Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Bonge la Hotel ni Excutive for Excellence individuals.Inaitwa Grand Melia ni chain ya hotel zipo kuanzia Marekani,Ulaya mpaka Bara Arabu.
Waliinunua iliyokuwa Hotel 77 na kuivunja kisha kujenga upya.
Na mizigo bandarini iliyolete ugomvi kati yake na Dr Mpango Waziri wa Fedha na Mipango.Tanzania hii yote yanawezekana,maana baada ya kuteuliwa kuwa RC DSM alijarabati ofisi yake jwa gharama kubwa sana mamilioni sijui aliyatoa wapi,akaacha kutuumia VX za serikali akawa anabadilisha vibao vya Plate number za RC DSM kwenye ma range na ma lexus
Maskini bwana huamini? Kwani ni Zake?Yani 186M per month chaiπ‘
Gazeti la Mwanahalisi limetaja hadi wanaofadhili.......Kama aliwaloga msielewe sawa.Sasa kama ni hela zake kuna shida gani? Je kama alikua amesave hela sasa ameamua kuishi hapo kwa muda tu anataka kutumia labda milioni 60 kwa siku 10 kuna shida gani?.
Tunapo leta malalamiko mtandaoni tuwe tuna fanya utafiti kwanza.
Unapenda habari za kizushi na umbea kama mwanamke vile. Ushahidi upo wapi? Hata mtumie vipeperushi vya aina gani kumpaka matope Mwamba bado hamuwezi kufanikiwa hata kidogo.Mwamba ni Mpango wa Mungu Mwenyewe
Unafahamu gharama ya kulala Gran Melia Hotel Arusha kwa siku au??nadhani unalinganisha gharama na vi-Hotel uchwara vya huko Kibondo kwenye vumbi mpaka makalioni,tembea Uone Muha weweHatuna hotel yenye gharama hizo kwa siku - huo ni uzushi.
- Sema hotel ipi anayoishi
- Onesha viambatisho
- Sema alianza lini kuishi hotelini hapo.
Acheni uzushi!!
Acheni kumzushia Kiongozi wa Wanyonge anaefuata nyayo za Shujaa ππππMkuu wa mkoa wa Arusha anayepigiwa chapuo kuwa Rais wa nchi huko mbeleni anaishi hotelini huko arusha na kila siku anatumia million 6 na laki 2
Sasa hapo hajapewa nchi akijapewa nchi itakuaje na katiba hii mbovu viongozi wa umma muwe na huruma kidogo sasa ukipiga million 6.2 mara 30 jibu unaloView attachment 3082309
Hapo kuna watanzania hata vocha ni shidaHuyo jamaa ana historia ya ufujaji na upigaji. Huko DSM alikuwa anabadili gari za kifahari Kila siku.
Yupo kwenye mfumo wa wiziTanzania hii yote yanawezekana,maana baada ya kuteuliwa kuwa RC DSM alijarabati ofisi yake jwa gharama kubwa sana mamilioni sijui aliyatoa wapi,akaacha kutuumia VX za serikali akawa anabadilisha vibao vya Plate number za RC DSM kwenye ma range na ma lexus
Ni mambo ya hovyo na wizi wa mali za ummajamaa hagusiki... nadhan ana siri za nchi zaidi ya siri ya mwenge...
Kumbe alisemaga kweli pale aliposema yeye ni mtu anakula raha kuliko mtu yeyote hapa Nchini π³ππMkuu wa mkoa wa Arusha anayepigiwa chapuo kuwa Rais wa nchi huko mbeleni anaishi hotelini huko arusha na kila siku anatumia million 6 na laki 2
Sasa hapo hajapewa nchi akijapewa nchi itakuaje na katiba hii mbovu viongozi wa umma muwe na huruma kidogo sasa ukipiga million 6.2 mara 30 jibu unaloView attachment 3082309
Kama ambavyo ningependa kujua ushahidi wa hizi tuhuma dhidi ya Makonda juu ya hili suala, ningependa kujua ushahidi wenu kwamba haya anayosema ni kwa sababu za wivu tu kwa Makonda !Naunga mkono hoja, ni wivu tuu dhidi ya mafanikio yake. Kumbe ni Uongo, Uzushi, Fitna, Majungu, Wivu na Kijicho dhidi ya mafanikio yake! Makonda wapuuze
P
Huyo ni mshambaUnafahamu gharama ya kulala Gran Melia Hotel Arusha kwa siku au??nadhani unalinganisha gharama na vi-Hotel uchwara vya huko Kibondo kwenye vumbi mpaka makalioni,tembea Uone Muha wewe
Melia Hotel ni USD 489 kwa siku ya leo. Sasa 489 x 2389 = 1,168,221.Unafahamu gharama ya kulala Gran Melia Hotel Arusha kwa siku au??nadhani unalinganisha gharama na vi-Hotel uchwara vya huko Kibondo kwenye vumbi mpaka makalioni,tembea Uone Muha wewe
Unafahamu gharama ya kulala Gran Melia Hotel Arusha kwa siku au??nadhani unalinganisha gharama na vi-Hotel uchwara vya huko Kibondo kwenye vumbi mpaka makalioni,tembea Uone Muha wewe