Geita: Baraza la Madiwani laukataa Mkoa mpya wa Chato

Geita: Baraza la Madiwani laukataa Mkoa mpya wa Chato

Pay master wa wizara ya fedha ambaye ni mchaga amekwapua zaidi ya billioni 1 ndani ya miezi mitatu.

Doto James arejeshwe
 

Baada ya Paul Makonda kutumia nguvu Kubwa sana ya Kujipromoti Mitandaoni tena kwa kuwatumia Watu wake anaowalipa na kuona katika Teuzi zote za Mheshimiwa Rais Samia hayumo, sasa kaamua kubadili Strategy na kuanza Kujipendekeza ili akumbukwe katika Teuzi za mbeleni.
 
Baraza la Madiwani Geita limeukataa Mkoa wa Chato. Je, Hayati Magufuli angekuepo wangeweza kukataa hiki kitu. CCM wakikusifia au wakikubaliana na wewe ujue wana maslahi au ni Unafiki tu.

Wanajitahidi kufuta Legacy ya Shujaa wetu. Sio sahihi Hata kidogo.

=======

Baraza Maalum la Madiwani Halmashauri ya Wilani Geita Mkoa wa Geita wamepinga wilaya mpya ya Busanda pamoja na hifadi ya Taidfa ya Kisiwa cha Rubondo kuchukuliwa na mkoa mpya wa Chato unaotarajiwa kuanzishwa hivi karibuni wakidai kuwa itasababisha wananchi kusafiri umbali wa kilomita 200 kwenda kutafuta huduma na na kusababisha mkoa wa Geita kukosa sifa kiutawala.

"Tunaenda kupata huduma hii Chato -- kilomita zaidi ya 200. Sasa, ni namna gani tunazidi kuwaongezea wananchi wetu mzigo wakati wakihitaji huduma. Mimi naona mapendekezo haya yaheshimiwe..." Bw. Salehe Juma, Diwani wa Kata ya Nyarugusu

Kisiwa cha Rubondo wakiache katika mkoa wa Geita kwasababu mkoa mpya ambao unaenda kuundwa, mkoa wa Chato, ukiangalia Ngara kuna misitu

Mkuu wa wilaya ya Geita Fadhili Juma amaesema amepeleka mapendekezo Serikalini ya kukataa mpango huo wa kuchukua maeneo ya wilaya hiyo kwenda Chato kwakuwa yatasababisha athari kwa wananchi.

"Maazimio ambayo natoka nayo hapa na muhtasari, topo ridhaa kuacha kisiwa cha Rubondo lakini hatutakubali. Bora mkoa usipatikane kuliko wilaya ya Busanda kuingia kwenye mkoa mpya. Tuliwapa sababu zote kwamba ukitoa wilaya ya Busanda kwenye mkoa wa Geita maana yake mkoa wa Geita unakosa sifa za kuwa mkoa."

Fisiemu bhana!!! Mchana inzi usiku umbu!!! Kwani wakati huo mchakato ukiwa hatua za awali hawakuyajua hayo?
 
Marehemu alikuwaga mjinga kwelikweli, yaani uende ukakate mkoa uliokatwa kutoka wilaya zingine uache mikoa kama Tabora na Morogoro yenye maeneo makubwa! Uendawazinu huu!
Hii inamaanisha alikuwa na ubinafsi, ulafi na choyo... mtu unajiuliza ilikuwaje kiwanja cha ndege cha Mugumu - Serengeti kikaachwa mahala ambapo pangezalisha fedha nyingi za kigeni toka kwa watalii wanaozuru Serengeti badala yake kikajengwa mahali ambako mbuga inafufuliwa!!!
Ila ndio akili zetu za kitanzania HATUNA MIKAKATI WALA VIPAUMBELE...!!!
 
Baraza la Madiwani Geita limeukataa Mkoa wa Chato. Je, Hayati Magufuli angekuepo wangeweza kukataa hiki kitu. CCM wakikusifia au wakikubaliana na wewe ujue wana maslahi au ni Unafiki tu.

Wanajitahidi kufuta Legacy ya Shujaa wetu. Sio sahihi Hata kidogo.

=======

Baraza Maalum la Madiwani Halmashauri ya Wilani Geita Mkoa wa Geita wamepinga wilaya mpya ya Busanda pamoja na hifadi ya Taidfa ya Kisiwa cha Rubondo kuchukuliwa na mkoa mpya wa Chato unaotarajiwa kuanzishwa hivi karibuni wakidai kuwa itasababisha wananchi kusafiri umbali wa kilomita 200 kwenda kutafuta huduma na na kusababisha mkoa wa Geita kukosa sifa kiutawala.

"Tunaenda kupata huduma hii Chato -- kilomita zaidi ya 200. Sasa, ni namna gani tunazidi kuwaongezea wananchi wetu mzigo wakati wakihitaji huduma. Mimi naona mapendekezo haya yaheshimiwe..." Bw. Salehe Juma, Diwani wa Kata ya Nyarugusu

Kisiwa cha Rubondo wakiache katika mkoa wa Geita kwasababu mkoa mpya ambao unaenda kuundwa, mkoa wa Chato, ukiangalia Ngara kuna misitu

Mkuu wa wilaya ya Geita Fadhili Juma amaesema amepeleka mapendekezo Serikalini ya kukataa mpango huo wa kuchukua maeneo ya wilaya hiyo kwenda Chato kwakuwa yatasababisha athari kwa wananchi.

"Maazimio ambayo natoka nayo hapa na muhtasari, topo ridhaa kuacha kisiwa cha Rubondo lakini hatutakubali. Bora mkoa usipatikane kuliko wilaya ya Busanda kuingia kwenye mkoa mpya. Tuliwapa sababu zote kwamba ukitoa wilaya ya Busanda kwenye mkoa wa Geita maana yake mkoa wa Geita unakosa sifa za kuwa mkoa."

Eti tena chato umekubalika kua mkoa wenye wilaya 5 ambazo ni Chato,Bukombe, Kakonko, Biharamulo na Ngara.
Hivyo Geita itabaki na wilaya 4ambazo ni Geita, Nyang'hwale, Mbogwe na Sengerema
 
Ushuzi na upupu wa mtu pori hakika ulikua hauvumiliki kwa raia yeyote mwenye akili timamu

Halafu nyie CCM muwage mnawapima akili wagombea wenu kabla ya kuwapa ridhaa ya kugombea
2015 mlituletea garasa lililokuja kutoa boko na kututia hasara Kama taifa!

Rest in hell jiwe you are sleeping quietly at Chattle mabatini!


Imeisha hiyo!
 
Chunya ina jumla ya wakazi wangapi ?
Mwendazake zake alikuwa ni MWEHU hata kama ni kupendelea kwenu siyo kwa kiwango hicho.

Iko mikoa na wilaya kubwa sana hapa nchini pengine ndiyo ingestahili kuhawanywa. Kwa mfano wilaya ya Kiteto, Chunya, Kilindi, Mahenge, Tabora nk.

Wilaya ya Chunya ni kubwa kuliko baashi ya mikoa. Sasa huyu mtu ambaye alikuwa anaoendelea kila kitu kwenda kijijini kwake ndiyo mnamuita SHUJAA? Wengine wanamuita Mzalendo!!

Poleni sana yule alikuwa IBILISI ndiyo maana Mungu hakupendezwa na UPUMBAVU wake
 
Ndio maana Sengerema ilitokea Wilaya ya Geita ilipoundwa mwaka 1975
Basi mi nilijua watachota wilaya moja a mbili geita kisha sengerema wataivutia geita na wataongeza wilaya ya kisesa ili ifidie kwenye pengo la sengerema
 
Tabora ebeo kubwa ni mapori tu
Marehemu alikuwaga mjinga kwelikweli, yaani uende ukakate mkoa uliokatwa kutoka wilaya zingine uache mikoa kama Tabora na Morogoro yenye maeneo makubwa! Uendawazinu huu!
 
Sorry, mimi sio pro-mwendazake but huaga sipendi pia mtu kusingziwa; hivi kuna siku mwendazake aliwahi kusema kwamba anataka Chato iwe mkoa? I hope hili lilisikiwa mara ya kwanza wakati wa mazishi yake
Sasa wewe ni mtu wa ajabu kwelikweli.

Unataka usikie akisema, lakini huamini vitendo anavyofanya kutimiza lengo hilo hilo!
 
Back
Top Bottom