HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Yule mwingine mliyemtaka abakie yu wapi hivi sasa?Ndio hana ila tutamlazimisha tu, atake asitake
USSR
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yule mwingine mliyemtaka abakie yu wapi hivi sasa?Ndio hana ila tutamlazimisha tu, atake asitake
USSR
Huyu ndiye pure presidential material liyebakia kwenye serikali hii.Na ni vizuri iwe hivyo.
Majaliwa 2025 kijiti ni chako baba, Tunakuombea
Hizi huwa ni mbwembwe labda kama anampango wa kumleta Mwinyi Bara tutamuelewa kinyume na hapo tutamlazimisha.Rais wa JMT Mh Samia Suluhu Hassan amesema hana wazo la kugombea urais katika uchaguzi mkuu wa 2025.
View attachment 1887958
Chanzo: Gazeti la CCM, Uhuru
Mbona alisema sio Kazi Sana ila shida anakuwa busy sanaLabda mama hataki kuendelea na shida alizoziona kwenye kiti
Aah we! Kiti kina shida gani... bata kama loteLabda mama hataki kuendelea na shida alizoziona kwenye kiti
SI MBAKA..😂miaka ya Maza ndio ya kutafuta pesa
"UTAKUWA UMESOMA ALAMA ZA NYAKATI VIZURI"Rais wa JMT Mh Samia Suluhu Hassan amesema hana wazo la kugombea urais katika uchaguzi mkuu wa 2025.
View attachment 1887958
Chanzo: Gazeti la CCM, Uhuru
Kama hana mpango wa kugombea kwanini aliwaonya waliokuwa wanajionyesha kuelekea 2025.That's a political language. Angesema: ^Sitagombea 2025,^ tungemwelewa!!! Leo hana wazo la kugombea; vipi wazo hilo likimjia kesho au keshokutwa, kama hili la ^ugaidi^ wa Mr Hai?
Uhuru wakemewe. Hawajui madhara ya habari kama hizi. Zinapunguza mzuka watu kusema mazuri ya Mh Rais, badala yake wanawekeza nguvu kwenye mbio za urithi. Ikitokea mama kabadili gia angani anajikuta hana tena wapambe wa kumpigania.Rais wa JMT Mh Samia Suluhu Hassan amesema hana wazo la kugombea urais katika uchaguzi mkuu wa 2025.
View attachment 1887958
Chanzo: Gazeti la CCM, Uhuru
Ndiyo gia zao hawa wajingaHuo ni pumbaza jinga.
Subiri by 2025, kampeni za hapa na pale za kumshinikiza na kumchukulia fomu zitapamba moto.
Muda wote kwa Tanzania ni mwanasiasaSamahani sana naomba kujua hivi Rais huwa ni mwanasiasa au Mtumishi??
Maana sielewi wakati gani anakuwa mwanasiasa na wakati gani anakuwa mkuu wa utumishi
Kauli kama hizi zilitakiwa ziweke library kwa matumizi ya baadae
Unaweza kuona 2025 ni mbali lakini ni kesho tu
Kama ni kweli, sasa anaweza kusimamia katiba mpyaRais wa JMT Mh Samia Suluhu Hassan amesema hana wazo la kugombea urais katika uchaguzi mkuu wa 2025.
View attachment 1887958
Chanzo: Gazeti la CCM, Uhuru
Aliwaonya lini?Kama hana mpango wa kugombea kwanini aliwaonya waliokuwa wanajionyesha kuelekea 2025.
Pia ni lini aliwahi kugombea
Labda mama hataki kuendelea na shida alizoziona kwenye kiti