Gazeti la Raia Mwema laripoti njama za kuiba pesa BoT wakati wa msiba wa Hayati Dkt. Magufuli

Gazeti la Raia Mwema laripoti njama za kuiba pesa BoT wakati wa msiba wa Hayati Dkt. Magufuli

Bashiru hakwepi huu mtego πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hizi ndio wanaita freedom of speech, huyo mwandishi akiambiwa athibitishe maandishi yake with evidence not so sure kama ataweza.

Ni bora Mama Samia ajizoeshe mapema vijembe vya kigogo, chahali, Fatma karume, Maria Sarungi na mental case wengine kutoka twitter kuliko kuanza kuchekea nakala ambazo mwandishi hawezi toa ushahidi.

Iwe habari ya ukweli au la. Evidence is important vinginevyo ni kosa kisheria.

Akianza kuchekea mambo kama haya sio muda mrefu ataanza kusoma yeye mwenyewe kampa dada yake sijui shemeji yake tender za serikali huko kwao Chakechake.

Magufuli went overboard na media censorship but for the most alitaka waandishi wajikite kwenye habari za ukweli hata kama story aina uhusiano na serikali.

Sasa mama acheke na nyani halafu aone what headlines will follow soon, watanzania ni easily predictable sio watu wakuwachekea kabisa.

Busara ni kumwambia mapema msemaji mkuu wa serikali kwenye media moto ni uleule.
Mungu aliona mbali kuweka kifo.
Vinginevyo kuna watu wangetunyanyasa sana sijui kifo kisingekuwepo ingekuaje sijui maana daah
 
Bashiru hakwepi huu mtego [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Potelea mbali najua sipati hata mia kwa kusulubiwa kwake ila napenda kuona haki ikitendeka[emoji23][emoji23]
 
Mkuu mzigo ulikabidhiwa jana saa hii bado inner circle wanafanya thorough analysis hakuna jiwe litakalokaa juu ya jiwe.
President Samia alimweleza yule bwana CAG, taarifa zako ziwe wazi hasa za mashirika ya umma utayoleta. sio kuficha ficha.
bado hatujaelewa tu?
sisi wananchi ni haki yetu kujua muhstakabali wa mali zetu, serikali kama kuna mahala media wamezingua basi jambo la kwanza wakanushe kwa fact.
sio mambo ya leta evidence
 
Hizi ndio wanaita freedom of speech, huyo mwandishi akiambiwa athibitishe maandishi yake with evidence not so sure kama ataweza.

Ni bora Mama Samia ajizoeshe mapema vijembe vya kigogo, chahali, Fatma karume, Maria Sarungi na mental case wengine kutoka twitter kuliko kuanza kuchekea nakala ambazo mwandishi hawezi toa ushahidi.

Iwe habari ya ukweli au la. Evidence is important vinginevyo ni kosa kisheria.

Akianza kuchekea mambo kama haya sio muda mrefu ataanza kusoma yeye mwenyewe kampa dada yake sijui shemeji yake tender za serikali huko kwao Chakechake.

Magufuli went overboard na media censorship but for the most alitaka waandishi wajikite kwenye habari za ukweli hata kama story aina uhusiano na serikali.

Sasa mama acheke na nyani halafu aone what headlines will follow soon, watanzania ni easily predictable sio watu wakuwachekea kabisa.

Busara ni kumwambia mapema msemaji mkuu wa serikali kwenye media moto ni uleule.
RaiaMwema siyo wajinga kama wewe kwamba watoe taarifa nyeti kama hii bila kuwa na evidence from reliable sources...

Habari za ugonjwa na mauti ya ndugu yenu Jiwe zilikuwa zina trend hivi hivi huku mkidai "evidence" na mkijitahidi kukanusha kanusha ovyo pasipo utaratibu nyie wwnyewe mkiwa hamna evidence kuwa ni mzima wa afya, hajafa...
 
Wapi nilipoandika hivyo?
Point yako hapo juu kwamba kigogo anawapeleka puta mafisadi as if kigogo ni mahakama, kigogo anatoa taarifa tu mamlaka husika zina vyanzo vya taarifa pia na kama zina meno basi taarifa zitafanyiwa kazi
 
Potelea mbali najua sipati hata mia kwa kusulubiwa kwake ila napenda kuona haki ikitendeka[emoji23][emoji23]
Hakika namwombea apatikane na hiyo kashfa avuliwe nyadhifa zote hana maana kabisa mrundi yule tena ndio alikuwa mkandarasi wa maupunbavu yote aliyokuwa anafanya Magufuli
 
Kuna lugha hutumika ' whistle-blowing' na kuwa credible lazima investigation ifanyike.

Na kwa wanahabari investigative journalism inahitajika. Ili mwanahabari asiwe biased.
 
Majungu tu haya hamna mtu anaye weza kuiba kijinga kiasi hiki. Mwisho wa siku lazima angetakiwa atoe maelezo ya jinsi fedha zilivyo tumika.

Za escrow zilikuwa nyingi kuliko hizi, unajua maelezo yake?
 
No that was not my point.
Point yako hapo juu kwamba kigogo anawapeleka puta mafisadi as if kigogo ni mahakama, kigogo anatoa taarifa tu mamlaka husika zina vyanzo vya taarifa pia na kama zina meno basi taarifa zitafanyiwa kazi
 
Wewe f.al.a kabisa. Magazete ya Msiba na Mchange ambayo kila.siku ni kuchagua wanaohisiwa kumpinga Mwendazake yalidunda ila yaliyohoji tu utkufu wake walinyooshwa. Mawio, Mwanahalisi, Mwananchi et al
Mwenda zake kashafika anapostahili
 
Back
Top Bottom