Huo ni mchezo wa aina gani?Uhakika wa hii hizi picha ni nini? Labda walikua wanacheza.
Wanatanzania ni wepesi sana kuamini ujinga na umbea kuliko watu wowote Duniani.
Unaweza kutunga tu stori haina kichwa wala miguu ukashangaa ukaikuta imesambazwa nchi zima na watu wakaiamini.
Unaweza kuchukua picha ya tukio lililotokea huko Nigeria na ukaihusisha na tukia la hapa Tanzania watu bila kutaka uhakika wataamini tu.
Watanzania ni watu wa ajabu sana.
HahahahTena huyo wa chini katoa kiulimi kabisa anasikilizia utamu
Kama nakuona vile kuna kitu unataka kumaanishaSimba Dume anabanduliwa
Simba Dume anabanduliwa
Hii kitu kwa ng'ombe hutokea mara nyingi. Lakini kwa wanyama pori sina uelewaSimba wa Kenya hao, mashoga!
Uliona Wapi Hii Mkuu>>Kawaida tu sijaona kigeni hapo,