Gazeti la Uhuru: Rais Samia hana wazo la kugombea Urais 2025

Gazeti la Uhuru: Rais Samia hana wazo la kugombea Urais 2025

Sukuma gang wanateswa sana na Samia wanatamani ile mechi waliyopoteza 17,march irudiwe.
 
Samia hana merits.

Ukitaka kubebwa lazima ubebeke.

Huwezi kubeba gunia la misumari.

Magufuli alikuwa ana "soko" kisiasa.

Ni mtu aliyekuwa anaweza kuuzika. Ni rahisi kumshindisha. Ana merits.
Alikua na soko kwa lipi?
 
Kwa akili yako ulitarajia kabisa Lissu ashinde? Hata kwa kutumia tume huru?

Kwa lipi?

Badala ya kujibu swali unaliza swali juu ya swali? Ukweli ni kwamba uchaguzi haukuwa wa huru hivyo vihoja vya nani angeshida hatuvijui na ndiyo maana tuna chaguzi! Tuache tabia za kujidanganya kama vile Magu alikuwa malaika wakati kaaribu sana demokrasia. Unasema eti Rais Samia hataweza wakati unajua Magu ndiyo kawapa nguvu usalama wa taifa na Polisi kuwa wezi wa kura sasa mtu yeyote wa CCM anashinda kwa mazingira haya. Vilevile bila tume huru ni lipumba na wwngine wa kupandikizwa ndiyo watagombea
 
Hawana focus hawajui wanasimamia Nini , sera zao ni zipi ?? kiasi ukimchukua mwanachama wa kawaida level ya diwani umuulize wewe Sera za chama CHaKE hajui , wanachojua ni kelele tu na kusubir matukio watembee nayo .
Una hakika hawajui au umekariri?.Nchi haina usawa wakisiasa alafu ilo wewe ulioni kua ndo tatizo la wapinzani wengi kukaa kimya na mawazo yao.kungekua na demokrasia inayoeleweka tungeweza kua na hukumu sahihi tofauti na hii yako yakimagumashi iliyolemea upande mmoja.
 
Ccm ndo inamalizikia hivyo.hizo porojo zako kua Jpm aliifufua kadanganye wajinga.Ccm ilianza kuded ilivyoingia serikali ya 4 na haijawai kufufuka,ndo maana toka kipindi hicho inatumia mwavuli wa mwenyekiti kubaki madarakani nasio vinginevyo.Kwahiyo hakuna cha Jpm wala mama wote wale wale.Na wewe kinachokusumbua wala sio uzalendo bali ubinafsi binafsi.inaonekana ulikua team chato sasa mambo yamebadilika unaleta kiwewe.
 
Ila kiukweli Samia hakubaliki Kwa watanzania wengi hasa tabaka la chini ! Fanya research ndogo tu mtaani kwako uone wananchi wa kawaida mtazamao kuhusu huyu rais utaona ! Achana na mashabiki wa mtandaoni wengi ni mihemko tu .


....tungekuwa na upinzani imara na unaojielewa angepata shida sana hiyo 2025 kama atagombea lakini Kwa wapinzani Hawa akina lema, sugu , lisu,mbowe, msigwa etl , CCM hata wamsimamishe nabii TITO anashinda tena kihalali kabisa.
CCM ndio ambao hawajielewi kuliko hata Upinzani
Hawana muendelezo, kila mtu anakuja na lake
Kama sio kutumia manguvu na Bunduki kutisha watu, CCM ina ushawishi gani?

Au kama upinzani haujielewi kwa nini nyie msitoke huko CCM mnakolalamika mkaunda Upinzani unaofaa kama mna makende?
 
Kosa kubwa la Mama ni kukubali watu wamdhihaki Dkt Magufuli kutokana na kifo, yaani anaenda mpaka kupiga picha na Mange kimambi ambaye alikuwa ana ratibu mauaji ya Dkt Magufuli na baada ya kifo alifurahia. Yaani Mama kumsafisha inazidi kuwa ngumu sana. Yaani angejua alipaswa achukue ushauri kwa TISS badala ya kukurupuka kama alivyofanya. Yaani chuki huku mitaani ni kubwa mno.
Unajua ushawishi wa mange huko Instagram wakati na baada ya utawala wa jpm au watu gan unaowazumgumzia ww
 
Hawana focus hawajui wanasimamia Nini , sera zao ni zipi ?? kiasi ukimchukua mwanachama wa kawaida level ya diwani umuulize wewe Sera za chama CHaKE hajui , wanachojua ni kelele tu na kusubir matukio watembee nayo .
Kama viongozi wa juu kama Waziri anaweza kuwapongeza majambazi kama akina Sabaya, CCM ina watu wa chini wanaojielewa?
 
Nawasalimu Kwa Jina la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.

Huu ni uchambuzi mfupi tu wa "facts".

1. Samia alikuwa makamu wa Rais WA Rais Wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania hayati Dr JPJM. 2015-2020.

2. Magufuli alikuja kuliokoa jahazi lililokuwa linazama mikononi mwa Kikwete.

3. Magufuli alikuwa kiungo muhimu sana aliyeifufua CCM ambayo ilikuwa imejifia kwenye UFISADI, UDHAIFU na MAUCHAFU ya kila aina. Hata watu waliokuwa wanavaa manguo ya kijani walipigwa mawe.

4. Wakati wa Magufuli, CCM iliimarika na kustawi. Hata vijana wakapata hamasa ya kuishabikia.

5. Hayo yote yalifanyika kwa sababu, kwanza Magufuli alikuwa si mwanasiasa wa maneno maneno. Utendaji wake wa miaka mitano unajidhihirisha.

6. Samia hakuwahi kuwa na mvuto wa Kisiasa wakati wa Magufuli. Alibebwa bebwa tu. Hata watu wengi hawakumjua wala kumtilia maanani.

7. Samia sio president material. Hana ushawishi wa maneno wala wa vitendo. Hata akisimama jukwaani hana nguvu ya kisiasa.

7) (a) Hawezi kujipambanua kisiasa. Akigombea atafeli kabla hajaanza (isipokuwa tu labda kwa usaidizi wa state apparatus).

b) Hawezi kupambana katika ulingo wa Kisiasa. Ni mchovu.

c) Hana ushawishi kwa wananchi. Ushawishi ni karama ambayo hana. Hana kismati. (labda atumie uchawi na mapete ya kiganga).

d) Ameshawavuruga watu makundi kwa makundi (wamachinga, mamantilie, vijana, TOZO, Bandari ya bagamoyo, Bwawa la Nyerere, mgao wa umeme, maji pamoja na kurudisha mafisadi serikalini). Hili ni doa.

NB: CCM wakitaka waaibike 2025 wamuweke huyu mama. Watapata aibu ya karne.
Hivi unaposema ccm iliimarika wakati ea jpm una maanidha nini? Yaani asingefanya wizi wa kura mbona ndo awamu ambayo ingebomoa ccm! Na still awamu yake ya pili asingefanya wizi ndo ilikuwa imeisha kabisa ccm
 
Mpaka sasa Mama hana Mpinzani, labda kama Katiba na Tume ya Uchaguzi itabadilishwa.. Otherwise she is there to stay mpaka 2030
 
Back
Top Bottom