Sawa ni wa miaka mingi..so what !kuendelea kuandika kuwa Nyerere sio baba waTaifa,alisaidiwa na kina Sykes,...una maanisha mini !Lombo,
Unajua mjadala huu uko hapa kwa miaka mingi sana na chanzo chake ni kutokuandikwa kwa historia ya uhuru wa Tanganyika kwa ukweli.
Unachokofanya wewe ni kuturudisha kule tulikotoka.
Kitabu cha Abdul Sykes si mzaha.
Nyaraka nilizotumia kuandika kitabu hiki ni nyaraka za akina Sykes na zinaeleza historia ya African Association kuanzia 1929 Kleist Sykes akiwa Katibu muasisi.
Baada ya kuandika kitabu hicho niliingizwa katika miradi miwili ya kuandika historia ya Afrika - wa kwanza kutoka Oxford University Press Nairobi (2007) na wa pili mradi wa Dictionary of African Biography (2011).
Kutoka hapo nimeandika vitabu 10 na nimepewa tuzo 3.
Usidhani niandikayo ni mambo ya mashkara.
Uislam unakataza kusaidia watu!
Hivi ulitaka Nyerere asaidiwe na Nani ,Kama si Waislam!
Kwa Nini Historia yako ya TANU inaishia Magomeni tu!
Hujui kuwa Kuna Wazee wa TaboraMwanza,DSingda,Moshi,Moro,Dodoms nk nao wwlitoa mchango wao!
Haiwezekani mwana Historia umekomalia Jambo hilo2 miaka nenda Rudi...usipoandika kuhusu Sykes kumsaidiavNyerere ,utaanduka kumhusu Bi.Titi,au mama aliyekuwa Ana muuzia vitumbua Nyerere, !
Kuna mengi ya kuandikwa ...kwa mini usichimbue jinsi Watumishi wa Umma enzi za Ukoloni,Huko Kagera,Singida,Tabora,Mwanza ,Moshi,Mbeya nk walivokuwa wanaichsngia TANU kifichoni!
Kwa Nini usichimbue mchango wa Sera ya Kutaifisha Shule ulivosaidia Watanzsnia kuwa wa wamoja,kwa kuzibeba Jamii zilixokuwa nyuma kielimu!?
Jana nilikutokea mfamo was Temeke na Kisarawe huku uona!?