi za pwani elimu dunia sio kipaumbele chao kabisa hata sasahivi..ni huwezi lingamisha na jamii za kikristo..ndio mana nasema pelekeni watoto shule muache kulia lia..serikali haindeshwi na elimu akhera.

#MaendeleoHayanaChama
 
Halafu ungetueleza hapa,kinagaubaga kuwa ulitaka Historia iwataje kina nani ..ambao unafikiri.hawakuyendewa haki!
Ukiacha mbali Bibi Titi.
Hizi story kiwa Nyerere alipewa pa kuishi na Sykes ,tumeshazissikia Sana,au MamaNyerere alianzishiwa biashara ya Duka na ....!
Isitoshe kwq Mwafrika hayo.ni Mambo ya kawaida!
Kwenye historian za maisha yao ...familia ndio wataandikkaalakini sio suala la Kitaifa!
Lombo,
Unajua mjadala huu uko hapa kwa miaka mingi sana na chanzo chake ni kutokuandikwa kwa historia ya uhuru wa Tanganyika kwa ukweli.

Unachokifanya wewe ni kuturudisha kule tulikotoka.

Kitabu cha Abdul Sykes si mzaha.

Nyaraka nilizotumia kuandika kitabu hiki ni nyaraka za akina Sykes na zinaeleza historia ya African Association kuanzia 1929 Kleist Sykes akiwa Katibu muasisi.

Baada ya kuandika kitabu hicho niliingizwa katika miradi miwili ya kuandika historia ya Afrika - wa kwanza kutoka Oxford University Press Nairobi (2007) na wa pili mradi wa Dictionary of African Biography mradi wa Harvard na Oxford University Press New York (2011).

Kutoka hapo nimeandika vitabu 10 na nimepewa tuzo 3.

Usidhani niandikayo ni mambo ya mashkara.
 
Back
Top Bottom