Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unazungumzi nini hapo mkuu?Wanawake ni mashetani, ila katundu kao katamu kweli kweli
Akipenda ujinga atajua yeye maana mimi nitamtahadharisha na nitakataa..eti kapenda niniHayo mambo yaache tu maana Hujui binti yako kapenda nini
The Buchaaa1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
Huyu kweli kazidisha
Ndoa za mikataba ni wakati wake sasaDuh hii sasa ni too much. Yan kila siku ni mauaji na chanzo ni mapenzi tu, kuna haja ya watu kupewa somo na viongozi wa dini ili kuangalia namna ya watu kutochukua hatua ambazo huleta madhara ya kifo. Inatakiwa watu wajazwe hofu mno juu ya dhambi ya kuuwa hata kama umekosewa.
Usidhamdharau mtu ametafuta pesa kwa taabu ili afurahie maisha wewe unamletea u mama j.Mkazi wa Lukirini, Kata ya Kalangalala, wilayani Geita, Amina Hassan (34) amefariki dunia wakati akipata matibabu katika Hospitali ya Mkoa wa Geita baada ya kudaiwa kuchomwa visu mara 17 maeneo mbalimbali na mume wake.
Kaimu kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Ally Kitumbu amethibitisha kutokea kwa tukio hilo.
Na wana hela sasa na pesa ndizo watoto wa kike wanapendaSiwezi ruhusu Binti yangu kuolewa na mtu yeyote wa huko.
DuuhUsidhamdharau mtu ametafuta pesa kwa taabu ili afurahie maisha wewe unamletea u mama j.
Mkuu tupe kisa kilikuaje mbon unaweka vipande vipande acha uchoyoNa wana hela sasa na pesa ndizo watoto wa kike wanapenda
Elimu ya mahusiano inahitajika kwenye jamii ili kukomesha/kupunguza huu ukatiliMkazi wa Lukirini, Kata ya Kalangalala, wilayani Geita, Amina Hassan (34) amefariki dunia wakati akipata matibabu katika Hospitali ya Mkoa wa Geita baada ya kudaiwa kuchomwa visu mara 17 maeneo mbalimbali na mume wake.
Kaimu kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Ally Kitumbu amethibitisha kutokea kwa tukio hilo.
www.jamiiforums.com
Watachagua kufa au helaNa wana hela sasa na pesa ndizo watoto wa kike wanapenda
😂😂😂 ya wala haujakosea mkuu.Ndoa za mikataba ni wakati wake sasa