Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aah wapi, mnahaha sana na mwendazake na bado anawapiga bao nje ndani[emoji16]Legacy ya Jiwe imepukutika haraka sana !
Kweli kabisaDikteta angekuwepo wasingekataa.
Wangeenda na majiKweli kabisa
Hata mimi nadhani alikuwa na nguvu za giza maana watu wote akili ziliwaruka woteJiwe nguvu zake za giza alitoa wapi?
Yule jamaa alikuwa anaogopeka sana.
Mkuu mimi sipati picha hawa Mataga Jiwe enzi zake aliwafanya nn Wanaccm na Watendaji wa Serikali. Hivi sasa wengi wao wamekuwa tofauti sana na mipango yote ya Mwendazake.Jiwe kweli alikuwa hafai.
Natamani kusikia maoni ya pro-mwendazake.
Hata kama ingekuwa Katiba mzuri haingekuwa kikwazo kwake. Hiyo mbovu tu haikuwa kikwazo pia.Katiba ni mbovu sana ilimpa mamlaka makubwa kupita kiasi
Inshu sio kumsikia, kwani kuna sehemu aliwahi kusikika akitaka uwanja wa ndege mkubwa, hospitali ya rufaa, chuo kikubwa cha VETA, iwe kanda ya uhifadhi, lijengwe daraja la km3.4 juu ya maji, ??basi na hilo la chato kuwa mkoa usingeweza kulisikia moja kwa moja toka kwake, lakini yalikuwa ni maagizo yake, moja kwa moja, au sio moja kwa moja au viongozi kujipendekeza kwake.Unakumbuka juu ya bank ya crdb, aliposema kuwa research amefanya yeye kuna wateja sana?!!Sorry, mimi sio pro-mwendazake but huaga sipendi pia mtu kusingziwa; hivi kuna siku mwendazake aliwahi kusema kwamba anataka Chato iwe mkoa? I hope hili lilisikiwa mara ya kwanza wakati wa mazishi yake
Sawa mkuu!!kwani kina jk si wameongoza kwa katiba hii hii, mbona hawakuwa hivyo?ni mangapi mazuri yamo kwenye katiba hii lakini kwake hayakuwa na maana yoyote??kwa kushirikiana na bunge, mahakama?Hata kama ingekuwa Katiba mzuri haingekuwa kikwazo kwake. Hiyo mbovu tu haikuwa kikwazo pia.
Nayeye anapigwa mabao na shetani huko kuzimu, kila siku shetani anampumulia kisogoni...ana mimba tayari ya ibilisi alipachikwa mwezi MarchAah wapi, mnahaha sana na mwendazake na bado anawapiga bao nje ndani[emoji16]
Sent from my INE-LX1r using JamiiForums mobile app
Yaani Chato ikiwa mkoa itabidi tuendeleze maombi!Masasi tu sio mkoa, sasa iweje hiyo wilaya mpya (yakufosi) ya chato iwe mkoa