Geita: Baraza la Madiwani laukataa Mkoa mpya wa Chato

Geita: Baraza la Madiwani laukataa Mkoa mpya wa Chato

Hawa hawa wengi wao walisaidiwa kupita udiwani wao bila kupingwa ndiyo hao hao wanamkaanga....kama leo mwendazake angeibuka wangesema wamenukuliwa vibaya!! Walimaanisha isiwe mkoa bali liwe jiji.
😂 😂 😂 😂
Aiseee
 
Madiwani wako sahihi maana mkoa wa Chato ulikuwa unaenda kuundwa kwa kukata kipande toka Geita!
 
We warned, no one listened, here we go.
tapatalk_1510575041450.jpg
 
Baraza la Madiwani Geita limeukataa Mkoa wa Chato. Je, Hayati Magufuli angekuepo wangeweza kukataa hiki kitu. CCM wakikusifia au wakikubaliana na wewe ujue wana maslahi au ni Unafiki tu.

Wanajitahidi kufuta Legacy ya Shujaa wetu. Sio sahihi Hata kidogo.

=======

Baraza Maalum la Madiwani Halmashauri ya Wilani Geita Mkoa wa Geita wamepinga wilaya mpya ya Busanda pamoja na hifadi ya Taidfa ya Kisiwa cha Rubondo kuchukuliwa na mkoa mpya wa Chato unaotarajiwa kuanzishwa hivi karibuni wakidai kuwa itasababisha wananchi kusafiri umbali wa kilomita 200 kwenda kutafuta huduma na na kusababisha mkoa wa Geita kukosa sifa kiutawala.

"Tunaenda kupata huduma hii Chato -- kilomita zaidi ya 200. Sasa, ni namna gani tunazidi kuwaongezea wananchi wetu mzigo wakati wakihitaji huduma. Mimi naona mapendekezo haya yaheshimiwe..." Bw. Salehe Juma, Diwani wa Kata ya Nyarugusu

Kisiwa cha Rubondo wakiache katika mkoa wa Geita kwasababu mkoa mpya ambao unaenda kuundwa, mkoa wa Chato, ukiangalia Ngara kuna misitu

Mkuu wa wilaya ya Geita Fadhili Juma amaesema amepeleka mapendekezo Serikalini ya kukataa mpango huo wa kuchukua maeneo ya wilaya hiyo kwenda Chato kwakuwa yatasababisha athari kwa wananchi.

"Maazimio ambayo natoka nayo hapa na muhtasari, topo ridhaa kuacha kisiwa cha Rubondo lakini hatutakubali. Bora mkoa usipatikane kuliko wilaya ya Busanda kuingia kwenye mkoa mpya. Tuliwapa sababu zote kwamba ukitoa wilaya ya Busanda kwenye mkoa wa Geita maana yake mkoa wa Geita unakosa sifa za kuwa mkoa."

Wako sahihi, Chato haistahili kabisa kuwa Mkoa.
 
Kuna kata moja inaitwa Nyamigogo, ipo wilaya ya Biharamilo Mkoa wa Kagera, kijiografia hiyo kata ilitakiwa iunganishwe kwenye Mkoa wa Geita maana sehemu yake kubwa ipo jiran kabisa na kwa marehemu Jiwe. Jambo la kushangaza waliachwa wabakie huko, huduma za Umeme maji hawana kama jirani zao ambao wapo Mita chache upande wa Geita,
Zipo tetesi jamaa alikuwa na bifu kali na jao majirani zake.
We Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema muondokee dhambi zake zote marehemu JPM, ameen!
 
Baraza la Madiwani Geita limeukataa Mkoa wa Chato. Je, Hayati Magufuli angekuepo wangeweza kukataa hiki kitu. CCM wakikusifia au wakikubaliana na wewe ujue wana maslahi au ni Unafiki tu.

Wanajitahidi kufuta Legacy ya Shujaa wetu. Sio sahihi Hata kidogo.

=======

Baraza Maalum la Madiwani Halmashauri ya Wilani Geita Mkoa wa Geita wamepinga wilaya mpya ya Busanda pamoja na hifadi ya Taidfa ya Kisiwa cha Rubondo kuchukuliwa na mkoa mpya wa Chato unaotarajiwa kuanzishwa hivi karibuni wakidai kuwa itasababisha wananchi kusafiri umbali wa kilomita 200 kwenda kutafuta huduma na na kusababisha mkoa wa Geita kukosa sifa kiutawala.

"Tunaenda kupata huduma hii Chato -- kilomita zaidi ya 200. Sasa, ni namna gani tunazidi kuwaongezea wananchi wetu mzigo wakati wakihitaji huduma. Mimi naona mapendekezo haya yaheshimiwe..." Bw. Salehe Juma, Diwani wa Kata ya Nyarugusu

Kisiwa cha Rubondo wakiache katika mkoa wa Geita kwasababu mkoa mpya ambao unaenda kuundwa, mkoa wa Chato, ukiangalia Ngara kuna misitu

Mkuu wa wilaya ya Geita Fadhili Juma amaesema amepeleka mapendekezo Serikalini ya kukataa mpango huo wa kuchukua maeneo ya wilaya hiyo kwenda Chato kwakuwa yatasababisha athari kwa wananchi.

"Maazimio ambayo natoka nayo hapa na muhtasari, topo ridhaa kuacha kisiwa cha Rubondo lakini hatutakubali. Bora mkoa usipatikane kuliko wilaya ya Busanda kuingia kwenye mkoa mpya. Tuliwapa sababu zote kwamba ukitoa wilaya ya Busanda kwenye mkoa wa Geita maana yake mkoa wa Geita unakosa sifa za kuwa mkoa."






Kama ni hivyo basi hata sisi raia tumedanganywa sana kwa maslahi binafsi. Yaani hawa jamaa wanafanyiana hivyo wao kwa wao, je sisi raia. Unabelievable!!!
 
Wanatumiwa Na Mabeberu Hawa Siyo Bure
😀😁😂😃😄😅😆😄😅😃😂😁😀
Nimekumbuka Andiko La Mradi Wa Bwawa La Nyerere
Dr Mmoja Aliukataa Mradi Akasema Haufai
Jiwe Siku Ya Uzinduzi Wa Flyover Tazara


Jiwe Akasema Yule Dr Akabadilishe Andiko Haraka Vinginevyo Tutamfanyia Chochote 😆😅😄😃😂😂😁😉
 
Legacy ya Magufuli ni mkoa wa Chato ?

Kama ndivyo haiwezi kufutwa sababu ukimbishia vyote suala la Nepotism lilikuwa ndio jadi yake
 
JPM alikuwa ni muona mbaaali Sana, watu wenye mawazo mafupi, baada ya miaka michache ijayo, watakuwa wamejielewa ujinga wao, Mimi Naamini Leo wameukataa mkoa wa Chatto, lkn miaka ijayo, Chatto itakuwa mkoa tuu
Maisha ni leo sio kesho.
Kuvuja pesa kutengeneza kesho usiyokuwepo kwa kuacha vipaumbele vya leo ni matumizi mabaya ya akili.
 
Mbona Kahama hawalazimishi iwe mkoa_? Kama hivyo Geita iwe wilaya ipoteze hadhi ya mkoa Chato uwe mkoa
 
Back
Top Bottom