Haya yote ni matokeo ya nchi kukosa katiba ya wananchi. Katiba tulio nayo ni ya watawala, nayo imewekwa viraka mpaka na viraka juu ya vingine.Madiwani wako sahihi maana mkoa wa Chato ulikuwa unaenda kuundwa kwa kukata kipande toka Geita!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya yote ni matokeo ya nchi kukosa katiba ya wananchi. Katiba tulio nayo ni ya watawala, nayo imewekwa viraka mpaka na viraka juu ya vingine.Madiwani wako sahihi maana mkoa wa Chato ulikuwa unaenda kuundwa kwa kukata kipande toka Geita!
Kwani uliwahi sikia akisema kuhusu ujenzi wa uwanja wa ndege wa kimataifa wa Chato?Sorry, mimi sio pro-mwendazake but huaga sipendi pia mtu kusingziwa; hivi kuna siku mwendazake aliwahi kusema kwamba anataka Chato iwe mkoa? I hope hili lilisikiwa mara ya kwanza wakati wa mazishi yake
Kwa sasa siwezi kusikiliza hotuba zake. Wakati ule nilisikiliza ili nijue kama kuna kitu kinanihusu.Huyo jamaa hata nikisikia au kusoma jina lake, nasikia kichefuchefu
Ulitaka ajitokeze aseme?Sorry, mimi sio pro-mwendazake but huaga sipendi pia mtu kusingziwa; hivi kuna siku mwendazake aliwahi kusema kwamba anataka Chato iwe mkoa? I hope hili lilisikiwa mara ya kwanza wakati wa mazishi yake
Kuna swali aliulizwa waziri kama wananchi waaruhusiwe kuanika mazao uwanjs wa chato au wspewe jeshi. Waziri slipindishaapindisha tu mwisho akasema hilo laa jeshi ni hapo itaakapobidi. Hii ina maana gani.Kuweka kila kitu Chato, si jambo Mbali lilimfurahisha kila mwenye akili, wakiwemo hao madiwani.
Kuna wakati unajiuliza juubya uwezo wa marehemu katika kufikiri na kufanya maamuzi, unashindwa kuelewa kama alikuwa sawa wakati wote maana kuna mambo ambayo hata average brain, hawezi kufanya.
Sema wewe ulisikia kipindi hicho usifanye majumuisho.Sorry, mimi sio pro-mwendazake but huaga sipendi pia mtu kusingziwa; hivi kuna siku mwendazake aliwahi kusema kwamba anataka Chato iwe mkoa? I hope hili lilisikiwa mara ya kwanza wakati wa mazishi yake
Hahah ulivyo sema hivyo nimemkumbuka alivyokua anakula muhindi juu ya gari JPM alikua mwambaJiwe nguvu zake za giza alitoa wapi?
Yule jamaa alikuwa anaogopeka sana.
Alikua Mwendawazimu na akapewa LUNGU , lazima wamuogope.Hahah ulivyo sema hivyo nimemkumbuka alivyokua anakula muhindi juu ya gari JPM alikua mwamba
Si tumeona hata ndugai anashangaa ilikuwaje wakawa wanapitisha sheria mbovu wakati wa magufuli wakaki yeye ndiye alikuwa kinara wa watu waliokuwa wakimuabudu magufuli.Inaonekana mambo mengi yalikuwa yanapitishwa kwa woga
Mkuu, itakuwa vizuri sana kwa anayefahamu, kama atatupatia majibu ya hili swali!" Mkoa" wa Chato utajumuisha maeneo gani hasa?
Tena tukiamua tunaifanya iwe kata kabxaa,kwa lipi lililopo hadi uwe mkoa?yaan Geita ilitolewa kama wilaya na kuwa mkoa,at the same upokonye tena kweny huo mkoa kufanya mkoa mwngin,.hizo ni akilii au matope?JPM alikuwa ni muona mbaaali Sana, watu wenye mawazo mafupi, baada ya miaka michache ijayo, watakuwa wamejielewa ujinga wao, Mimi Naamini Leo wameukataa mkoa wa Chatto, lkn miaka ijayo, Chatto itakuwa mkoa tuu
watanzania tusipofanya Mwenyezi Mungu anafanyaAlafu hakuna kitu unaweza mfanya, ila tanzania ilipitia kipnd kigumu sana
ViongozI wetu wengi walikuwa na PHD ya unafiq (unafiki )na udhalilishaji wa uwezo wao wa kuchakata mambo kifikra.Inaonekana mambo mengi yalikuwa yanapitishwa kwa woga
Tatizo kwa walio wengi ni ujinga na uwendawazimu. Uliona wapi, mtu anatukanwa halafu anashangilia na kukenua meno? CCCM inaungwa mkono zaidi miongoni mwa watu wajinga (TWAWEZA).Sawa ,pia tukubali Watanzania waoga ,tulidemka mziki wake bila shuruti.
Naam mi naona kama habari haijakamilika kwakweli..!! Kwani Chato haijakidhi hadhi ya kuwa mkoa au wao wanaona wananchi wa Geita watasafiri kwa umbali mrefu kufata huduma huko Chato? Sijaelewa mantiki yao kwakweliMkuu, itakuwa vizuri sana kwa anayefahamu, kama atatupatia majibu ya hili swali!