The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Siwezi ruhusu Binti yangu kuolewa na mtu yeyote wa huko.Kanda ya ziwa vichaa ni wengi na wengine wana mali na kuelimika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siwezi ruhusu Binti yangu kuolewa na mtu yeyote wa huko.Kanda ya ziwa vichaa ni wengi na wengine wana mali na kuelimika
Aisee.. Yaani wanawake wamegeuzwa sehemu ya majaribio ya makali ya visu au?? Wanaume akili zimehamia wap
Siwezi ruhusu Binti yangu kuolewa na mtu yeyote wa huko.
Huko sijasikia matukio Sana ila Kanda ya Ziwa siwezi..Na wa kaskazini vipi mzee japo sio wote!
Tutakufa sote hamna tatizo🤣🤣Unafurahia mwenzako kufa? Sote tunakwenda huko.
Ume panic brother🤣🤣🤣🤣Huna majini yoyote ni mshamba na limbukeni tu. Una usela mavi fulani hivi dogo pia inaonekana wewe ni kula kulala tu. Nakushauri, acha kudharirisha wanawake.
Acha kupanic brother...its just cyberspace🤣🤣🤣🤣Acha mbwembwe wewe bwege. Jamaa amekueleza ukweli. Usipende kujiona mbabe wa mapenzi humu JF na kutukana mama zetu. Kuwa na heshima wewe lofa
Unatoa stress kwa kudharirisha na kuutweza utu wa wengine? Sio sawa. Badilika bro.Acha kupanic brother...its just cyberspace🤣🤣🤣🤣
Usichukulie vitu pesono....hapa watu tunatoa stress za tozo.
Hakana utamu wowote maana utamu wa pipi ni mate yako mwenyewe [emoji16]Kale katundu sio mchezo
Hana jina?mume wake.
Jamaa alikua anafanya kazi buchani au?#HABARI Amina Hassan (34), mkazi wa mtaa wa Lukilini, Kata ya Kalangalala, amefariki dunia akipatiwa matibabu katika hospitali ya mkoa wa Geita baada ya kuchomwa visu zaidi ya 10 na mme wake usiku wa Agosti 30, 2022, na ameacha watoto wawili.
#AchomwaVisu17
#EastAfricaTV https://t.co/Cx2V3KZ0px
View attachment 2343193
Hayo mambo yaache tu maana Hujui binti yako kapenda niniSiwezi ruhusu Binti yangu kuolewa na mtu yeyote wa huko.