Geita: Upendo Peneza akaripiwa na viongozi adharani, ni baada ya kutamka Chadema badala ya CCM wakati akihutubia

Geita: Upendo Peneza akaripiwa na viongozi adharani, ni baada ya kutamka Chadema badala ya CCM wakati akihutubia

Huyu dada kama ilivyo msigwa,wako CCM kimaslahi ila kiroho na kimwili wako Chadema.
Akihutubua mkutano wa adhara mbele ya katibu mkuu wa CCM Emanuel Nchimbi na katibu wa itikadi na uenezi Amos makala,,Upendo peneza alijinasibu kuwa yeye ni chadema baadae akafuta kauli.
Baada ya mkutano kuisha akifokewa adharaniba kiongozi mmoja wa CCM mpaka machozi yakamtoka binti wa watu
View attachment 3071735
CCM mdomoni, Chadema moyoni! Angalizo kwa Wanasiasa hamahama; Japo ni haki yenu lakini msisahau fadhila. Kuweni watu wa shukrani, mtabarikiwa sana, vinginevyo karma Itawahusu! kitendo cha kuitaja Chadema kwenye mkutano wa CCM ndio kukumbuka fadhila kwenyewe.
P
 
Huyu dada kama ilivyo msigwa,wako CCM kimaslahi ila kiroho na kimwili wako Chadema.
Akihutubua mkutano wa adhara mbele ya katibu mkuu wa CCM Emanuel Nchimbi na katibu wa itikadi na uenezi Amos makala,,Upendo peneza alijinasibu kuwa yeye ni chadema baadae akafuta kauli.
Baada ya mkutano kuisha akifokewa adharaniba kiongozi mmoja wa CCM mpaka machozi yakamtoka binti wa watu
View attachment 3071735
Atatumiwa mpaka ashike adabu, Hana cha maana alichopeleka CCM, hakuwa, kiongozi mkubwa,aliondoka Silaa,akaondoka mashinji, chadema bado IPO, chadema ni idea, IPO mioyoni, you can't kill an idea, au, ideology kwa kuchukua makapi,kama wanaume wanatumiwa, wanatupwa, huyu penyeza, awake miguu vzr, atapanuliwa, mpaka kizazi kiishe,
 
Huyu dada kama ilivyo msigwa,wako CCM kimaslahi ila kiroho na kimwili wako Chadema.
Akihutubua mkutano wa adhara mbele ya katibu mkuu wa CCM Emanuel Nchimbi na katibu wa itikadi na uenezi Amos makala,,Upendo peneza alijinasibu kuwa yeye ni chadema baadae akafuta kauli.
Baada ya mkutano kuisha akifokewa adharaniba kiongozi mmoja wa CCM mpaka machozi yakamtoka binti wa watu
View attachment 3071735
Huyu binti ana akili mingi sana pia ana uwezo sana wa kuchambua mambo hata hotuba yupo safi
 
Upenda peneza alitoka maisha plus akaenda chadema wakampokea na kumfundisha siasa akapata Ubunge viti maalumu akapata ulaji.
 
Back
Top Bottom