GDP figures za Kenya zinakuwa released leo

GDP figures za Kenya zinakuwa released leo

Tunaisubiri Mkuu
Nangoja kusikia Gdp figures za Kenya. Nasikia kwamba GDP ya Kenya imekuwa rebased na kwa hivyo size ya GDP itaongezeka significantly.

Kaeni mkao wa kula habari ikitoka nitapost humu.
 
Ukweli siku kwako ni matusi? Kuna kitu mnaexport chenye thamani ya jumla ya remittance kutoka kwa muarabu?
Kwa habari yako, most of the remittances zinatoka USA sio kwa waarabu huko.
 
Kwa habari yako, most of the remittances zinatoka USA sio kwa waarabu huko.
Dada zenu wanaongoza kufia uarabuni na wengine wanauzwa Libya utumwa usibishe

Hamna sector yoyote Kunyaland iliyoajiri wengi ukiondoa kilimo, bado hicho kilimo kilichoajiri zaidi ya 99% ya wakenya kinachangia almost zero kwenye gdp


Ila wakunya chini ya 1 million as diaspora wanachangia pesa nyingi kuliko wakunya million 58 back shithole 😅😅😅
 
Kupunguzika kwa % ya kilimo kwenye GDP haimaanishi eti kwamba uwekezaji au mazao ya kilimo yamepungua, inamaanisha sector zengine za uchumi zimeanza kuleta mapato mengi kuliko kilimo.

Nchi zote duniani huanzia na kutegemea kilimo, Kwa mfano Europe walikua agrarian economy alafu wakaacha kutumia mikono na majembe wakaanza kutumia mshini kulima ikawa inaitwa mechanised agriculture...
Alafu kukawa na muda wakapitia 'industrial revolution' ndo mwishowe wakaanza kuitwa industrialized economies.... Sahii economy za 1st world zinaitwa 'knowledge based' ama 'innovation based' economies...

Tofauti ya knowledge based economy na agrarian ni kwamba agrarian economy, hauhitaji ujuzi mwingi kua tajiri kuliko Kila mtu.. unaweza kua mkulima wa kutumia jembe na ukalima kutumia nguvuzo na ukapata mazao mengi, baada ya kuuza ukawa we ndo mtu tajiri kuliko watu wote eneo lako.
Lakini knowledge based economy ni katoto ka miaka kumi na sita kanaweza kuvumbua technolojia au mfumo flani na akauza au akaanzisha biashara na akawa tajiri kuliko watu wote kwasababu yeye ndo alitumia akili zaidi kuliko wote...
Hii ndo maana mahali kama marekani, licha ya kua wanazalisha Kila aina ya chakula kama ulivyosema, mabilionea wengi wanatoka kwa Technology na service industry... Sector ambazo ni very high skilled sectors mwenye akili kuliko wote ndo anapenya. Ndo maana utapata global intellectual property rights za patent karibia zote ni za EU na US manake Kila mbunifu anajaribu kulinda alichounda manake hio idea ndo inatengeza Hela ndefu kuliko atakaetumia hicho kifaa kwa biashara yake.

Sasa sisi Kenya tumeanza kutoka kwa kutegemea ukulima tunaelekea kuanza kutegemea ujasiriamali, ubunifu, ujuzi, huduma sector ambazo zinaweza kuleta hela ndefu kuliko Yale mapato yanayotokana na ukulima, kwa mfano sector ya online advertising sahii Taifa la Kenya linaingiza karibia $1Billion kutokana na online advertising (hio pekee imeshinda pato la Tz biggest agriculture export -korosho)
Radio advertising inazalisha $300 million USD in Kenya (3rd highest radio revenue in the world!) --- pato lenu la mahindi nchi nzima haifiki hio!
Well said.
 
Wakunya million 58 wapo kwenye kilimo cha mawe 😅😅😅
 
Dada zenu wanaongoza kufia uarabuni na wengine wanauzwa Libya utumwa usibishe

Hamna sector yoyote Kunyaland iliyoajiri wengi ukiondoa kilimo, bado hicho kilimo kilichoajiri zaidi ya 99% ya wakenya kinachangia almost zero kwenye gdp


Ila wakunya chini ya 1 million as diaspora wanachangia pesa nyingi kuliko wakunya million 58 back shithole 😅😅😅
Hio remittance naona imekuuma sana maana nyinyi hamna remittance kwa sababu Malazy hawapendi kuenda ulaya. Huwa mnapenda kubaki hapo Lazyland na kukaa vijiweni tu mkipiga soga.
 
Kitu gani?

Sector ipi imeajiri wakenya wengi?
Agriculture ndio imeajiri Wakenya wengi zaidi. Inayofuatia ni service sector. Service sector ya Kenya ni zaidi ya 50% of our Gdp
 
Hio remittance naona imekuuma sana maana nyinyi hamna remittance kwa sababu Malazy hawapendi kuenda ulaya. Huwa mnapenda kubaki hapo Lazyland na kukaa vijiweni tu mkipiga soga.
Wakunya million 58 wanalima mawe ndio maana pamoja na wingi wao kwenye kilimo bado mnakufa njaa 😅😅😅
 
Wakunya million 58 wapo kwenye kilimo cha mawe 😅😅😅
Kwa habari yako population census ya 2019 inaonyesha kwamba idadi ya Wakenya ni 47 million pekee. Hio 58 million utakuwa unazungumzia idadi ya Malazy maana nyinyi ndio mpo 58 million.
 
Agriculture ndio imeajiri Wakenya wengi zaidi. Inayofuatia ni service sector. Service sector ya Kenya ni zaidi ya 50% of our Gdp
Agriculture inachangia kiasi gani kwenye gdp?
 
Kwa habari yako population census ya 2019 inaonyesha kwamba idadi ya Wakenya ni 47 million pekee. Hio 58 million utakuwa unazungumzia idadi ya Malazy maana nyinyi ndio mpo 58 million.
Uongo, fake fake fake data ili Muwe na gdp kubwa 😅😅😅 ndio akili zenu mbovu zilipowafikisha
 
So 90% of people contributing to that least amount to show! Na hapo maua ni mzungu na chai ni mzungu, avocado ni Tanzania

Sasa ninyi mnabaki na nini zaidi ya njaa?

Hakuna kitu mkenya kafanya kwenye agriculture sector pamoja na kujaa pomoni
 
It will be official, economy of Kenya will be more than twice that of Tanzania......poleni...hehehehe
Twice but cannot implement even a single small project that Tz implements on its own.
 
Nangoja kusikia Gdp figures za Kenya. Nasikia kwamba GDP ya Kenya imekuwa rebased na kwa hivyo size ya GDP itaongezeka significantly.

Kaeni mkao wa kula habari ikitoka nitapost humu.
Na tanzania wana rebase lini GDP yawexafika111Busd
 
Kenyan GDP is now $102bn after rebase. Wenye uelewa hapo mwanzo GDP ilikuwa ngapi before rebase maana tumeona figures nyingi sana humu ndani.
 
Back
Top Bottom