Geita: Upendo Peneza akaripiwa na viongozi adharani, ni baada ya kutamka Chadema badala ya CCM wakati akihutubia

Huwa inatokea ila hapo inaonyesha kabisa wapo kwa ajili ya maokoto huko walipo kwasasa.

"Tumaini lipo ndani ya CHADEMA" - Msigwa
"Nafasi niliyonayo ndani ya CHADEMA" - Peneza
 
Huwa inatokea ila hapo inaonyesha kabisa wapo kwa ajili ya maokoto huko walipo kwasasa.

"Tumaini lipo ndani ya CHADEMA" - Msigwa
"Nafasi niliyonayo ndani ya CHADEMA" - Peneza
Eti hapendi kuiongelea chadema haha πŸ˜„ sasa asipoiongelea cdm ataongelea nini ,hawana πŸ˜„
Ili wa survive huko ccm inabdi tu wait aje cdm tu waishambulie
Wanafukuzia teuzi...
Sema ccm inawenyewe ohooh

Ova
 
Mtu mwenye tumbo Kubwa akishaanza kusema NDUGU ZANGUUUU WATANZANIAAA

Mjue anajiandaa kuwapiga fix
 
CCM wananunua watu wa vyama vingine ndio matokeo haya ya kuaibika jukwaani ambao hawana asili ya itikadi yao ndio matekeo ya kuaibika jukwaani.

Huyu dada kaibuliwa, kalelewa na kukuzwa na Chadema leo wameshawishiwa kuingia CCM kwa rushwa ya fedha unategemea pesa zitabadili akili inachokiwaza?

Wote wanachama wa Chadema hasa viongozi waliotimkia CCM wametumwa na Chadema kimkakati na lengo maalum bila kujali watabagazwa kiwango gani watanyenyekea na kutumika kwa kadri inavyotaka kuwatumikisha lakini mrejesho halisi wataupeleka Chadema kwa njia ya SIRI.

Chadema nao wanaweza wasiwe wanawajibu hoja zao za kuishambulia Chadema au nao watawajibu kwa mashambulii kana kwamba kweli wamekinaiana kumbe ni 'DRAMA' za kufanikisha lengo kuu la kuwa pandikizi kwa uhusika wa kutoshukiwa na mwenyeji hadi siri za ndani wanagawana nao.


*This is just the tip of the iceberg
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…