Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lala salama Amina.. Mapenzi ndio yamekatisha uhai wako.. Kama halikuwa kosa lako damu yako haitakubali kukaa kimyaMkazi wa Lukirini, Kata ya Kalangalala, wilayani Geita, Amina Hassan (34) amefariki dunia wakati akipata matibabu katika Hospitali ya Mkoa wa Geita baada ya kudaiwa kuchomwa visu mara 17 maeneo mbalimbali na mume wake.
Kaimu kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Ally Kitumbu amethibitisha kutokea kwa tukio hilo.
Ulishawahi kumuona shetani ana sura mbaya? Achana na zile picha za kuchora[emoji1]Wanawake ni mashetani, ila katundu kao katamu kweli kweli
🤣🤣🤣🤣🤣 Mie simo bwanaUlishawahi kumuona shetani ana sura mbaya? Achana na zile picha za kuchora[emoji1]
Marehemu alikua na mdomo sana, aisee line iko kwenye modem nini mzee. Nimekucheki sana naona uko used!Haya mambo ya kuolewa na machizi matokeo yake haya
Marehemu alikua na mdomo sana, aisee line iko kwenye modem nini mzee. Nimekucheki sana naona uko used!
Aisee, GPS wapi sasa... Town au kwa Magufuli Stendi?simu ipo kwenye opt ya no disturb ina silence simu zote mzee.
Chalinze moja hii ila jioni nahisi nitakuwa townAisee, GPS wapi sasa... Town au kwa Magufuli Stendi?
Lala salama Amina.. Mapenzi ndio yamekatisha uhai wako.. Kama halikuwa kosa lako damu yako haitakubali kukaa kimya
Safi jitahidi tuonane mzeeChalinze moja hii ila jioni nahisi nitakuwa town
[emoji1787][emoji1550][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mie simo bwana
Hakuna cha kiongozi wa dini, waziri au Raisi. Swala ni kuacha kuzini, hii dhambi ndo inawatesa sana watu na kuaangamia, Everything has a price to payDuh hii sasa ni too much. Yan kila siku ni mauaji na chanzo ni mapenzi tu, kuna haja ya watu kupewa somo na viongozi wa dini ili kuangalia namna ya watu kutochukua hatua ambazo huleta madhara ya kifo. Inatakiwa watu wajazwe hofu mno juu ya dhambi ya kuuwa hata kama umekosewa.
Hata Bibi, Mama, Dada, Wadogo, Mkeo na watoto wako nao chai ni kitamu hivyo hivyo. Jitahidi kuwa na heshima na andika kistaarabu kuhusu wanawake na acha udharirishaji na uhuni mavi wa humu sio nzuri.Wanawake ni mashetani, ila katundu kao katamu kweli kweli
Aisee pamoja na Mamako naye shetani kweli kuzaa si kupataWanawake ni mashetani, ila katundu kao katamu kweli kweli