Huyu hana tofauti kabisa na mwiguru nchemba. Wana haraka hao. Huyu kupewa hii wizara tayari ameanza kutengeneza mtandao wa 2025Miongoni ya mawaziri ambao siwaelewi, huyu ni mmoja wapo.....
Namuona yupo busy sana na social media, na mda mwingine anapost ujinga ujinga tu
Hao akina Shilole huyu Kigwangalla anawavua chupi halafu anataka hela ya kuhonga itoke Wizarani. We can't buy that shitHili linafahamika kama wanagombania fedha zetu za umma.
Kigwangalah anajaribu kupromote Utalii kupitia wasanii. Anastahili pongezi lakini haya inabidi yafuate utaratibu wa fedha na iwepo kwenye mipango ya wizara sio zimamoto pap paaap.
Hapo atamponza hata Katibu mkuu kwa magu.
Binafsi sizani kama kina Le mutuz, shilole watatushawishi watu kama sisi kwenda kutalii wakati hakuna Salary increment, small bizness zinakufa watu hatuna ongezeko la kipato huwezi kupata hela ya kutalii.
Kwa hiyo wale wadada wa mjini wote walioenda kutalii walilipiwa na kodi zetu hii ni hatari zaidi ya umeme.
Sent using Jamii Forums mobile app
Great thinking, anawataka akina Shilole kwa vile ni rahisi kuwalala
Hizi ni tuhuma nzito sana na ambazo kama zina hata asilimia 1 ya ukweli zingepasa Kigwangala atenguliwe mara moja... swali kubwa ni je katika haya yote upi ni ukweli na ipi ni siasa?Desemba 31, mwaka jana Rais John Magufuli akiwa mapumzikoni katika Hifadhi ya Taifa ya Kisiwa cha Rubondo mkoani Geita aliwapa siku tano viongozi hao kupatana, vinginevyo angetengua uteuzi wao.
Siyo tu kwamba anapost ujinga, ana sura ya kijinga hata kwa muonekano. Tatizo ni pale mtu mjinga anapopewa nafasi iliyostahili kushikwa na mtu mwelevu. Hapo hujiona anafaa.Miongoni ya mawaziri ambao siwaelewi, huyu ni mmoja wapo.....
Namuona yupo busy sana na social media, na mda mwingine anapost ujinga ujinga tu
Huyo jamaa ni mkuria 1 hivi wa huko Sirari ana tu-lodge twingi tu Mwz, shy na sirari ila baada ya sakata hilo mbio zake acha tuOk ila JAMHURI mie nawaomba mfuatilie na lile sakata la mfanyabiashara wa Shinyanga aliyewaachisha kazi RPC na Meneja wa TRA mkoa huo!
Hiyo kesi ilianza upya? Jamaa ni nani? etc
Kuna ukweli gani katika tuhuma hizi nzito, kinacho shangaza zaidi kwa nini gazeti la Jamuhuri linamkandia sana Dr.Kigwangalla, je, kuna ajenda gani nyuma ya pazia? JPM kasema Kigwangalla na katibu mkuu wa Wizara wanapaswa kulewana, actually JPM alikwenda mbali zaidi akasema Katibu Mkuu amuheshimu Kigwangalla - JPM knows what is going on - kinyume chake nyinyi mnakuja na stori zenu za kubuni tu - lengo lenu mnataka Kigwangalla afukuzwe kazi, ndio baadhi ya Watanzania tulivyo mazaba zabina tu mabingwa wa kupika majungu - wahariri magazeti wanapewa tu handdouts zenye stori za kutunga tu na wao wanazichapishwa hivyo hivyo bila ya kutafakari mambo.
Revisit mtiritiko wa tuhuma lukuki zinazo muhusu Waziri, zinaonekana wazi wazi ziko totally incoherent from highly questionable source like: majangiri wa wanyama na wale ambao hawakufanikiwa kugawiwa hunting blocks, hao ndio the brains behind machapisho ya gazeti husika.
Maneno chungu nzima, nani kawambieni kwamba kutangaza utalii ndani na nje ya Tanzania should cost nothing!! Any idea Kenya inatumia kiwango gani cha fedha kujitangaza Kimataifa?? Ukweli wa mambo Kigwangalla ni Waziri mbunifu sana sana, cha muhimu hapa gharama/matumizi ya Wizara katika masuala ya kujitangaza kiutalii yawe contained within the budget, haya mambo ya walio chini ya Waziri kujifanya ni Wakatoliki kuliko Papa hayatufikisha popote.
Bonge moja la set up la kumtoa Kingwangala cabinet. Yaani anajipiga mkuki mwenyewe.
Subiri tutasikia kigwangalah out. Sababu ame overide madaraka ya PS, Dada Devota mdachi nadhani ndio jukumu lake kama head wa TTB kutangaza utalii.
Lakini dr asiyejuwa hospitali kaibuka mara paaaap anaanza kujenga mtandao wake wa wasanii kwa mgongo wa kutangaza utalii. Hili haponi atatolewa na ndio itakuwa historia kama kina makamba jr.
Sent using Jamii Forums mobile app
Dk. Kigwangala usi panic brother!Kuna ukweli gani katika tuhuma hizi nzito, kinacho shangaza zaidi kwa nini gazeti la Jamuhuri linamkandia sana Dr.Kigwangalla, je, kuna ajenda gani nyuma ya pazia? JPM kasema Kigwangalla na katibu mkuu wa Wizara wanapaswa kulewana, actually JPM alikwenda mbali zaidi akasema Katibu Mkuu amuheshimu Kigwangalla - JPM knows what is going on - kinyume chake nyinyi mnakuja na stori zenu za kubuni tu - lengo lenu mnataka Kigwangalla afukuzwe kazi, ndio baadhi ya Watanzania tulivyo mazaba zabina tu mabingwa wa kupika majungu - wahariri magazeti wanapewa tu handdouts zenye stori za kutunga tu na wao wanazichapishwa hivyo hivyo bila ya kutafakari mambo.
Revisit mtiritiko wa tuhuma lukuki zinazo muhusu Waziri, zinaonekana wazi wazi ziko totally incoherent from highly questionable source like: majangiri wa wanyama na wale ambao hawakufanikiwa kugawiwa hunting blocks, hao ndio the brains behind machapisho ya gazeti husika.
Maneno chungu nzima, nani kawambieni kwamba kutangaza utalii ndani na nje ya Tanzania should cost nothing!! Any idea Kenya inatumia kiwango gani cha fedha kujitangaza Kimataifa?? Ukweli wa mambo Kigwangalla ni Waziri mbunifu sana sana, cha muhimu hapa gharama/matumizi ya Wizara katika masuala ya kujitangaza kiutalii yawe contained within the budget, haya mambo ya walio chini ya Waziri kujifanya ni Wakatoliki kuliko Papa hayatufikisha popote.
Funguka zaidiOk ila JAMHURI mie nawaomba mfuatilie na lile sakata la mfanyabiashara wa Shinyanga aliyewaachisha kazi RPC na Meneja wa TRA mkoa huo!
Hiyo kesi ilianza upya? Jamaa ni nani? etc
Ebitoke akatangaze utalii?? Hahahaha ye mwenyewe tu ni utalii toshaHuyo mwana Habari aliyekodiwa ndege lazima Atakuwa dem alafu hakosi msambwanda
Alafu hiyo kuwaingiza wasanii yote ni kula bata na wasanii fulani tu.... Ujing Ujing
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimecheka sana [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16] Yule anatakiwa apelekwe museum kabisa.Ebitoke akatangaze utalii?? Hahahaha ye mwenyewe tu ni utalii tosha