MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
Hayuko vizuri, mwenzake alipigwa risasi 17 akatoboa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sidhani kama kuuwa mtu ndio suluhisho la zinaa. Mbona wameshauwawa watu wengi kwa sababu ya hiyo unayoita zinaa na bado uzinifu unaendelea tu? Sheria za dini zipo wazi kwa mke au mume kwanini zisifuatwe, na ikishindikana basi mnaachana kila mtu anaangalia maisha yake kuliko kutoa uhai wa mtu kiwepesi wepesi eti kisa amezini. Afu sio wote wanaowakuta wake zao au wame zao wanazini, kuna wengine wanakuwa wamehisi tu au wameambiwa kwamb mke wako au mume wako sio mwaminifu anatoka na mtu fulan basi mume au mke anachukua maamuzi ya kuuwa bila ushahidi wa jicho lake kushuhudia mkewe au mumewe akiwa anazini.Hakuna cha kiongozi wa dini, waziri au Raisi. Swala ni kuacha kuzini, hii dhambi ndo inawatesa sana watu na kuaangamia, Everything has a price to pay
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio mama yangu nae shetani sii mwanamkeAisee pamoja na Mamako naye shetani kweli kuzaa si kupata
U r such a weak soul....pole sana.Hata Bibi, Mama, Dada, Wadogo, Mkeo na watoto wako nao chai ni kitamu hivyo hivyo. Jitahidi kuwa na heshima na andika kistaarabu kuhusu wanawake na acha udharirishaji na uhuni mavi wa humu sio nzuri.
Sawa ila jaribu kuandika kwa staha na heshima kuhusu wanawake bro. Hata kama hatujuani ila sio sawa ulivyoandika hivyo. Unadharirisha jua hata Mama yako naye ni mwanamke.U r such a weak soul....pole sana.
😂🤣😅😆😁😄😃😀😁😁😄😄😄Kale katundu sio mchezo
Wewe kama nimemtukana mama yangu wee kina kuuma nini. Sii mie na majini yangu kichwani. Siyo yako bwana.Sawa ila jaribu kuandika kwa staha na heshima kuhusu wanawake bro. Hata kama hatujuani ila sio sawa ulivyoandika hivyo. Unadharirisha jua hata Mama yako naye ni mwanamke.
Mdomo upi wa chini usio na meno au wa juu wenye meno.Unawezakuta hata hakahusiki, hapa itakuwa ni 'mdomo uliponza kichwa'
Unafurahia mwenzako kufa? Sote tunakwenda huko.Safi sana kwa kufa akapumzike mapenzi hatari sana.
Utamu unao mwenyewe kapige nyeto uone.Wanawake ni mashetani, ila katundu kao katamu kweli kweli
Acha mbwembwe wewe bwege. Jamaa amekueleza ukweli. Usipende kujiona mbabe wa mapenzi humu JF na kutukana mama zetu. Kuwa na heshima wewe lofaWewe kama nimemtukana mama yangu wee kina kuuma nini. Sii mie na majini yangu kichwani. Siyo yako bwana.
U nd i myt not agree but atleast u know where i stand.
Huna majini yoyote ni mshamba na limbukeni tu. Una usela mavi fulani hivi dogo pia inaonekana wewe ni kula kulala tu. Nakushauri, acha kudharirisha wanawake.Wewe kama nimemtukana mama yangu wee kina kuuma nini. Sii mie na majini yangu kichwani. Siyo yako bwana.
U nd i myt not agree but atleast u know where i stand.
Wewe kama nimemtukana mama yangu wee kina kuuma nini. Sii mie na majini yangu kichwani. Siyo yako bwana.
U nd i myt not agree but atleast u know where i stand.
Mke alihoji Kuhusu pesa za Mauzo ya kiwanjaMbona haujaeleza sababu za kuchomwa kisu, je ni mapenzi tena au ni nini?
Lakini pia haujaeleza kama mtuhumiwa alikamatwa au ametoroka.