Gazeti la Uhuru lamalizika sokoni tangu saa 2 asubuhi, Wasomaji walisaka hata kwa dau kubwa

Gazeti la Uhuru lamalizika sokoni tangu saa 2 asubuhi, Wasomaji walisaka hata kwa dau kubwa

Aiseee alert hiyo ndani ya chama. Ajue kuwa anaandaliwa kisaikolojia.

CCM bana, hili chama hapo tu ndiyo huwa nalielewa.

Hakuna mkubwa ndani ya chama. Niliweka uzi wakora wakaufuta. Nikieleza hakuna mtu kama mtu awezaye kukishinda hiki chama.

Kuanzia Nyerere hadi hao walio mfuatia.

Shikamoo CCM.
Mwendazake alikiweka hiko chama mfukon hakukua nawakupinga
 
Wanaficha aibu yao. Wanamsemea mama kuwa hatagombea 2025 wakati ndio kwanza kaanza kunogewa na Airbus kuzunguka nchi na dunia.

Yani wanataka mama aache raha zote hizo baada ya miaka 4 tu.

Sitostaajabu baada ya 2025 watatokea watu 'kumuomba' mama agombee tena hata kama katiba hairuhusu. Na kwa jinsi mama alivyomsikivu atakataa kidogo halafu atakubali kama alivyofanya rafiki yake Kagame Rwanda.

Halafu Uhuru wanataka kumsingizia mama kuwa hatogombea, they are not serious.
Acha upopoma
Katiba inampa Mama Samia uhuru wa kugombea tena 2025
 
Yani ndio gazeti mama la yote. Kuwa ndio gazeti la kwanza kuanzishwa Tanzania
1628696547863.png
 
Kwa mara ya kwanza katika historia ya nchi hii , leo gazeti la Uhuru limenunuliwa lote kabisa mitaani na kwisha kabisa huku wanunuzi wengi wakilisomea vyumbani mwao ili kutafuta utulivu na kuelewa zaidi maudhui ya gazeti hilo kwa leo.

Ikumbukwe kwamba kwa miaka mingi sana gazeti hili lilikuwa ndio gazeti la mwisho kwa mauzo kiasi cha kushangaza namna linavyoweza kujiendesha kwa kuuza nakala chache kila siku, huku vijana wengi wakiliita gazeti la "kufungia vitumbua"

Bado tunashang'aa kulikoni leo gazeti hili kutafutwa hadi kwa gharama ya tsh elfu 10 kwa nakala moja!

View attachment 1888254
Wewe hujui historia ya nchi hii, gazeti la Uhuru lilikuwa linanunuliwa nakala zote hadi kufikia saa mbili asubuhi. Hii kidorora kimauzo imekuja miaka hii lkn hata miaka ya 1990 lilikuwa linanunuliwa lote, sijui wakati huo ulikiwa wapi
 
Kwa hiyo labda tutamuona siku moja rais anatoroka Ikulu usiku wa manane.

Kwa nini gazeti limenunuliwa kwa wingi namna hiyo?

Kuhusu urais mwaka 2025,Samia Suluhu amesema atamwachia Mungu aamue.

Tayari Mungu ameshaamua. Mungu kawafukuza watu kazi watu watatu.

Lakini, seriously,nimeitazama hii video ya mtu anaburuzwa na pikipiki Tanga,wazo langu la kwanza lilikuwa"Samia Suluhu ajiuzulu"

Haya ndiyo mambo yalitokea Texas,wazungu walimburuta Nigger. Next thing tukaona Barak Obama amekuwa rais wa Marekani.

Ndio hapo unasema watu wale wakabidhiwe kwa shetani kwa sababu wanafanya Dini ya Shetani ipate sifa mbaya.
 
Inawezekana mawazo ya mtu mmoja ndio yaliyotengeneza hiyo habari kwenye gazeti, kama ni hivyo, je, hilo gazeti halina mhariri mkuu? au nae alipozwa?

Ningependa niione ili niisome hiyo habari nione kama kuna kiongozi mwandamizi waliyemnukuu toka kwenye chama chao mwenye inside info.

Vinginevyo, huo kweli unaweza kuwa mchezo umesukwa na wahafidhina waliokuwa wanambania Samia asiwe Rais.

Kwa upande mwingine, binafsi namuona Samia amechoka, both kimwili na kiakili, na hata haya yanayojitokeza siku hizi ukiwemo ule udhaifu wake kujibu maswali kwenye mahojiano na BBC, yalisababishwa na yeye kuwa mzito kufuatilia mambo yanayoendelea kwenye serikali yake.
 
Back
Top Bottom