Geita: Baraza la Madiwani laukataa Mkoa mpya wa Chato

Geita: Baraza la Madiwani laukataa Mkoa mpya wa Chato

Kwa nini makao makuu yasiwe biharamulo na mkoa usiitwe biharamulo wachukue sehemu ya muleba, biharamulo,ngara,kakonko,bukombe na chato yenyew?
Iwapo nia ni kuunda mkoa unaosogeza huduma jirani na wananchi ni busara mkoa huu kuundwa kwa kuweka makao makuu Biharamulo.
Sioni maana/mantiki ya wakazi wa wilaya za Ngara na Kakonko kuvuka wilaya ya Biharamulo wakienda Chato ambayo no wilaya itakayokuwa pembeni mwa mkoa huu mpya.

Mkoa huu badala ya kunufaisha wakazi wake wengi utawaumiza.

Pia sioni manufaa atakayoyapata mkazi wa Buseresere kwa kuwa ataongeza umbali wa kwenda makao makuu ya mkoa.

Hata hivyo nashauri serikali badala ya kuwaza kuongeza mikoa, ijikite kupunguza ukubwa wa vijiji na kata.
Hili liende sambamba na kuwarahisishia utendaji wa kazi zao kwa kuwapa usafiri, vifaa vya kazi kama kompyuta mpakato, simu zinazoweza kupata matukio[picha] vema.

Hapa Ngara kwenye kata ya Muganza, umbali kutoka Kitongoji cha Nyakafandi hadi makao makuu ya Kijiji chao cha Mukubu ni km.15.
Kutoka kitongoji hicho hadi makao makuu ya kata ni zaidi ya km.30.

Mtendaji wa kata na kijiji hawana usafiri wowote.
Huko hakuna umeme.
Wangeweza kusaidiwa kupewa umeme wa jua kwenye ofisi zao ili wachaji simu za ambazo zinafanya kazi za ofisi.

Wananchi hatuna hitaji la mikoa.
Tunahitaji zaidi huduma bora za vijiji na kata.

Ikumbukwe miaka michache iliyopita ukubwa wa vitongoji uliongezwa badala ya kupunguzwa.
Kuna sehemu mitaa/vitongoji vitatu viliungwa kuwa kimoja.
Mzigo uliongezeka.
Mt
 
Mimi ninachofurahi ni wilaya za biharamulo na ngara kutolewa kagera zilikuwa mbali mno na bukoba just imagine kutoka bukoba Hadi ngara ni km 400 na kutoka bukoba Hadi biharamulo almost 300km ndani ya mkoa wa kagera.


Pia hizo wilaya mbili zipo tofauti Sana na wilaya za mkoa wa kagera hasa kimaendeleo.

Hebu zitengenezewe mkoa wake ili ziangaliwe vzr zaid
Ngara-Karagwe km.160.
Karagwe Bk.km.100.
Hivyo Ngara - Bukoba ni 260 tu.
 
!
Kuna fedha nyingi ziliwekezwa CHATO !!Waipe CHATO mkoa ili kufidia uwekezaji uliofanyika!hata kama Mwendazake ana mapungufu nae ni Binadamu Mkoa utawafaidisha wana CHATO na wilaya Mpya TUACHE CHUKI NA HASIRA!MBONA KARIBIA MA PM WOTE WASTAAFU WANA MIKOA?HATA MAJALIWA ATAPEWA MKOA TU!!KWA HILI NASIMAMA NA NDUGU ZANGU WANYAMBO NA THE LIKE!!!
Mkuu MP gani ambaye kijiji chake kimekuwa Mkoa?
 
Wajinga sana badala ya kugawa mkoa wa tanga, morogoro na tabora eti ka mkoa ambako population yake iko chini ya watu mil 2 kanagawanywa na hata pop density yake iko chini sanaaa. 3/per sqkm
 
Kwani hiyo Buseresere makao yao makuu ya wilaya ni wapi ? Ni kwamba Buseresere iko ndani ya wilaya ya Chato, Katoro ndio iko wilaya ya Geita
Iwapo nia ni kuunda mkoa unaosogeza huduma jirani na wananchi ni busara mkoa huu kuundwa kwa kuweka makao makuu Biharamulo.
Sioni maana/mantiki ya wakazi wa wilaya za Ngara na Kakonko kuvuka wilaya ya Biharamulo wakienda Chato ambayo no wilaya itakayokuwa pembeni mwa mkoa huu mpya.

Mkoa huu badala ya kunufaisha wakazi wake wengi utawaumiza.

Pia sioni manufaa atakayoyapata mkazi wa Buseresere kwa kuwa ataongeza umbali wa kwenda makao makuu ya mkoa.

Hata hivyo nashauri serikali badala ya kuwaza kuongeza mikoa, ijikite kupunguza ukubwa wa vijiji na kata.
Hili liende sambamba na kuwarahisishia utendaji wa kazi zao kwa kuwapa usafiri, vifaa vya kazi kama kompyuta mpakato, simu zinazoweza kupata matukio[picha] vema.

Hapa Ngara kwenye kata ya Muganza, umbali kutoka Kitongoji cha Nyakafandi hadi makao makuu ya Kijiji chao cha Mukubu ni km.15.
Kutoka kitongoji hicho hadi makao makuu ya kata ni zaidi ya km.30.

Mtendaji wa kata na kijiji hawana usafiri wowote.
Huko hakuna umeme.
Wangeweza kusaidiwa kupewa umeme wa jua kwenye ofisi zao ili wachaji simu za ambazo zinafanya kazi za ofisi.

Wananchi hatuna hitaji la mikoa.
Tunahitaji zaidi huduma bora za vijiji na kata.

Ikumbukwe miaka michache iliyopita ukubwa wa vitongoji uliongezwa badala ya kupunguzwa.
Kuna sehemu mitaa/vitongoji vitatu viliungwa kuwa kimoja.
Mzigo uliongezeka.
Mt
 
Marehemu alikuwaga mjinga kwelikweli, yaani uende ukakate mkoa uliokatwa kutoka wilaya zingine uache mikoa kama Tabora na Morogoro yenye maeneo makubwa! Uendawazinu huu!
Hahahahah au waukate Tanga
 
Kuweka kila kitu Chato, si jambo lililomfurahisha kila mwenye akili, wakiwemo hao madiwani.

Kuna wakati unajiuliza juu ya uwezo wa marehemu katika kufikiri na kufanya maamuzi, unashindwa kuelewa kama alikuwa sawa wakati wote maana kuna mambo ambayo hata average brain, hawezi kufanya.
Kimsingi hata asie na akili hawez kubaliana nae, tatizo lake risasi mkonon
 
Eti Chato iwe mkoa,Jiwe kweli alikuwa mvuta bange mbichi kabisa,sehemu ambako bodaboda akilaza 10000 kwa siku anamshukuru Mungu
Hili halina ubushi kama alimshauri hata waziri wake avute ili awe mkali ujue yeye alikuwa anavuta pia.
 
Sorry, mimi sio pro-mwendazake but huaga sipendi pia mtu kusingziwa; hivi kuna siku mwendazake aliwahi kusema kwamba anataka Chato iwe mkoa? I hope hili lilisikiwa mara ya kwanza wakati wa mazishi yake
Kinachokutofautisha na wengine hapa ni uwezo wako mdogo tu wa kufikiria

Mambo aliyokua akiyafanya chato zile n jitihada za maksud kuhakikisha chato inapata vigezo na sifa za kua mkoa
 
Nijuavyo Mimi maamuzi hufanywa na mabaraza ya madiwani na Si DCC wala RCC. Hizi ni Kamati za kushauri tu ambazo hubariki au kushauri maamuzi ya mabaraza ya Madiwani. Aidha, zoezi hili ngumu na tata ni lazima lipate Baraka za wananchi. Hivyo lazima kuwe na Mihtasari ya Mikutano mikuu ya vijiji/mitaa yote Wilaya zitakazohama na zile zitakaosalia. Kwa Maelezo tunayosoma, ni kwamba mikoa yote athirika Mwanza, KAGERA, Kigoma, na Geita lazima ifanye vikao. Gharama hizi zote za nini? Faida yake ni zipi?
Kule nyuma Mkoa wa Ruvuma na Mtwara ilinyimwa kuanzisha Mkoa MPYA wa Selou kwa sababu za msingi sana za kupunguza gharama za uendeshaji wa serikali. Nafikiri na hili pia liangaliwe sana. Wanasiasa wanaangalia nafasi zao zaidi.
 
Sorry, mimi sio pro-mwendazake but huaga sipendi pia mtu kusingziwa; hivi kuna siku mwendazake aliwahi kusema kwamba anataka Chato iwe mkoa? I hope hili lilisikiwa mara ya kwanza wakati wa mazishi yake
Ulitaka aseme kwa nani wakati yeye ndo mwamuzi!!?? Matendo yake yaliyoashiria maandalizi ya mkoa mpya hukuyaona?
 
Back
Top Bottom