scolastika
JF-Expert Member
- Jan 26, 2019
- 3,863
- 5,719
nasikia watu wa huko akipenda kapenda,anadondoka moja kwa moja,nadhani haya ndo madhara yake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wana mambo ya ajabu aiseeSiwezi ruhusu Binti yangu kuolewa na mtu yeyote wa huko.
Wanawake vyembamba vyeupe ni vichomi sana siku hizi.Lala salama Amina.. Mapenzi ndio yamekatisha uhai wako.. Kama halikuwa kosa lako damu yako haitakubali kukaa kimya
Kwamba kuna wengine wanasoma hapa kwa mshangao alafu kesho watafanya vituko kuwazidi hawa.Utakuta na hawa walikuwa wakimshangaa yuke jamaa wa mwanza aliyemtwanga mke wake risasi 7
Haya mambo omba yasikutokee na kama una roho ndogo unaharibu future yako in a blink of an eyeKifo cha huyu Dada kimeniuma sana,hebu fikiria visu 17.
Mtu unakuwa kama Mnyama bana Very sad!
Hivyo wana ndoa watarajiwa wapimane akili ?Haya mambo ya kuolewa na machizi matokeo yake haya
la uzinzi kwanzaEe Mungu uturehemu dhidi ya pepo hili baya la mauaji.
Wanaume wengi wamehamishia akili zao kwenye mpini wa kisu.Aisee.. Yaani wanawake wamegeuzwa sehemu ya majaribio ya makali ya visu au?? Wanaume akili zimehamia wapi??
Aisee usijidanganye, ushenzi na ukatili uko katika makontinenti yote. Chukua mfano wa India ndiyo utaona hasa, binti kama ametoa mahari kidogo kwa mume familia nzima inamnyanyasa na kumtesa hata kumuua. Na hayo matukio yanatokea mpaka kwa wale wahindi wasomi walioko nje ya India. Hata huko Marekani kila leo kuna watu missing, miili yao inapatikana wakiwa marehemu.Afrika inaongoza kwa ukatili duniani, especially bongo. Huu ukatili huwezi kukuta mabara mengine may machache sana ukilinganisha na AFILIKA
Bado kubeba kutamchelewesha yeye aindoke tu kwani vitu kitu gani kuliko uhai.Wanawake nawakumbusha tu. Ukikuta missed call arobaini kutoka kwa mumeo , beba vitu vyako haraka kimbia haraka sana,ukijifanya kuendelea kukaa itakuwa ni shauri yako
Sehemu nzuri ya kujifunzia mambo ya ndoa Ni Lindi liwale kwa wangindo, hawana stress na mapenzi, nina miaka kumi huku sijawahi sikia mme kapiga mke Wala kinyume chake, sijawahi sikia watu kuuana sababu ya mapenzi, watu wa Kanda ya ziwa mko siriazi sana na nyenge, badirikeniWatu waje wajifunze kwetu Kagera mkoa wa watu civilised. Kagera mambo yanakua solved kisomi ati [emoji1]
Nakubaliana na wewe Mkuu, hasa wenzetu waislamu, wazungu wapuuzi sana,Kesi za hivi
Ni ngumu sana kuziskia kwa wenye ndoa za mitala,hizi ndoa za mpk kifo ndo chanzo