Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
ImeozaNchi ina vituko hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ImeozaNchi ina vituko hii
Weee utanitumia huo ujue!!
Yaani ni vituko sana.
hakuna kazi rahisiYaani ni vituko sana.
Kajikausha kama hajakosea vile.
Kweli kabisa ikiwezekana hata mitanoIli tujue wanaipenda chama letu toka moyoni wapewe miaka 3 bila cheo chochote ndo kipimo sahihi
CCM mdomoni, Chadema moyoni! Angalizo kwa Wanasiasa hamahama; Japo ni haki yenu lakini msisahau fadhila. Kuweni watu wa shukrani, mtabarikiwa sana, vinginevyo karma Itawahusu! kitendo cha kuitaja Chadema kwenye mkutano wa CCM ndio kukumbuka fadhila kwenyewe.Huyu dada kama ilivyo msigwa,wako CCM kimaslahi ila kiroho na kimwili wako Chadema.
Akihutubua mkutano wa adhara mbele ya katibu mkuu wa CCM Emanuel Nchimbi na katibu wa itikadi na uenezi Amos makala,,Upendo peneza alijinasibu kuwa yeye ni chadema baadae akafuta kauli.
Baada ya mkutano kuisha akifokewa adharaniba kiongozi mmoja wa CCM mpaka machozi yakamtoka binti wa watu
View attachment 3071735
Atatumiwa mpaka ashike adabu, Hana cha maana alichopeleka CCM, hakuwa, kiongozi mkubwa,aliondoka Silaa,akaondoka mashinji, chadema bado IPO, chadema ni idea, IPO mioyoni, you can't kill an idea, au, ideology kwa kuchukua makapi,kama wanaume wanatumiwa, wanatupwa, huyu penyeza, awake miguu vzr, atapanuliwa, mpaka kizazi kiishe,Huyu dada kama ilivyo msigwa,wako CCM kimaslahi ila kiroho na kimwili wako Chadema.
Akihutubua mkutano wa adhara mbele ya katibu mkuu wa CCM Emanuel Nchimbi na katibu wa itikadi na uenezi Amos makala,,Upendo peneza alijinasibu kuwa yeye ni chadema baadae akafuta kauli.
Baada ya mkutano kuisha akifokewa adharaniba kiongozi mmoja wa CCM mpaka machozi yakamtoka binti wa watu
View attachment 3071735
anaipata hela kwa tabu sanaUsaliti kwa vipande vya fedha unaaibika sana, mtu mzima Msigwa ona jinsi dunia inavyokuangalia
Huyu binti ana akili mingi sana pia ana uwezo sana wa kuchambua mambo hata hotuba yupo safiHuyu dada kama ilivyo msigwa,wako CCM kimaslahi ila kiroho na kimwili wako Chadema.
Akihutubua mkutano wa adhara mbele ya katibu mkuu wa CCM Emanuel Nchimbi na katibu wa itikadi na uenezi Amos makala,,Upendo peneza alijinasibu kuwa yeye ni chadema baadae akafuta kauli.
Baada ya mkutano kuisha akifokewa adharaniba kiongozi mmoja wa CCM mpaka machozi yakamtoka binti wa watu
View attachment 3071735
Japo ulimi hauna mfupa ila kutaja Chadema badala ya CCMCCM mdomoni, Chadema moyoni! Angalizo kwa Wanasiasa hamahama; Japo ni haki yenu lakini msisahau fadhila. Kuweni watu wa shukrani, mtabarikiwa sana, vinginevyo karma Itawahusu! kitendo cha kuitaja Chadema kwenye mkutano wa CCM ndio kukumbuka fadhila kwenyewe.
P