All TRUTH
JF-Expert Member
- Nov 20, 2011
- 5,453
- 2,569
Huo ni unafiki mbona mwanzo waliukubalu huo mpango??Wako sahihi. Ya nini mkoa wa kulazimisha wakati hata vigezo haukidhi.
Sent from my Moto E (4) using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo ni unafiki mbona mwanzo waliukubalu huo mpango??Wako sahihi. Ya nini mkoa wa kulazimisha wakati hata vigezo haukidhi.
Mkuu wa wilaya ya Geita Fadhili Juma amaesema amepeleka mapendekezo Serikalini ya kukataa mpango huo wa kuchukua maeneo ya wilaya hiyo kwenda Chato kwakuwa yatasababisha athari kwa wananchi.
Majibu ya Rais Samia kwa mzee wa Chato aliyelilia mkoa wa Chato uundweTujikumbushe tarehe 26 Machi 2021 Mh. Samia Suluhu Hassan rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alisisitiza vigezo
hakuna logic mkoa mdogo kama geita kumegwa na kuunda mkoa mpya wa Chato ni bora wangeigawanya Tabora au Morogoro kwanza maana angalau ina ukubwa fulani unadunisha huduma kwa jamii.Baraza la Madiwani Geita limeukataa Mkoa wa Chato. Je, Hayati Magufuli angekuepo wangeweza kukataa hiki kitu. CCM wakikusifia au wakikubaliana na wewe ujue wana maslahi au ni Unafiki tu.
Wanajitahidi kufuta Legacy ya Shujaa wetu. Sio sahihi Hata kidogo.
=======
Baraza Maalum la Madiwani Halmashauri ya Wilani Geita Mkoa wa Geita wamepinga wilaya mpya ya Busanda pamoja na hifadi ya Taidfa ya Kisiwa cha Rubondo kuchukuliwa na mkoa mpya wa Chato unaotarajiwa kuanzishwa hivi karibuni wakidai kuwa itasababisha wananchi kusafiri umbali wa kilomita 200 kwenda kutafuta huduma na na kusababisha mkoa wa Geita kukosa sifa kiutawala.
"Tunaenda kupata huduma hii Chato -- kilomita zaidi ya 200. Sasa, ni namna gani tunazidi kuwaongezea wananchi wetu mzigo wakati wakihitaji huduma. Mimi naona mapendekezo haya yaheshimiwe..." Bw. Salehe Juma, Diwani wa Kata ya Nyarugusu
Kisiwa cha Rubondo wakiache katika mkoa wa Geita kwasababu mkoa mpya ambao unaenda kuundwa, mkoa wa Chato, ukiangalia Ngara kuna misitu
Mkuu wa wilaya ya Geita Fadhili Juma amaesema amepeleka mapendekezo Serikalini ya kukataa mpango huo wa kuchukua maeneo ya wilaya hiyo kwenda Chato kwakuwa yatasababisha athari kwa wananchi.
"Maazimio ambayo natoka nayo hapa na muhtasari, topo ridhaa kuacha kisiwa cha Rubondo lakini hatutakubali. Bora mkoa usipatikane kuliko wilaya ya Busanda kuingia kwenye mkoa mpya. Tuliwapa sababu zote kwamba ukitoa wilaya ya Busanda kwenye mkoa wa Geita maana yake mkoa wa Geita unakosa sifa za kuwa mkoa."
Kuunda mkoa mpya wa Chato ilikuwa hatua ya kumfurahisha mwendazake na siyo kusogeza huduma kwa wananchi. Haina uhalali kisiasa wala kiuchumi.Baraza la Madiwani Geita limeukataa Mkoa wa Chato. Je, Hayati Magufuli angekuepo wangeweza kukataa hiki kitu. CCM wakikusifia au wakikubaliana na wewe ujue wana maslahi au ni Unafiki tu.
Wanajitahidi kufuta Legacy ya Shujaa wetu. Sio sahihi Hata kidogo.
=======
Baraza Maalum la Madiwani Halmashauri ya Wilani Geita Mkoa wa Geita wamepinga wilaya mpya ya Busanda pamoja na hifadi ya Taidfa ya Kisiwa cha Rubondo kuchukuliwa na mkoa mpya wa Chato unaotarajiwa kuanzishwa hivi karibuni wakidai kuwa itasababisha wananchi kusafiri umbali wa kilomita 200 kwenda kutafuta huduma na na kusababisha mkoa wa Geita kukosa sifa kiutawala.
"Tunaenda kupata huduma hii Chato -- kilomita zaidi ya 200. Sasa, ni namna gani tunazidi kuwaongezea wananchi wetu mzigo wakati wakihitaji huduma. Mimi naona mapendekezo haya yaheshimiwe..." Bw. Salehe Juma, Diwani wa Kata ya Nyarugusu
Kisiwa cha Rubondo wakiache katika mkoa wa Geita kwasababu mkoa mpya ambao unaenda kuundwa, mkoa wa Chato, ukiangalia Ngara kuna misitu
Mkuu wa wilaya ya Geita Fadhili Juma amaesema amepeleka mapendekezo Serikalini ya kukataa mpango huo wa kuchukua maeneo ya wilaya hiyo kwenda Chato kwakuwa yatasababisha athari kwa wananchi.
"Maazimio ambayo natoka nayo hapa na muhtasari, topo ridhaa kuacha kisiwa cha Rubondo lakini hatutakubali. Bora mkoa usipatikane kuliko wilaya ya Busanda kuingia kwenye mkoa mpya. Tuliwapa sababu zote kwamba ukitoa wilaya ya Busanda kwenye mkoa wa Geita maana yake mkoa wa Geita unakosa sifa za kuwa mkoa."
Hata huo mjadala usingekuwepoDikteta angekuwepo wasingekataa.
Wewe unaongea kinyume, mama alisema wale wanaosimamia hilo zoezi la kuifanya chato mkoa waharakishe kumpelekea vigezo na kama havijakamilika basi waseme ili vitafutwe vigezo na kuifanya kuwa mkoa! Kwa maana nyingine mama ashabariki Chato lazima iwe mkoa!Ningeehangaa sana endapo wangekubali kwa sasa ambapo Jiwe ni kiongozi wa Malaika huko upande wa pili.
Mama Samia aliposema wataangalia kama vigezo vitakidhi, hilo lilikuwa ni jibu la kukataa kiaina.
Kama aliowatuma ndio wametoa majibu haya, hapo basi hawezi kushurutisha lifanyikeWewe unaongea kinyume, mama alisema wale wanaosimamia hilo zoezi la kuifanya chato mkoa waharakishe kumpelekea vigezo na kama havijakamilika basi waseme ili vitafutwe vigezo na kuifanya kuwa mkoa! Kwa maana nyingine mama ashabariki Chato lazima iwe mkoa!
Hivi hiyo ikulu si ipo ndani kwake mle kwenye fensi!?Nafikiria ile ikulu aliyoijenga kule Chato,kwasasa sijui anakaa nani,
Aisee
Ha ha ha!Hawa hawa wengi wao walisaidiwa kupita udiwani wao bila kupingwa ndiyo hao hao wanamkaanga....kama leo mwendazake angeibuka wangesema wamenukuliwa vibaya!! Walimaanisha isiwe mkoa bali liwe jiji.
Hapo ndio sijui kama hao aliowataka wampelekee vigezo ni hao madiwaniKama aliowatuma ndio wametoa majibu haya, hapo basi hawezi kushurutisha lifanyike
He was "kilaza" .Kuweka kila kitu Chato, si jambo lililomfurahisha kila mwenye akili, wakiwemo hao madiwani.
Kuna wakati unajiuliza juu ya uwezo wa marehemu katika kufikiri na kufanya maamuzi, unashindwa kuelewa kama alikuwa sawa wakati wote maana kuna mambo ambayo hata average brain, hawezi kufanya.
Ingekuwa ni amriHata huo mjadala usingekuwepo