Geita: Upendo Peneza akaripiwa na viongozi adharani, ni baada ya kutamka Chadema badala ya CCM wakati akihutubia

Geita: Upendo Peneza akaripiwa na viongozi adharani, ni baada ya kutamka Chadema badala ya CCM wakati akihutubia

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Huyu dada kama ilivyo msigwa,wako CCM kimaslahi ila kiroho na kimwili wako Chadema.
Akihutubua mkutano wa adhara mbele ya katibu mkuu wa CCM Emanuel Nchimbi na katibu wa itikadi na uenezi Amos makala,,Upendo peneza alijinasibu kuwa yeye ni chadema baadae akafuta kauli.
Baada ya mkutano kuisha akifokewa adharaniba kiongozi mmoja wa CCM mpaka machozi yakamtoka binti wa watu
 
Huyu dada kama ilivyo msigwa,wako CCM kimaslahi ila kiroho na kimwili wako Chadema.
Akihutubua mkutano wa adhara mbele ya katibu mkuu wa CCM Emanuel Nchimbi na katibu wa itikadi na uenezi Amos makaka,,Upendo peneza alijinasibu kuwa yeye ni chadema baadae akafuta kauli.
Baada ya mkutano kuisha akifokewa adharaniba kiongozi mmoja wa CCM mpaka machozi yakamtoka binti wa watu
View attachment 3071735
Usaliti ni laana
 
Huyu dada kama ilivyo msigwa,wako CCM kimaslahi ila kiroho na kimwili wako Chadema.
Akihutubua mkutano wa adhara mbele ya katibu mkuu wa CCM Emanuel Nchimbi na katibu wa itikadi na uenezi Amos makaka,,Upendo peneza alijinasibu kuwa yeye ni chadema baadae akafuta kauli.
Baada ya mkutano kuisha akifokewa adharaniba kiongozi mmoja wa CCM mpaka machozi yakamtoka binti wa watu
View attachment 3071735
Huyu dada kama ilivyo msigwa,wako CCM kimaslahi ila kiroho na kimwili wako Chadema.
Akihutubua mkutano wa adhara mbele ya katibu mkuu wa CCM Emanuel Nchimbi na katibu wa itikadi na uenezi Amos makaka,,Upendo peneza alijinasibu kuwa yeye ni chadema baadae akafuta kauli.
Baada ya mkutano kuisha akifokewa adharaniba kiongozi mmoja wa CCM mpaka machozi yakamtoka binti wa watu
View attachment 3071735
Tuliwaonya kuwa kama mumetoka Chadema zungumzeni mambo ya CCM yenu lakini kila kukicha hamna jipya kazi kuinanga Chadema na Mbowe matokeo yake ndiyo hayo hasa wewe Upendo na yule tumbili mwenzako Msigwa.
 
Huyu dada kama ilivyo msigwa,wako CCM kimaslahi ila kiroho na kimwili wako Chadema.
Akihutubua mkutano wa adhara mbele ya katibu mkuu wa CCM Emanuel Nchimbi na katibu wa itikadi na uenezi Amos makaka,,Upendo peneza alijinasibu kuwa yeye ni chadema baadae akafuta kauli.
Baada ya mkutano kuisha akifokewa adharaniba kiongozi mmoja wa CCM mpaka machozi yakamtoka binti wa watu
View attachment 3071735
Yale yale ya Haji Manara. Siku zote kinywa cha mtu hutoa yaujazayo moyo wake.
 
Huyu dada kama ilivyo msigwa,wako CCM kimaslahi ila kiroho na kimwili wako Chadema.
Akihutubua mkutano wa adhara mbele ya katibu mkuu wa CCM Emanuel Nchimbi na katibu wa itikadi na uenezi Amos makaka,,Upendo peneza alijinasibu kuwa yeye ni chadema baadae akafuta kauli.
Baada ya mkutano kuisha akifokewa adharaniba kiongozi mmoja wa CCM mpaka machozi yakamtoka binti wa watu
View attachment 3071735
Mnakuza mambo kitoto
 
Huyu dada kama ilivyo msigwa,wako CCM kimaslahi ila kiroho na kimwili wako Chadema.
Akihutubua mkutano wa adhara mbele ya katibu mkuu wa CCM Emanuel Nchimbi na katibu wa itikadi na uenezi Amos makaka,,Upendo peneza alijinasibu kuwa yeye ni chadema baadae akafuta kauli.
Baada ya mkutano kuisha akifokewa adharaniba kiongozi mmoja wa CCM mpaka machozi yakamtoka binti wa watu
View attachment 3071735
Don msigwa

 
Back
Top Bottom