Gaza: Wanamgambo wa Hamas waanza kujisalimisha kwa jeshi la Israel, Hakuna tena kujificha nyuma ya wanawake na watoto, ni vita ya ana kwa ana

Gaza: Wanamgambo wa Hamas waanza kujisalimisha kwa jeshi la Israel, Hakuna tena kujificha nyuma ya wanawake na watoto, ni vita ya ana kwa ana

Maneno meengi mara oooh IDF mashoga!!!
Mara wanaogopa kuingia Gaza
Sasa hapa naona mashoga na Hamas,,,nani mbabe
Screenshot_20231208-201559.png
 
Hawo wawapakie kwenye magari wawalete Tanzania wawamwage kwy mawbwawa yetu yenye mamba. Mamba wapate vyakula
... wanesikia kuna pump lenye capacity ya 60,000 ltrs per min (Guinness Record) linafungwa huko Mediterranean kujaza mashimo yao lazina watoke tu panya buku hao!

Hao Israel wanawachelewesha; piga risasi hao itapunguza mengi. Huruma huruma zitawa-cost bila sababu.
 
Punguza chuki ww mrokole uchwara mpaka sasa hakuna ushahidi wowote unao onesha kuwa hao ni wapiganaji wa Hamas.
Hiyo Israel yenu vita inewashinda wameanza kukamata kila mwanaume wakihofia kuwa ni Hamas, hao wanaume unao waona hapo wakifanyiwa hivyo baada ya Israel kuivamia kambi moja wapo ya wakimbizi huko gaza kusini kwa madai kuwa ni kambi ya hamas lakini mpaka sasa hawajapata huo ushahidi wa madai yao.
Waliambiwa wapalestina wote wahame wabaki wapiganaji. Sasa hawo waliobaki ni wapiganaji. Na walichagua kufa na ndio wanatekelezewa kiapo Chao cha kufa. Wawalete kwenye mto Nile na wengine kwenye mabwawa yetu wawape mamba wawale
 
Wamejichanganya wakateka n waandishi wa habari😂
Kama wameteka wahandishi wa Aljazeera hawo na wao wawauwe tuuuu na wenyewe wapo kwy kuwafadhili Hamas
 
Kwanza ni mjinga pekee anaeamini wapigania uhuru kama hamas wanaweza wakajirundika sehem moja hvyo kama dagaa wanaongoja kuvuliwa
Yaani hamas mmoja tu kumkamata unatakiwa ufanye kazi
Israhell anatapa tapa kwasasa atakae mkalia mbele kwake yeye anakua hamas anabeba
Mayahudi yamekua muflis wanaona kama wanapigana na majini
Walijua labda hamas wataishiwa vyakula waombe poo au waishiwe na silaha matokeo yake hesabu zao zimeenda kombo
Baada ya hiki kinachoendelea ghaza yaani mayahudi wataiogopa ghaza kama hawana akili nzuri
Na ghaza ndio litakua sehem ambalo wapalestine wanaishi kwa amani kuliko popote pale kwenye ardhi zao huko
Ngoja maji yajae kwy mashimo ndio utajua hamasa Wana akili au wajinga
 
Kwanza ni mjinga pekee anaeamini wapigania uhuru kama hamas wanaweza wakajirundika sehem moja hvyo kama dagaa wanaongoja kuvuliwa
Yaani hamas mmoja tu kumkamata unatakiwa ufanye kazi
Israhell anatapa tapa kwasasa atakae mkalia mbele kwake yeye anakua hamas anabeba
Mayahudi yamekua muflis wanaona kama wanapigana na majini
Walijua labda hamas wataishiwa vyakula waombe poo au waishiwe na silaha matokeo yake hesabu zao zimeenda kombo
Baada ya hiki kinachoendelea ghaza yaani mayahudi wataiogopa ghaza kama hawana akili nzuri
Na ghaza ndio litakua sehem ambalo wapalestine wanaishi kwa amani kuliko popote pale kwenye ardhi zao huko
Wewe kichaaa mkubwa ktk kambi lazima mjirundike muweze kupata mahitaji Kama chakula maji na kufanya mawasiliano ya kujua malengo yanaendaje unafikiri Vita inaenda bila kupata mahitaji. Hamjui Mambo ya Vita lakini umbeya umbeya jamii forum wa kutosha
 
Maneno meengi mara oooh IDF mashoga!!!
Mara wanaogopa kuingia Gaza
Sasa hapa naona mashoga na Hamas,,,nani mbabe
View attachment 2837136

Nimepitia media za Kiarabu zinalalamika sana.....kuwa huu ni udhalilishaji mkubwa....! Swali wanaoulizwa zile picha za mateka wakiptiishwa mitaani....wakitemewa mate nk hawakujua matokeo yake.!

erusalemCNN —
Images from Gaza circulating on social media Thursday showed a mass detention by the Israeli military of men who were made to strip to their underwear, kneel on the street, wear blindfolds, and pack into the cargo bed of a military vehicle.

The exact circumstances and dates of the detentions are unclear, but some of the detainees’ identities were confirmed by colleagues or family members.

Both the Israel Defense Forces (IDF) and Hamas responded Friday to the images.




IDF spokesperson Jonathan Conricus told CNN the men pictured were “Hamas members and suspect Hamas members.” He said they were “without clothes in order to make sure they’re not carrying explosives.”

Izzat al-Rishq, a member of Hamas’ political office, accused Israel in a statement of “kidnapping, invasive searches and disrobing” what he said was “a group of displaced Palestinian civilians.” He called it a “reprehensible crime” and urged human rights organizations to intervene.
 
Mkuu umekwepa maswali yangu sababu ya ubnafsi wa kidini
Wewe point na coment zako nyingi haziendani na usomi unao jinasibu nao wala umri ulio nao, yaani una point za kitoto na mambo ya kitoto.

Kudhihilisha hilo ebu tizama picha ulizo ziweka hapo ,mtu aliye soma aka elimika hawezi kufurahia au kuchekelea kwa watu kuvuliwa nguo na kurekodia dunia nzima inaona.
Na mbaya zaidi hao walio valishwa uchi wamekutwa sio Hamas na wala hawana uhusiano wowote na hamas na wamesha achiwa lakini tukio la kuwadhalilisha litadumu vichwani mwao milele.
Hivi hiyo point yako ya waisilam kuwachukia wakristo na wayahudi huwa unaitoa kwa mantiki ipi hasa?

Kila siku umekalia kusema waisilam wanawachukia wayahudi lakini katika historia hakuna sehemu yeyote ambayo waisilam walisha shiriki kutesa na kuuwa wayahudi zaidi ya nyinyi wakristo, nyinyi wakristo ndo mna historia ya kuuwa na kutesa wayahudi kwa mamia ya miaka na sio waisilam acha kujitoa ufahamu.
Hao Wapalestina wameishi na wayahudi kwa miingo kadhaa kabla ya mgogoro kuanza mwaka 1947.

Yaani mtu akikosoa Israel basi ni ana wachukia Wayahudi?, kwahiyo siku hizi ukiikosoa serikali ya ccm basi hiyo ni chuki dhidi ya watz.
Hao waisilamu wanao wachukia wakristo ni wapi hasa bona siwaoni?
Mm ninacho kijua ni kuwa wakristo ni mabingwa wa chokochoko dhidi ya waisilamu hasa humu jf.
 
Waliambiwa wapalestina wote wahame wabaki wapiganaji. Sasa hawo waliobaki ni wapiganaji. Na walichagua kufa na ndio wanatekelezewa kiapo Chao cha kufa. Wawalete kwenye mto Nile na wengine kwenye mabwawa yetu wawape mamba wawale
Waondoke waende wapi hali ya kuwa hapo ni nyumbani kwao?
Alafu acha kejeli za kipumbavu hayo wanayo pitia hao wapalestina waweza jikuta siku moja na ww unayapitia na familia yako maana siasa hazijawahi kutabilika katika nchi yeyote.
Kule manyala kwenye mafuriko kuna baadhi ya watu wamepoteza familia zao nzima ,sasa wenda kati ya hao walikuwa anashinda humu wakitoa kejeli kama zako bila kujua na wao wanaweza kufikiwa jambo baya kama hilo.
 
Wewe point na coment zako nyingi haziendani na usomi unao jinasibu nao wala umri ulio nao, yaani una point za kitoto na mambo ya kitoto.

Kudhihilisha hilo ebu tizama picha ulizo ziweka hapo ,mtu aliye soma aka elimika hawezi kufurahia au kuchekelea kwa watu kuvuliwa nguo na kurekodia dunia nzima inaona.
Na mbaya zaidi hao walio valishwa uchi wamekutwa sio Hamas na wala hawana uhusiano wowote na hamas na wamesha achiwa lakini tukio la kuwadhalilisha litadumu vichwani mwao milele.
Hivi hiyo point yako ya waisilam kuwachukia wakristo na wayahudi huwa unaitoa kwa mantiki ipi hasa?

Kila siku umekalia kusema waisilam wanawachukia wayahudi lakini katika historia hakuna sehemu yeyote ambayo waisilam walisha shiriki kutesa na kuuwa wayahudi zaidi ya nyinyi wakristo, nyinyi wakristo ndo mna historia ya kuuwa na kutesa wayahudi kwa mamia ya miaka na sio waisilam acha kujitoa ufahamu.
Hao Wapalestina wameishi na wayahudi kwa miingo kadhaa kabla ya mgogoro kuanza mwaka 1947.

Yaani mtu akikosoa Israel basi ni ana wachukia Wayahudi?, kwahiyo siku hizi ukiikosoa serikali ya ccm basi hiyo ni chuki dhidi ya watz.
Hao waisilamu wanao wachukia wakristo ni wapi hasa bona siwaoni?
Mm ninacho kijua ni kuwa wakristo ni mabingwa wa chokochoko dhidi ya waisilamu hasa humu jf.

ITR.....Hivi ulitegemea HAMAS watasema hao ni Hamas mkuu? Anyway hivi unajua ni nani ameua Wapelestina wengi katika historia.....Ni Mfalme Hussein wa Jordan 1970....

When Pakistan’s Zia-ul-Haq helped Jordan King kill thousands of Palestinians​

A set of hijackings carried out by Palestinian resistance groups in September 1970 set off a war between them and Jordan. It culminated in the killing of approximately 10,000 to 25,000 Palestinians. The war was significant because of its unusual geopolitics. It involved Pakistan’s former General Muhammad Zia-Ul-Haq rebuilding Jordan’s tattered military​

Nadhani hujui chokochoko za Wapelestina hata kwa jamii yao ya Waarabu, hushangai kwa nini Egypt haitaki kabisa kufungua mipaka.....ni rahisi kuwasaidia ukiwa nao mbali, Israel inawajua fika, nao Wapelestina wanaijua Israel fika, Je walichokifanya October 7 kilikuwa cha aina gani.......Hawa jamaa wamekutana.

Mmoja wa viongozi wa Hamas, Ghazi Hamad amesema wazi, wakipata nafasi watarudia tena na tena walichokifanya October 7....

Hamas official says group aims to repeat Oct. 7 onslaught many times to destroy Israel​


A senior member of Hamas has hailed the systematic slaughter of civilians in Israel on October 7, vowing in an interview that if given the chance, the Palestinian terror group will repeat similar assaults many times in the future until Israel is exterminated.
“We must teach Israel a lesson, and we will do it twice and three times. The Al-Aqsa Deluge [the name Hamas gave its October 7 onslaught] is just the first time, and there will be a second, a third, a fourth,” Hamad continued. “Will we have to pay a price? Yes, and we are ready to pay it. We are called a nation of martyrs, and we are proud to sacrifice martyrs.”

Sasa unapopambana na watu kama hawa unategemea nini? Wamekula yamini ya kukuangamiza......Wanachokipata walikitafuta...
 
Mbona mkuu huzungumzii chuki ya waislamu na waarabu dhidi ya wayahudi na wakrsto???
Au ndio mkuki kwa nguruwe mtamu....ila kwa binadamu mchungu

Huwa wanaangalia kwa macho ya kengeza! Chuki ya Waislamu dhidi ya Wayahudi ina msingi wa dini......Ukisoma Charter ya Hamas, iko wazi mno...
 
Huwa wanaangalia kwa macho ya kengeza! Chuki ya Waislamu dhidi ya Wayahudi ina msingi wa dini......Ukisoma Charter ya Hamas, iko wazi mno...
Nyinyi msio na chuki na hao wayahudi mbona ndo mna historia ya kitesa na kuuwa mamilioni ya Wayahudi kwa mamia ya miaka?
 
Back
Top Bottom