Dr Rutagwerera Sr
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 5,809
- 11,462
Hayo mambo Mara na Mwanza. Kagera hakuna.Sehemu nzuri ya kujifunzia mambo ya ndoa Ni Lindi liwale kwa wangindo, hawana stress na mapenzi, nina miaka kumi huku sijawahi sikia mme kapiga mke Wala kinyume chake, sijawahi sikia watu kuuana sababu ya mapenzi, watu wa Kanda ya ziwa mko siriazi sana na nyenge, badirikeni