Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jengo la kisasa la CRDB
Jengo la kisasa la TRA
Uwanja wa ndege
Ilikuwa ni rahisi kumkosoa Mungu na ukaishi kuliko kiumbe kilichozaliwa na mwanadamu usilione jua RIP Ben,lwajaba,Azore,and others.Wakati wa mwendazake CCM yote ilikuwa inategemea kichwa kimoja tu kufanya maamzi na ilikuwa no kosa la jinai kumkosoa mwenyekiti kwa hiyo ulihitajika unafiki was kiwango cha kujipendekeza tu ili Mambo yako yaende
kipindi cha mwendazake hii habari isngeripotiwa, wangefukuzwa wote udiwani na wangepewa armed robbery na uhujumu uchumi.Baraza la Madiwani Geita limeukataa Mkoa wa Chato, je JPM angekuepo wangeweza kukataa hiki kitu!! CCM wakikusifia au wakikubaliana na wewe ujue wana maslahi au ni Unafiki tu.
Wanajitahidi kufuta Legacy ya Shujaa wetu! Sio sahihi Hata kidogo.
View attachment 1799934
hospitali ya rufaa chato, Veta chato, uwanja wa ndege wa kimataifa chato, crdb chato, taa za kuongozea mikokoteni chati, ikulu chato vyote hivi sasa havina kaziHuo mkoa sipendi hata kuusikia,hauna tija yoyote.
Watoto wa shetani.. ni wanafiki sana fata upepoBaraza la Madiwani Geita limeukataa Mkoa wa Chato, je JPM angekuepo wangeweza kukataa hiki kitu!! CCM wakikusifia au wakikubaliana na wewe ujue wana maslahi au ni Unafiki tu.
Wanajitahidi kufuta Legacy ya Shujaa wetu! Sio sahihi Hata kidogo.
View attachment 1799934
Tulipoteza pesa zetu burehospitali ya rufaa chato, Veta chato, uwanja wa ndege wa kimataifa chato, crdb chato, taa za kuongozea mikokoteni chati, ikulu chato vyote hivi sasa havina kazi
Wazo la la kuifanya Chato kuwa Mkoa ni Insanity uliopitiliza kiwango cha crazinessBaraza la Madiwani Geita limeukataa Mkoa wa Chato, je JPM angekuepo wangeweza kukataa hiki kitu!! CCM wakikusifia au wakikubaliana na wewe ujue wana maslahi au ni Unafiki tu...
Tangu lini???Chato NI mkoa halali.
HahahYaani jamaa alikuwa mwanga sana.
Anawaambia Watumishi kama mshahara hautoshi waache kazi, na Watumishi wanapiga makofi.
Tangu lini???
Mtu yule angekuwepo madiwani wote wangeuwawa.Baraza la Madiwani Geita limeukataa Mkoa wa Chato, je JPM angekuepo wangeweza kukataa hiki kitu!! CCM wakikusifia au wakikubaliana na wewe ujue wana maslahi au ni Unafiki tu.
Wanajitahidi kufuta Legacy ya Shujaa wetu! Sio sahihi Hata kidogo.
View attachment 1799934
Hawataki macheko😂😂Baraza la Madiwani Geita limeukataa Mkoa wa Chato, je JPM angekuepo wangeweza kukataa hiki kitu!! CCM wakikusifia au wakikubaliana na wewe ujue wana maslahi au ni Unafiki tu...