Geita: Baraza la Madiwani laukataa Mkoa mpya wa Chato

Geita: Baraza la Madiwani laukataa Mkoa mpya wa Chato

Baraza la Madiwani Geita limeukataa Mkoa wa Chato, je JPM angekuepo wangeweza kukataa hiki kitu!! CCM wakikusifia au wakikubaliana na wewe ujue wana maslahi au ni Unafiki tu.

Wanajitahidi kufuta Legacy ya Shujaa wetu! Sio sahihi Hata kidogo.

View attachment 1799934
Ningeehangaa sana endapo wangekubali kwa sasa ambapo Jiwe ni kiongozi wa Malaika huko upande wa pili.

Mama Samia aliposema wataangalia kama vigezo vitakidhi, hilo lilikuwa ni jibu la kukataa kiaina.
 
huyo mganga wake cjui ni nan na mie niende kwake.

Mtanikoma nikimpta [emoji23]
Alifuata masharti wengine hawakufuata
tapatalk_1567993480702.jpg
 
Sorry, mimi sio pro-mwendazake but huaga sipendi pia mtu kusingziwa; hivi kuna siku mwendazake aliwahi kusema kwamba anataka Chato iwe mkoa? I hope hili lilisikiwa mara ya kwanza wakati wa mazishi yake
Unadhani Chato ilijengeka yenyewe bila maelekezo?
 
Kuweka kila kitu Chato, si jambo Mbali lilimfurahisha kila mwenye akili, wakiwemo hao madiwani.

Kuna wakati unajiuliza juubya uwezo wa marehemu katika kufikiri na kufanya maamuzi, unashindwa kuelewa kama alikuwa sawa wakati wote maana kuna mambo ambayo hata average brain, hawezi kufanya.
Watanzania tuna mengi sana ya kujifunza kwa hii miaka 5 ambayo Mwendazake alituburuza. Sasa naamini tukikaa kuandika katiba ya wananchi tutaandika kitu kizuri sana. Haya madudu aliyofanya MAGUFULI kwa kutumia UDIKTETA lazimwa yazibwe. Angalia kila wizara ilikuwa inajikomba kufanya kitu Chato ili tu DIKTETA azidi kumuona kuwa yeye ni mchapa kazi. Watu wa Misitu wakaanzisha msitu unaitwa Dos Santos Silayo, Dr Ndumbaro akaanzisha Zoo ya Chato Burigi, National Housing wakaanzisha upimaji wa viwanja, CRDB wakaanzisha branch, Ujenzi wakajenga International Airport na Wizara ya Afya wakajenga Referal Hospital.

Yaani kwa ujinga huu bado watu wanamuita shujaa??? wengine wanamuita Mzalendo?? kwa jweli huyu ilikuwa lazima afe tu ili kuinusuru Tanzania
 
hospitali ya rufaa chato, Veta chato, uwanja wa ndege wa kimataifa chato, crdb chato, taa za kuongozea mikokoteni chati, ikulu chato vyote hivi sasa havina kazi
Nafikiria ile ikulu aliyoijenga kule Chato,kwasasa sijui anakaa nani,
Aisee
 
Back
Top Bottom