Geita: Baraza la Madiwani laukataa Mkoa mpya wa Chato

Geita: Baraza la Madiwani laukataa Mkoa mpya wa Chato

Wewe unaongea kinyume, mama alisema wale wanaosimamia hilo zoezi la kuifanya chato mkoa waharakishe kumpelekea vigezo na kama havijakamilika basi waseme ili vitafutwe vigezo na kuifanya kuwa mkoa! Kwa maana nyingine mama ashabariki Chato lazima iwe mkoa!
Mapendekezo yamepitishwa CHATO kuwa Mkoa na kikao Cha RCC tafuta hotuba fupi ya RC Geita.
 
JPM alikuwa ni muona mbaaali Sana, watu wenye mawazo mafupi, baada ya miaka michache ijayo, watakuwa wamejielewa ujinga wao, Mimi Naamini Leo wameukataa mkoa wa Chatto, lkn miaka ijayo, Chatto itakuwa mkoa tuu
Alikuwa fala tu
 
Watanzania tuna mengi sana ya kujifunza kwa hii miaka 5 ambayo Mwendazake alituburuza. Sasa naamini tukikaa kuandika katiba ya wananchi tutaandika kitu kizuri sana. Haya madudu aliyofanya MAGUFULI kwa kutumia UDIKTETA lazimwa yazibwe. Angalia kila wizara ilikuwa inajikomba kufanya kitu Chato ili tu DIKTETA azidi kumuona kuwa yeye ni mchapa kazi. Watu wa Misitu wakaanzisha msitu unaitwa Dos Santos Silayo, Dr Ndumbaro akaanzisha Zoo ya Chato Burigi, National Housing wakaanzisha upimaji wa viwanja, CRDB wakaanzisha branch, Ujenzi wakajenga International Airport na Wizara ya Afya wakajenga Referal Hospital.

Yaani kwa ujinga huu bado watu wanamuita shujaa??? wengine wanamuita Mzalendo?? kwa jweli huyu ilikuwa lazima afe tu ili kuinusuru Tanzania
Uko sawa kabisa
 
Mwendazake zake alikuwa ni MWEHU hata kama ni kupendelea kwenu siyo kwa kiwango hicho.

Iko mikoa na wilaya kubwa sana hapa nchini pengine ndiyo ingestahili kuhawanywa. Kwa mfano wilaya ya Kiteto, Chunya, Kilindi, Mahenge, Tabora nk.

Wilaya ya Chunya ni kubwa kuliko baashi ya mikoa. Sasa huyu mtu ambaye alikuwa anaoendelea kila kitu kwenda kijijini kwake ndiyo mnamuita SHUJAA? Wengine wanamuita Mzalendo!!

Poleni sana yule alikuwa IBILISI ndiyo maana Mungu hakupendezwa na UPUMBAVU wake
 
Baraza la Madiwani Geita limeukataa Mkoa wa Chato. Je, Hayati Magufuli angekuepo wangeweza kukataa hiki kitu. CCM wakikusifia au wakikubaliana na wewe ujue wana maslahi au ni Unafiki tu.

Wanajitahidi kufuta Legacy ya Shujaa wetu. Sio sahihi Hata kidogo.

=======

Baraza Maalum la Madiwani Halmashauri ya Wilani Geita Mkoa wa Geita wamepinga wilaya mpya ya Busanda pamoja na hifadi ya Taidfa ya Kisiwa cha Rubondo kuchukuliwa na mkoa mpya wa Chato unaotarajiwa kuanzishwa hivi karibuni wakidai kuwa itasababisha wananchi kusafiri umbali wa kilomita 200 kwenda kutafuta huduma na na kusababisha mkoa wa Geita kukosa sifa kiutawala.

"Tunaenda kupata huduma hii Chato -- kilomita zaidi ya 200. Sasa, ni namna gani tunazidi kuwaongezea wananchi wetu mzigo wakati wakihitaji huduma. Mimi naona mapendekezo haya yaheshimiwe..." Bw. Salehe Juma, Diwani wa Kata ya Nyarugusu

Kisiwa cha Rubondo wakiache katika mkoa wa Geita kwasababu mkoa mpya ambao unaenda kuundwa, mkoa wa Chato, ukiangalia Ngara kuna misitu

Mkuu wa wilaya ya Geita Fadhili Juma amaesema amepeleka mapendekezo Serikalini ya kukataa mpango huo wa kuchukua maeneo ya wilaya hiyo kwenda Chato kwakuwa yatasababisha athari kwa wananchi.

"Maazimio ambayo natoka nayo hapa na muhtasari, topo ridhaa kuacha kisiwa cha Rubondo lakini hatutakubali. Bora mkoa usipatikane kuliko wilaya ya Busanda kuingia kwenye mkoa mpya. Tuliwapa sababu zote kwamba ukitoa wilaya ya Busanda kwenye mkoa wa Geita maana yake mkoa wa Geita unakosa sifa za kuwa mkoa."

Wewe u muongo umeandika maoni binafsi ya watu. Walikuwa wanatoa maoni hayo kwa kuwa watu wa Geita waliona kuwa Wilaya ya Busanda yenye madini ingeenda mkoa mpya wa Chato.

Makubaliano ya mwisho ni kuwa Wilaya ya Busanda inabaki mkoa wa Geita na kisiwa cha Rubondo kinabaki Chato

Mkoa wa Geita utakuwa na wilaya nne ambazo ni Geita, Nyang'wale, Mbogwe na Busanda

Mkoa wa Chato utakuwa na wilaya tano ambazo ni Chato, Bukombe, Kakonko, Biharamulo na Ngara
 
Marehemu alikuwaga mjinga kwelikweli, yaani uende ukakate mkoa uliokatwa kutoka wilaya zingine uache mikoa kama Tabora na Morogoro yenye maeneo makubwa! Uendawazinu huu!
huyu jamaa ilikuwaje akaaminika?waliomuamini watikise tena akili zao
 
Tumepata SoMo kubwa kizazi chetu Mungu Baba apewe sifa na utukufu.Mataifa mengine mtihani viongozi kiimla huchukua decade kadhaa.[emoji1545][emoji1545][emoji1545]
 
"Uamuzi wa Baraza la Madiwani wa Geita kukataa Mapendekezo ya kuanzisha mkoa mpya wa Chato ni wa busara, Wazo la kuiondoa wilaya ya Busanda kutoka mkoa wa Geita na kuifanya iwe sehemu ya mkoa mpya wa Chato, litaiodhoofisha kiuchumi mkoa wa Geita, siyo uamuzi wa busara" Makonda
 
Baraza la Madiwani Geita limeukataa Mkoa wa Chato. Je, Hayati Magufuli angekuepo wangeweza kukataa hiki kitu. CCM wakikusifia au wakikubaliana na wewe ujue wana maslahi au ni Unafiki tu.

Wanajitahidi kufuta Legacy ya Shujaa wetu. Sio sahihi Hata kidogo.

=======

Baraza Maalum la Madiwani Halmashauri ya Wilani Geita Mkoa wa Geita wamepinga wilaya mpya ya Busanda pamoja na hifadi ya Taidfa ya Kisiwa cha Rubondo kuchukuliwa na mkoa mpya wa Chato unaotarajiwa kuanzishwa hivi karibuni wakidai kuwa itasababisha wananchi kusafiri umbali wa kilomita 200 kwenda kutafuta huduma na na kusababisha mkoa wa Geita kukosa sifa kiutawala.

"Tunaenda kupata huduma hii Chato -- kilomita zaidi ya 200. Sasa, ni namna gani tunazidi kuwaongezea wananchi wetu mzigo wakati wakihitaji huduma. Mimi naona mapendekezo haya yaheshimiwe..." Bw. Salehe Juma, Diwani wa Kata ya Nyarugusu

Kisiwa cha Rubondo wakiache katika mkoa wa Geita kwasababu mkoa mpya ambao unaenda kuundwa, mkoa wa Chato, ukiangalia Ngara kuna misitu

Mkuu wa wilaya ya Geita Fadhili Juma amaesema amepeleka mapendekezo Serikalini ya kukataa mpango huo wa kuchukua maeneo ya wilaya hiyo kwenda Chato kwakuwa yatasababisha athari kwa wananchi.

"Maazimio ambayo natoka nayo hapa na muhtasari, topo ridhaa kuacha kisiwa cha Rubondo lakini hatutakubali. Bora mkoa usipatikane kuliko wilaya ya Busanda kuingia kwenye mkoa mpya. Tuliwapa sababu zote kwamba ukitoa wilaya ya Busanda kwenye mkoa wa Geita maana yake mkoa wa Geita unakosa sifa za kuwa mkoa."

Duh

Sent from my Moto E (4) using JamiiForums mobile app
 
Wewe u muongo umeandika maoni binafsi ya watu. Walikuwa wanatoa maoni hayo kwa kuwa watu wa Geita waliona kuwa Wilaya ya Busanda yenye madini ingeenda mkoa mpya wa Chato.

Makubaliano ya mwisho ni kuwa Wilaya ya Busanda inabaki mkoa wa Geita na kisiwa cha Rubondo kinabaki Chato

Mkoa wa Geita utakuwa na wilaya nne ambazo ni Geita, Nyang'wale, Buhigwe na Busanda

Mkoa wa Chato utakuwa na wilaya tano ambazo ni Chato, Bukombe, Kakonko, Biharamulo na Ngara
Sasa uongo wangu ni UPI hapo? Umesoma?
 
Back
Top Bottom