Gazeti la Uhuru: Rais Samia hana wazo la kugombea Urais 2025

Gazeti la Uhuru: Rais Samia hana wazo la kugombea Urais 2025

Nawasalimu Kwa Jina la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.

Huu ni uchambuzi mfupi tu wa "facts".

1. Samia alikuwa makamu wa Rais WA Rais Wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania hayati Dr JPJM. 2015-2020.

2. Magufuli alikuja kuliokoa jahazi lililokuwa linazama mikononi mwa Kikwete.

3. Magufuli alikuwa kiungo muhimu sana aliyeifufua CCM ambayo ilikuwa imejifia kwenye UFISADI, UDHAIFU na MAUCHAFU ya kila aina. Hata watu waliokuwa wanavaa manguo ya kijani walipigwa mawe.

4. Wakati wa Magufuli, CCM iliimarika na kustawi. Hata vijana wakapata hamasa ya kuishabikia.

5. Hayo yote yalifanyika kwa sababu, kwanza Magufuli alikuwa si mwanasiasa wa maneno maneno. Utendaji wake wa miaka mitano unajidhihirisha.

6. Samia hakuwahi kuwa na mvuto wa Kisiasa wakati wa Magufuli. Alibebwa bebwa tu. Hata watu wengi hawakumjua wala kumtilia maanani.

7. Samia sio president material. Hana ushawishi wa maneno wala wa vitendo. Hata akisimama jukwaani hana nguvu ya kisiasa.

7) (a) Hawezi kujipambanua kisiasa. Akigombea atafeli kabla hajaanza (isipokuwa tu labda kwa usaidizi wa state apparatus).

b) Hawezi kupambana katika ulingo wa Kisiasa. Ni mchovu.

c) Hana ushawishi kwa wananchi. Ushawishi ni karama ambayo hana. Hana kismati. (labda atumie uchawi na mapete ya kiganga).

d) Ameshawavuruga watu makundi kwa makundi (wamachinga, mamantilie, vijana, TOZO, Bandari ya bagamoyo, Bwawa la Nyerere, mgao wa umeme, maji pamoja na kurudisha mafisadi serikalini). Hili ni doa.

NB: CCM wakitaka waaibike 2025 wamuweke huyu mama. Watapata aibu ya karne.
CCM haikuimarika wakati wa Magufuli, labda useme ilishikamanisha zaidi na vyombo vya Dola ili kutisha watu.
 
Una hakika hawajui au umekariri?.Nchi haina usawa wakisiasa alafu ilo wewe ulioni kua ndo tatizo la wapinzani wengi kukaa kimya na mawazo yao.kungekua na demokrasia inayoeleweka tungeweza kua na hukumu sahihi tofauti na hii yako yakimagumashi iliyolemea upande mmoja.

Huo usawa mnataka mpewe kama zawadi?? , kama mnaona hicho ndio kikwazo pambania kwanza huo usawa Sasa , then Mambo Mengi ndio yafuate!!
 
Umenena kweli tupu,

Utaratibu wa aina ya kiongozi kama huyu ufutwe mara moja.....................

Wanaomshabikia na kumsifu kila kukicha ni kwa sababu ya matumbo yao; wakati walio kimya wana hasira zisizoelezeka
Correct
 
CCM ndio ambao hawajielewi kuliko hata Upinzani
Hawana muendelezo, kila mtu anakuja na lake
Kama sio kutumia manguvu na Bunduki kutisha watu, CCM ina ushawishi gani?

Au kama upinzani haujielewi kwa nini nyie msitoke huko CCM mnakolalamika mkaunda Upinzani unaofaa kama mna makende?

Afu mimi sio CCM
 
Nawasalimu Kwa Jina la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.

Huu ni uchambuzi mfupi tu wa "facts".

1. Samia alikuwa makamu wa Rais WA Rais Wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania hayati Dr JPJM. 2015-2020.

2. Magufuli alikuja kuliokoa jahazi lililokuwa linazama mikononi mwa Kikwete.

3. Magufuli alikuwa kiungo muhimu sana aliyeifufua CCM ambayo ilikuwa imejifia kwenye UFISADI, UDHAIFU na MAUCHAFU ya kila aina. Hata watu waliokuwa wanavaa manguo ya kijani walipigwa mawe.

4. Wakati wa Magufuli, CCM iliimarika na kustawi. Hata vijana wakapata hamasa ya kuishabikia.

5. Hayo yote yalifanyika kwa sababu, kwanza Magufuli alikuwa si mwanasiasa wa maneno maneno. Utendaji wake wa miaka mitano unajidhihirisha.

6. Samia hakuwahi kuwa na mvuto wa Kisiasa wakati wa Magufuli. Alibebwa bebwa tu. Hata watu wengi hawakumjua wala kumtilia maanani.

7. Samia sio president material. Hana ushawishi wa maneno wala wa vitendo. Hata akisimama jukwaani hana nguvu ya kisiasa.

7) (a) Hawezi kujipambanua kisiasa. Akigombea atafeli kabla hajaanza (isipokuwa tu labda kwa usaidizi wa state apparatus).

b) Hawezi kupambana katika ulingo wa Kisiasa. Ni mchovu.

c) Hana ushawishi kwa wananchi. Ushawishi ni karama ambayo hana. Hana kismati. (labda atumie uchawi na mapete ya kiganga).

d) Ameshawavuruga watu makundi kwa makundi (wamachinga, mamantilie, vijana, TOZO, Bandari ya bagamoyo, Bwawa la Nyerere, mgao wa umeme, maji pamoja na kurudisha mafisadi serikalini). Hili ni doa.

NB: CCM wakitaka waaibike 2025 wamuweke huyu mama. Watapata aibu ya karne.
"(...labda atumie state apparatus)"

Hili ni jambo la kawaida kwa ccm, mwendazake alikuwa muumini wa haya mambo.
 
CCM hakuna mtu anaitaka. Mmesahau kuwa hata Magufuli aliingizwa kugombea 2015 ili kuokoa jahazi, lakin bado ikawa ngumu wakaishia kuiba kura! Ndo iwe mama. CCM imekufa, imebaki polisi na usalama tu.
 
Nawasalimu Kwa Jina la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.

Huu ni uchambuzi mfupi tu wa "facts".

1. Samia alikuwa makamu wa Rais WA Rais Wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania hayati Dr JPJM. 2015-2020.

2. Magufuli alikuja kuliokoa jahazi lililokuwa linazama mikononi mwa Kikwete.

3. Magufuli alikuwa kiungo muhimu sana aliyeifufua CCM ambayo ilikuwa imejifia kwenye UFISADI, UDHAIFU na MAUCHAFU ya kila aina. Hata watu waliokuwa wanavaa manguo ya kijani walipigwa mawe.

4. Wakati wa Magufuli, CCM iliimarika na kustawi. Hata vijana wakapata hamasa ya kuishabikia.

5. Hayo yote yalifanyika kwa sababu, kwanza Magufuli alikuwa si mwanasiasa wa maneno maneno. Utendaji wake wa miaka mitano unajidhihirisha.

6. Samia hakuwahi kuwa na mvuto wa Kisiasa wakati wa Magufuli. Alibebwa bebwa tu. Hata watu wengi hawakumjua wala kumtilia maanani.

7. Samia sio president material. Hana ushawishi wa maneno wala wa vitendo. Hata akisimama jukwaani hana nguvu ya kisiasa.

7) (a) Hawezi kujipambanua kisiasa. Akigombea atafeli kabla hajaanza (isipokuwa tu labda kwa usaidizi wa state apparatus).

b) Hawezi kupambana katika ulingo wa Kisiasa. Ni mchovu.

c) Hana ushawishi kwa wananchi. Ushawishi ni karama ambayo hana. Hana kismati. (labda atumie uchawi na mapete ya kiganga).

d) Ameshawavuruga watu makundi kwa makundi (wamachinga, mamantilie, vijana, TOZO, Bandari ya bagamoyo, Bwawa la Nyerere, mgao wa umeme, maji pamoja na kurudisha mafisadi serikalini). Hili ni doa.

NB: CCM wakitaka waaibike 2025 wamuweke huyu mama. Watapata aibu ya karne.
Napita tu. ila umetohoa
 
Daaah hadi nakuonea huruma sukuma gang!

Na mama anaenda kukata mirija yenu yote mliyojiwekea na Marehemu wenu. Polee sana

Samia ndo Rais wako hadi 2030 kama huwezi vumilia rudi kwenu tu Burundi
Kweli SAMIA anaendelea kuwa Rais wetu mpendwa, tena vyama vya upinzani visijisumbuwe kusimamisha wagombea ngazi yoyote maana vitakuwa vinajisumbua.

Sent from my SM-A022F using JamiiForums mobile app
 
Kivipi bwashee
Huyo sukuma genge mwenzako si ndiye aliyekuwa dicteta wa kutupwa alipendwa na nani c alikuwa analazimishwa tu kupendwa huku akitumia vyombo vya dola ,vilivyokuwa vikimsaidia kutesa na kupoteza watu na kutia maiti kwenye vipolo na kutupa baharini hayo hamuyaoni nyinyi sukuma genge .kwa tarifa yako hakuna aliyekuwa anampenda magufuli ila watu wanamuogopa magufuli na vyombo vyake vya dola alivyokuwa akivitumia vibaya, ujuwe hivyo ndivyo ilivyokuwa
 
Huyo sukuma genge mwenzako si ndiye aliyekuwa dicteta wa kutupwa alipendwa na nani c alikuwa analazimishwa tu kupendwa huku akitumia vyombo vya dola ,vilivyokuwa vikimsaidia kutesa na kupoteza watu na kutia maiti kwenye vipolo na kutupa baharini hayo hamuyaoni nyinyi sukuma genge .kwa tarifa yako hakuna aliyekuwa anampenda magufuli ila watu wanamuogopa magufuli na vyombo vyake vya dola alivyokuwa akivitumia vibaya, ujuwe hivyo ndivyo ilivyokuwa
Sijakuelewa. Hebu rudia upya.
 
watu hawana ham na huyu mama tena, sjui kama wataweka mwanamke tena next time


Hapa ndipo nilikuwa napasubiri .

Kwa hiyo mnamsakama sababu ya jinsia yake kuwa ni mwanamke ?

Mnakosea sana kama ni hivyo.

Hivi wewe na wale wote wenye kuathiriwa na mfumodume niwaulize;

Nchi hii tangu ipate Uhuru yapata miaka 60 sasa, Je Viongozi wakuu wa nchi walikuwa wajinsia gani?

Je walikuwa wanaume au wanawake?

Je walotufikisha hapa tukiwa hatuna maji wala umeme ni Viongozi wanaume au wanawake?

Ifahamike kuwa ukosefu wa huduma ya maji na umeme unaathiri maendeleo ya uchumi kwa kiasi kikubwa sana.

Weaknesses nyingine zimekuwa inherited toka nyuma , sasa tumpe muda afanye kazi.

Mwanzo wa ngoma lele.

Huyu kiongozi mwanamke ana miezi michache tu kumhukumu kuwa hatoshi ni kutomtendea haki.

Tumpe muda afanyekazi atumikie waTZ na wasio waTZ kwa mujibu.

Ni afadhali kumjadili na kumkosoa kama mtu/binadamu lakini mkitaka kumhukumu kwa jinsia yake haitakubalika kabisa na si haki.

Go Samia go [emoji123]

Never loose hope Samia ,

Unaweza Samia [emoji123]

Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi!

InshaAllah.
 
Back
Top Bottom