Geita isipojihadhari, itakuja kuachwa mbali sana na Njombe

Geita isipojihadhari, itakuja kuachwa mbali sana na Njombe

Jibu ni Moja,Mikoa mingi sana hapa Tanzania kama sio yote,Maisha ya mawilayani ni hovyo na hakuna fursa tofauti na Wilaya za Mikoa ya Nyanda za Juu Kusini ambako kila Wilaya imechangamka.

Sasa nani anataka kuishi Ngudu,Buchosa, Sengerema,Ukerewe nk? Afadhari na Misungwi na Magu ziko pembezoni mwa Mji.

Hii ni tofauti sana na Wilaya za Mkoa mfano wa Mbeya Chunya, Mbarali,Kyela,Rungwe ambako kote ni kizuri na kuko liveable likewise case ya Njombe na Geita.
Nimezunguka nchi yote hii hakuna sehemu kuna standards of living nzuri vijijini zaidi ya 1. Zanzibar (unguja island) 2.Iringa 3. Mbeya 4. Kilimanjaro 5. Njombe na hata kwenye per capita income hii ndio mikoa tajiri nchini sijui watu wanabisha nini
 
Mkoa wa njombe umejipanga Sana tuliwambia Wameteua eneo la makambako kwa uwekezaji na tayari wamesha anzisha BBT
tfab_a_2056769_f0001_oc.jpg
IMG-20240514-WA0021.jpg
IMG-20240514-WA0019.jpg
1715657336932.jpg
IMG-20240508-WA0084.jpg
 
Tanzania holds the potential to become a horticulture export powerhouse. With a strongly organised sector, supportive policy and geographical advantages, crops like avocado, peas and flowers can generate huge amounts of business and societal value. Flying Swans will support this development through the strategic development of temperature-controlled logistics facilities.

Like in other corridors, Flying Swans have developed a corridor vision (picture below) comprising multiple investments that leverage the existing infrastructure and production and can unlock the country's horticulture potential, starting with a hinterland consolidation facility.
Tanzania Corridor



50,000 ton
Avocado production
 
Mikoa yote miwili, Geita na Njombe, inalingana kiumri. Ilianzishwa mwaka 2012.

Kila mkoa una rasilimali ya kipekee tofauti na mkoa "mwenzake". Njombe kumeshamiri kwa kilimo, hasa miti ya mbao na nguzo pamoja na kilimo cha parachichi, wakati Geita inatamba kwa uchimbaji dhahabu.

Kwa utajiri mkubwa ulio nao, utajiri wa dhahabu, Geita ilistahili kuwa miongoni mwa mikoa iliyoendelea sana.

Nimekuwepo Njombe kwa siku kadhaa sasa. Inaonekana mji unakuwa kwa kasi. Kuna uwekezaji mkubwa sana kwenye kilimo cha miti na parachichi, uwekezaji ambao unaendelea kukua kwa kasi.

Nimeiona stendi yao. Ni nzuri kuliko ya Geita.

Katika tembea yangu maeneo mbalimbali, sijafanikiwa kuona nyumba iliyoezekwa kwa nyasi.

Inaonekana watu wa huku Njombe wana hulka ya kupenda maendeleo. Wanaonekana ni wachapa kazi.

Japo sojapita maeneo yote ya huu mkoa , lakini kwa maeneo machache niliyofika, inaonekana ni mkoa wenye future nzuri.

Geita, pamoja na utajiri wake mkubwa wa dhahabu, usipokuwa makini, itakuja kupitwa mbali sana na Njombe, mkoa wa kilimo.
Mkoa Wenye Viwanda vitano vya Chai! Tena viwili vinamilikiwa na Wazawa.🔥🔥🔥🔥
 
SITAKAA NIISAHAU STAND KUU YA MABADI GEITA. SIJUI MVUA IKINYESHA INAKUAJE? HAPO KATORO BAR NDIO ZIMEJAA NA NDIZO NZURI KULIKO NYUMBA WANAZOISHI RAIA. MIKOA YOTE YENYE MADINI,MAENDELEO YOTE NI KWA WAGENI.
 
Bro sorry ila umedanganya chuma inapatikana Tanga, Morogoro na dodoma..na dodoma nimechimba na kuuzia viwanda vya cement kwa ajili ya raw materials...huko huenda ni migodi mikubwa but kwengine kupo vema.
 
Bro sorry ila umedanganya chuma inapatikana Tanga, Morogoro na dodoma..na dodoma nimechimba na kuuzia viwanda vya cement kwa ajili ya raw materials...huko huenda ni migodi mikubwa but kwengine kupo vema.
Tanzania chuma kipo sehemu nyingi funiko ni mkoa wa njombe una milima ya kutosha yenye chuma na makaa ya mawe ndo maana utaona wawekezaji wengi wanaenda mkoa wa njombe na chuma Cha njombe ni Bora zaidi kwenye soko la Dunia Huu ni mlima wa chuma liganga ludewa njombe haihitaji kuchimba
Liganga-Iron-Ore-1024x768.jpg
 
Mikoa yote miwili, Geita na Njombe, inalingana kiumri. Ilianzishwa mwaka 2012.

Kila mkoa una rasilimali ya kipekee tofauti na mkoa "mwenzake". Njombe kumeshamiri kwa kilimo, hasa miti ya mbao na nguzo pamoja na kilimo cha parachichi, wakati Geita inatamba kwa uchimbaji dhahabu.

Kwa utajiri mkubwa ulio nao, utajiri wa dhahabu, Geita ilistahili kuwa miongoni mwa mikoa iliyoendelea sana.

Nimekuwepo Njombe kwa siku kadhaa sasa. Inaonekana mji unakuwa kwa kasi. Kuna uwekezaji mkubwa sana kwenye kilimo cha miti na parachichi, uwekezaji ambao unaendelea kukua kwa kasi.

Nimeiona stendi yao. Ni nzuri kuliko ya Geita.

Katika tembea yangu maeneo mbalimbali, sijafanikiwa kuona nyumba iliyoezekwa kwa nyasi.

Inaonekana watu wa huku Njombe wana hulka ya kupenda maendeleo. Wanaonekana ni wachapa kazi.

Japo sojapita maeneo yote ya huu mkoa , lakini kwa maeneo machache niliyofika, inaonekana ni mkoa wenye future nzuri.

Geita, pamoja na utajiri wake mkubwa wa dhahabu, usipokuwa makini, itakuja kupitwa mbali sana na Njombe, mkoa wa kilimo.
Unataka Geita iachwe umbali gani ndipo utoe tahadhari.Ilishaachwa na haiwezi kuifikia Njombe hata kwa nusu.
 
Mkoa wa njombe upo speed mno saiz njombe na makambako na sub town zingine zimesha ungana makazi ko geita kwa njombe mtasubiri
WhatsApp Image 2024-07-29 at 13.31.30 (1)(0).jpeg
WhatsApp Image 2024-07-29 at 13.31.30 (1)(0).jpg
WhatsApp Image 2024-03-20 at 6.43.09 PM.jpeg
WhatsApp Image 2024-03-20 at 6.43.09 PM (1).jpeg
maxresdefault(0).jpg
 
Mkoa wa njombe wapo serious na kujenga mji mkubwa nyanda za juu kUsini kutokana na fursa zinazowazunguka
Map-Southern-Highlands.png.jpg
thumb_584_1130x480_0_0_auto.jpg
hq720(0).jpg
1727770390160.jpg
1727770491270.jpg
1727770420529.jpg
WhatsApp Image 2024-07-29 at 13.31.30 (1)(0)~2.jpg
1708603121710.jpg
1709302308778.jpg
FB_IMG_16777220132761310.jpg
 
Back
Top Bottom