Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaropoka tu basi nikajua unakijua chama kumbe sifuri kabisa Mpwa! hahahaah Shaka katoa KANUSHO huko, mko so disorganized dadeeekiInawezekana Mama Samia alisema hivyo kupima upepo ukoje
Ila kwa CCM Yuko sahiihi hairuhusiwi kuanza kampeni kabla ya muda Ni kosa .Tamko lake liko sahihi wale wapiga debe wa ohhh lazima agombee katiba ya CCM hairuhusu na wale mnaosema labda fulani ndiye mnakosea katiba ya CCM hairuhusu.Tafuteni hoja zingine za kujikomba iwe kwa Raisi Samia ,Majaliwa au yeyote.Filimbi ya kuanza kampeni haijapigwa.Wajipendekezaji huu sio wakati wake.Filimbi itapigwa 2025
Unaropoka tu basi nikajua unakijua chama kumbe sifuri kabisa Mpwa! hahahaah Shaka katoa KANUSHO huko, mko so disorganized dadeeeki
Kimeumana vibaya mno huko ndaniUtawala umefitinika huu.. it's a matter of time
Unapumliwa kisogoni wewe sio bure.Hatogombea, Watagombea Gwajima, Bashite, Dotto na Kheri James ili Sukuma Gang waendelee kutawala
Watanzania wa wapi? Sema unatamani kusikia kauli yake!Tunaomba kauli ya Mh. Samia Suluhu Hassan kuhusu mada hii. Watanzania Wana kiu ya kusikia kauli yake bila kusemewa na Mtu au na chama.
View attachment 1889120
Nikishaisikia Mimi, CCM ujumbe utakuwa umewafikia.Watanzania wa wapi? Sema unatamani kusikia kauli yake!
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Utawala umefitinika huu.. it's a matter of time
Rais wa JMT Mh Samia Suluhu Hassan amesema hana wazo la kugombea urais katika uchaguzi mkuu wa 2025.
View attachment 1887958
Chanzo: Gazeti la CCM, Uhuru
PIA, SOMA:
Wenzako tunajua kumsoma mtu siku ya kwanza tu na kujua kama ni takataka au laWewe ulikuwa unajua John Pombe Joseph Magufuli angekufa lini mpaka uone kuwa ndiyo alikuwa kila Kitu kwa Maendeleo ya Tanzania na kwamba Wengine ama wasingefaa au hawawezi kufanya makubwa zaidi yake?
Utasubiri sana bwashee!Utawala umefitinika huu.. it's a matter of time
Kwamba CCM ndo wameiumba Tanzania na watu wote. Kwamba CCM ndo Mungu wetuUtasubiri sana bwashee!
Ukibatizwa na Kuitwa Mchawi utakataa?Wenzako tunajua kumsoma mtu siku ya kwanza tu na kujua kama ni takataka au la
akaunt za wapiga debe sikinona hao ccm wakati wa shida hawaachanagiHuo ni pumbaza jinga.
Subiri by 2025, kampeni za hapa na pale za kumshinikiza na kumchukulia fomu zitapamba moto.