inaonyesha Rais wetu hana uchu wa madaraka kama ilivyo kwa viongozi wengine ambao wapo tayari kuuwa na kulipua kwa ajili ya kusaka madaraka!! Rais Samia sio mtu wa hivyo, ni mtu anaye tambua kuwa cheo ni dhamana na ni mzigo mzito.
watu wengine anapewa nafasi ndogo tu anataka kuuwa wenzake!! wengine wana ng'ang'ania vyeo mpaka wanaifia ktk vyeo vyao!!!.
kuna watu wana foji mpaka umri wa kuzaliwa ilimradi asistaafu mapema!! wapo kibao, hawataki kuachia vijana!!! haswa kwenye utumishi wa umma kuna watu wanaifia kwenye vyeo vyao hawataki kabisa kupumzika!