Gazeti la Uhuru: Rais Samia hana wazo la kugombea Urais 2025

Gazeti la Uhuru: Rais Samia hana wazo la kugombea Urais 2025

Magufuli hakuwa na ushawishi wowote wa kisiasa kama ilivyo kwa Samia pia alikuwa ni jambazi tu lilobahatika kutinga Ikulu.
Yaani kumliganisha Samia na JPM ni Kama mbingu na ardhi, yeye mwenyewe amekiri viatu vya mzee havimtoshi. Enzi za JPM Kama anahutubia utakuta watu wamekusanyika mbele ya TV wanafuatilia hotuba, Leo hii Sasa Samia anahutubia watu hawana hata habari [emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji2957][emoji2957]

Sent from my itel W6004 using JamiiForums mobile app
 
Kosa kubwa la Mama ni kukubali watu wamdhihaki Dkt Magufuli kutokana na kifo, yaani anaenda mpaka kupiga picha na Mange kimambi ambaye alikuwa ana ratibu mauaji ya Dkt Magufuli na baada ya kifo alifurahia. Yaani Mama kumsafisha inazidi kuwa ngumu sana. Yaani angejua alipaswa achukue ushauri kwa TISS badala ya kukurupuka kama alivyofanya. Yaani chuki huku mitaani ni kubwa mno.
Ukweli ni kwamba maadui wa Magufuli waliofurahia kifo chake ni wachache sana na karibuni wote hao ni wanufaika wa ufisadi kwa namna moja au nyingine. Kutaka kuwafurahisha hao hakukuongezei mtaji wa kisiasa. Wanaompenda JPM kwa dhati ni wengi mno na ukiwahuzunisha hao kwa kumkashifi JPM kama wanavyofanya wanasiasa uchwara ni kujichimbia kaburi kwenye ulingo wa siasa za Tz!! Mliokosea hapo jiandaeni kuaibika!! JPM japo hayupo lakini hakuna mwenye ubavu wa kuweza kuvunja misingi aliyoiweka!! Kwa mfano huwezi kuimba wimbo wa "Tanzania ni nchi maskini" halafu utegemee watu watakuitikia!!, Pia huwezi kuimba wimbo wa "kuwatishia watu na corona" halafu utegemee watu watakuitikia!! Huwezi kupambana na kivuli cha Magufuli na ukashinda!! Kama unabisha waulize wanaohamasisha chanjo za corona na uvaaji wa barakoa!!! Magufuli ni mwanasiasà aliyefanikiwa sana!! Huwezi kubomoa alichokijenga, na ukijaribu unajibomoa mweñyewe!!
 
State apparatus ni moja; State apparati ni zaidi ya moja. Sijui ulimaanisha nini Mkurungwa!?
Hujamaliza kujifunza,

The state apparatus includes "the Government, the Administration, the Army, the Police, the Courts, the Prisons, etc." (Althusser, Lenin 96). These are the agencies that function "by violence," by at some point imposing punishment or privation in order to enforce power.
 
Tatizo vichwa vyenu vimejaa maji hamjielewi.
Ok wewe unayejielewa hawakujua kuwa winch ya tani 26 ingehitajika kuiñstal hizo gates,ndiyo waziri anasema ujazaji maji hauwezi anza kabla ya mwezi machi, shame on him
 
Wapumbavu kama nyinyi ni wa kuhurumiwa tu c-in-c SS HASSAN tunae mpaka 2030 upende usipende kwa vyovyote vile narudia til 2030 whether u like it or not
 
Ukweli ni kwamba maadui wa Magufuli waliofurahia kifo chake ni wachache sana na karibuni wote hao ni wanufaika wa ufisadi kwa namna moja au nyingine. Kutaka kuwafurahisha hao hakukuongezei mtaji wa kisiasa. Wanaompenda JPM kwa dhati ni wengi mno na ukiwahuzunisha hao kwa kumkashifi JPM kama wanavyofanya wanasiasa uchwara ni kujichimbia kaburi kwenye ulingo wa siasa za Tz!! Mliokosea hapo jiandaeni kuaibika!! JPM japo hayupo lakini hakuna mwenye ubavu wa kuweza kuvunja misingi aliyoiweka!! Kwa mfano huwezi kuimba wimbo wa "Tanzania ni nchi maskini" halafu utegemee watu watakuitikia!!, Pia huwezi kuimba wimbo wa "kuwatishia watu na corona" halafu utegemee watu watakuitikia!! Huwezi kupambana na kivuli cha Magufuli na ukashinda!! Kama unabisha waulize wanaohamasisha chanjo za corona na uvaaji wa barakoa!!! Magufuli ni mwanasiasà aliyefanikiwa sana!! Huwezi kubomoa alichokijenga, na ukijaribu unajibomoa mweñyewe!!
Tena wanajilaani. Dkt Magufuli alifanya vitu toka moyoni. Alijua shida za watu maskini. Alihimiza watu wafanye kazi kujipatia kipato. Yeye ktk maisha yake aliwahi kuwa chinga wa kuuza maziwa, alifahamu kabisa maisha ya watanzania wa kawaida na alifahamu nini maana ya mlo wa siku. Ila bahati mbaya wateule wa Mama yetu wengi wao hawayajui maisha yetu ya kubangaiza, leo kawafukuza chinga wote na wamemdanganya akakope hela aje awajengee sehemu za biashara yaani akakope wakati Dkt Magufuli alituhakikishia nchi yetu ni tajiri.
 
Hizo sababu zote ulizozitoa hazina mashiko.
Sababu kubwa me nadhani itakua ni umri,mpaka kufikia 2025 mama atakua kachoka sana.we muangalie sasa hivi tu toka ashike madaraka anazeeka kila uchwao.
 
Umeulizwa mara nyingi hapo juu.Kwa nini huyo unayemueleza kwamba aliweza "kuuzika" alibaka chaguzi zote(serikali za mitaa na uchaguzi mkuu)?Huko kuuzika kunaonwaje na watu wengine?
Alibaka chaguzi sababu ya ujinga wake tu ila kimsingi hakuna mtu mwenye akili angemkataa Magufuli amchague Lissu
 
Samia hahitaji kukubalika na wananchi ili awe Rais 2025, Magufuli aliua kabisa mfumo wananchi kuwaondoa madarakani Viongozi wasiowataka

Kwa jinsi Magufuli alivyoharibu mifumo, Samia atashinda kwa asilimia kubwa zaidi kuliko Magufuli japo unasema hakubaliki

Mark my Words..
Sasa kwa Samia ndio mnaweza kuondoa madarakani viongozi msiowataka?

Ukiondokana na hio hangover ya bwimbwi hilo ulilokunywa jana usiku tutaongea vizuri.
 
Mpaka sasa Mama hana Mpinzani, labda kama Katiba na Tume ya Uchaguzi itabadilishwa.. Otherwise she is there to stay mpaka 2030
Kwao mnaopiga pesa maofisini humo Mama hana upinzani ila kwa sie waganga njaa wa mtaani tuna jambo letu tunataka tumfanye hapo 2025 kwenye ballot box!

Sasa tutaona nyie wakurugenzi 100,000 against wananchi 45M hali ya kura itakuwaje na asipoleta ujanja wa kuwabana tume huru ili wapindue matokeo lazma arudi kwao Stone town mapema sana. Najua hatoweza bila kumtumia Makamba kuhack system pamoja na majangili wengine!
 
Kweli SAMIA anaendelea kuwa Rais wetu mpendwa, tena vyama vya upinzani visijisumbuwe kusimamisha wagombea ngazi yoyote maana vitakuwa vinajisumbua.

Sent from my SM-A022F using JamiiForums mobile app
Ni kweli lazma awe mpendwa sababu mnasafiri hovyo na kujilimbikizia perdiems wakati chuma aliwanyoosha ni ofisini tarehe 1-30..

Ni kweli sababu mnapokea rushwa bila uoga sasa..huduma bila ya kubrashia viatu imekuwa ngumu ila neema iko kwenu wapigaji!

Tutashughulika na sanduku la kura tu!
 
Ukweli ni kwamba maadui wa Magufuli waliofurahia kifo chake ni wachache sana na karibuni wote hao ni wanufaika wa ufisadi kwa namna moja au nyingine. Kutaka kuwafurahisha hao hakukuongezei mtaji wa kisiasa. Wanaompenda JPM kwa dhati ni wengi mno na ukiwahuzunisha hao kwa kumkashifi JPM kama wanavyofanya wanasiasa uchwara ni kujichimbia kaburi kwenye ulingo wa siasa za Tz!! Mliokosea hapo jiandaeni kuaibika!! JPM japo hayupo lakini hakuna mwenye ubavu wa kuweza kuvunja misingi aliyoiweka!! Kwa mfano huwezi kuimba wimbo wa "Tanzania ni nchi maskini" halafu utegemee watu watakuitikia!!, Pia huwezi kuimba wimbo wa "kuwatishia watu na corona" halafu utegemee watu watakuitikia!! Huwezi kupambana na kivuli cha Magufuli na ukashinda!! Kama unabisha waulize wanaohamasisha chanjo za corona na uvaaji wa barakoa!!! Magufuli ni mwanasiasà aliyefanikiwa sana!! Huwezi kubomoa alichokijenga, na ukijaribu unajibomoa mweñyewe!!
Magufuli ni kama oil chafu yani ukiigusa lazma utachafuka tu! Kwa upumbavu unaoendelea sahizi ukipita hata kijiweni ukachomekea story za mama watu wanainuka wanaondoka wamefyonza😅
 
Fisadi unamchekelea mama kwa kuwa mmemwona ni zuzu .....lakini mkae mkijua nyinyi wahuni lazima tuwamalize tu
Kuna muhuni Kama aliyekwapua trilion 1.5? Na akaenda kujenga uwanja wa ndege Chato bila kupitishwa na Bunge tena kwa kampuni yake?
 
Back
Top Bottom