Njombe mkoa mzima unawatu laki nane sawa na jimbo la busanda! Geita aka gold region usiilinganishe na maparachichi na ngwengwe region!
Mkoa wa geita Ina miji ya geita, katoro, ushirombo, runzewe na masumbwe.
Lakini watu 800k Wana Uchumi mkubwa na maisha Bora kushinda Geita yenye watu over 3M.
Maparachichi yanaitwa green gold 💚💚💚💚 ni uhakika wa pesa.
Njombe ni Mkoa wa kimkakati wa Serikali Kwa sababu zifuatazo.
1.Mji wa Makambako unatengenezwa kuwa Industrial zone
2.Mkoa wa Njombe una mito mikubwa 3 ambayo itajengwa mabwawa makubwa ya Kuzalisha umeme-Ruhudji,Rumakali na Ruhuhu.
4.Njombe ni Mkoa umeteuliwa maalumu Kuwa.kitovu Cha kuzlisha ngano ya ukanda wa Juu(Baridi) Tanzania
5.Wakati Geita mnalingia Dhahabu ya mzungu,Njombe ndio Mkoa pekee ambao una Madini ya Chuma(Liganga&Mchuchuma ) Tanznaia nzima.
6.Mkoa wa Njombe ni Mkoa maalumu wa Kilimo kikubwa Cha Chai,Pareto na Horticulture eg parachichi,nk.
7.Mkoa wa Njombe ni Shamba la Kilimo Cha miti kibiashara
8.Njombe ni Mkoa uliopo junction na unapakana na Mikoa mingine ya wachapakazi eg Mbeya,Ruvuma, Morogoro na Iringa.
9.Njombe ni Mkoa wenye vivutio vya Utalii eg Hifadhi ya Taifa Kitulo,Milima ya Mpanga-Kipengele,Safi za Milima ya Livingstone na Lake Nyasa.
10.Njombe ni Mkoa wenye makabila ya wachapa kazi eg Wakinga,wabena ,Wopangwa.Hao ni Hustlers yaani huko Kwenye migodi Geita wapo maana Mwenyekiti wa wachimbaji wadogo Tanzania ni Mkinga wa Njombe.
Sasa Kwa nondo hizi saa ngapi Geita italingana na Njombe?