Ulimwengu Mbaya
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 1,218
- 840
ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ KabisaIlikuwa ni rahisi kumkosoa Mungu na ukaishi kuliko kiumbe kilichozaliwa na mwanadamu usilione jua RIP Ben,lwajaba,Azore,and others.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ KabisaIlikuwa ni rahisi kumkosoa Mungu na ukaishi kuliko kiumbe kilichozaliwa na mwanadamu usilione jua RIP Ben,lwajaba,Azore,and others.
Ningeehangaa sana endapo wangekubali kwa sasa ambapo Jiwe ni kiongozi wa Malaika huko upande wa pili.Baraza la Madiwani Geita limeukataa Mkoa wa Chato, je JPM angekuepo wangeweza kukataa hiki kitu!! CCM wakikusifia au wakikubaliana na wewe ujue wana maslahi au ni Unafiki tu.
Wanajitahidi kufuta Legacy ya Shujaa wetu! Sio sahihi Hata kidogo.
View attachment 1799934
Kati ya watu walioingizwa chaka hapo ni CRDB.....😂😂😂hospitali ya rufaa chato, Veta chato, uwanja wa ndege wa kimataifa chato, crdb chato, taa za kuongozea mikokoteni chati, ikulu chato vyote hivi sasa havina kazi
Alifuata masharti wengine hawakufuatahuyo mganga wake cjui ni nan na mie niende kwake.
Mtanikoma nikimpta [emoji23]
Uzuri maji huwa hayazoleki yakimwagika.Huyu jamaa akifufuka hatoamini
Ww si jambazi ndio maana unaongea hivyo.Huyo jamaa hata nikisikia au kusoma jina lake, nasikia kichefuchefu
Ilo baraza lililo kataa ni la wilaya ipi ya chato au wilaya ya Geita ?Wameona aibu!
😂😂 nakuona upo pemben una mchukua picha mwendazake ila ulikua na roho mbayaAkifuata masharti wengine hawakufuataView attachment 1800005
MAPATO YANGETOKA HAZINA NA IKULU YA MWENDA ZAKE KWA DHULUMA ZA KUWAPORA WAFANYAKAZI NA WAFANYABIASHARA. MWENYEZI MUNGU HADHIHAKIWIHivi huo mkoa mpya wangetoa wapi mapato wakati mgawa magawio ameshatwaliwa
Alafu hakuna kitu unaweza mfanya, ila tanzania ilipitia kipnd kigumu sanaYaani jamaa alikuwa mwanga sana.
Anawaambia Watumishi kama mshahara hautoshi waache kazi, na Watumishi wanapiga makofi.
Hahahahahaaaa[emoji23][emoji23] nakuona upo pemben una mchukua picha mwendazake ila ulikua na roho mbaya
Unadhani Chato ilijengeka yenyewe bila maelekezo?Sorry, mimi sio pro-mwendazake but huaga sipendi pia mtu kusingziwa; hivi kuna siku mwendazake aliwahi kusema kwamba anataka Chato iwe mkoa? I hope hili lilisikiwa mara ya kwanza wakati wa mazishi yake
Watanzania tuna mengi sana ya kujifunza kwa hii miaka 5 ambayo Mwendazake alituburuza. Sasa naamini tukikaa kuandika katiba ya wananchi tutaandika kitu kizuri sana. Haya madudu aliyofanya MAGUFULI kwa kutumia UDIKTETA lazimwa yazibwe. Angalia kila wizara ilikuwa inajikomba kufanya kitu Chato ili tu DIKTETA azidi kumuona kuwa yeye ni mchapa kazi. Watu wa Misitu wakaanzisha msitu unaitwa Dos Santos Silayo, Dr Ndumbaro akaanzisha Zoo ya Chato Burigi, National Housing wakaanzisha upimaji wa viwanja, CRDB wakaanzisha branch, Ujenzi wakajenga International Airport na Wizara ya Afya wakajenga Referal Hospital.Kuweka kila kitu Chato, si jambo Mbali lilimfurahisha kila mwenye akili, wakiwemo hao madiwani.
Kuna wakati unajiuliza juubya uwezo wa marehemu katika kufikiri na kufanya maamuzi, unashindwa kuelewa kama alikuwa sawa wakati wote maana kuna mambo ambayo hata average brain, hawezi kufanya.
Wako sahihi. Ya nini mkoa wa kulazimisha wakati hata vigezo haukidhi.
Nafikiria ile ikulu aliyoijenga kule Chato,kwasasa sijui anakaa nani,hospitali ya rufaa chato, Veta chato, uwanja wa ndege wa kimataifa chato, crdb chato, taa za kuongozea mikokoteni chati, ikulu chato vyote hivi sasa havina kazi