Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
huyo mganga wake cjui ni nan na mie niende kwake.
Mtanikoma nikimpta π
Marehemu alikuwaga mjinga kwelikweli, yaani uende ukakate mkoa uliokatwa kutoka wilaya zingine uache mikoa kama Tabora na Morogoro yenye maeneo makubwa! Uendawazinu huu!
Katiba ni mbovu sana ilimpa mamlaka makubwa kupita kiasiMarehemu alikuwaga mjinga kwelikweli, yaani uende ukakate mkoa uliokatwa kutoka wilaya zingine uache mikoa kama Tabora na Morogoro yenye maeneo makubwa! Uendawazinu huu!
Alijipaka mafuta ya simba na kufanya mazindiko kiwango cha 5GJiwe jamaa nguvu zake za giza alitoa wapi?
Yule jamaa alikuwa anaogopeka sana.
Hahahaha...halafu mataga yanashangiliaYaani jamaa alikuwa mwanga sana.
Anawaambia Watumishi kama mshahara hautoshi waache kazi, na Watumishi wanapiga makofi.
Yanatukanwa halafu yanapiga makofi kushangiliaHahahaha...halafu mataga yanashangilia
Sawa ,pia tukubali Watanzania waoga ,tulidemka mziki wake bila shuruti.Marehemu alikuwaga mjinga kwelikweli, yaani uende ukakate mkoa uliokatwa kutoka wilaya zingine uache mikoa kama Tabora na Morogoro yenye maeneo makubwa! Uendawazinu huu!
Hakuwa na nguvu ya giza.Jiwe jamaa nguvu zake za giza alitoa wapi?
Yule jamaa alikuwa anaogopeka sana.
Sorry, mimi sio pro-mwendazake but huaga sipendi pia mtu kusingziwa; hivi kuna siku mwendazake aliwahi kusema kwamba anataka Chato iwe mkoa? I hope hili lilisikiwa mara ya kwanza wakati wa mazishi yakeKuweka kila kitu Chato, si jambo a
Mbali lilimfurahisha kila mwenye akili, wakiwemo hao madiwani.
Kuna wakati unajiuliza juubya uwezo wa marehemu katika kufikiri na kufanya maamuzi, unashindwa kuelewa kama alikuwa sawa wakati wote maana kuna mambo ambayo hata average brain, hawezi kufanya.
Morogoro aisee labdaMarehemu alikuwaga mjinga kwelikweli, yaani uende ukakate mkoa uliokatwa kutoka wilaya zingine uache mikoa kama Tabora na Morogoro yenye maeneo makubwa! Uendawazinu huu!
[emoji23][emoji23][emoji23]watu walikua wanaendeshwa kwa remote control saivi wameanza kujirudi. Kwenye akili zaoBaraza la Madiwani Geita limeukataa Mkoa wa Chato, je JPM angekuepo wangeweza kukataa hiki kitu!! CCM wakikusifia au wakikubaliana na wewe ujue wana maslahi au ni Unafiki tu.
Wanajitahidi kufuta Legacy ya Shujaa wetu! Sio sahihi Hata kidogo
View attachment 1799934
Jengo la kisasa la CRDBInaonekana mambo mengi yalikuwa yanapitishwa kwa woga
Je kwa mwendo huu jina la Mwendazake litahifadhika kweli kwenye MAKABATI YOTE YA AFRIKA?Baraza la Madiwani Geita limeukataa Mkoa wa Chato, je JPM angekuepo wangeweza kukataa hiki kitu!! CCM wakikusifia au wakikubaliana na wewe ujue wana maslahi au ni Unafiki tu.
Wanajitahidi kufuta Legacy ya Shujaa wetu! Sio sahihi Hata kidogo
View attachment 1799934
Nakubaliii... Jama was Hawafu mwenye nguvu in definition of his powerful presidency! Sijui nimepatia hiko ki english πAlijipaka mafuta ya simba na kufanya mazindiko kiwango cha 5G