Geita: Wamuua mama yao Kikongwe wa miaka 70 kisa tu wanataka urithi wa shamba

Geita: Wamuua mama yao Kikongwe wa miaka 70 kisa tu wanataka urithi wa shamba

https://t.co/EHMUPZqr0B

View attachment 2248230
Picha: Kamanda wa Polisi Mkoani Geita Henry Mwaibambe
Kamanda wa Polisi Mkoani Geita Henry Mwaibambe amethibitisha tukio la Mwanamke mmoja mkazi wa kijiji na kata ya Nyaruyeye Wilayani Geita, Milembe Lutubija (70) kuuawa kwa kukatwa mapanga na watoto wake kwa madai ya watoto kuhitaji kupatiwa ardhi kama urithi kutoka kwa mama yao.


Source: DarMpya Blog
Geita ndio Mkoa hatari zaidi kwa Wazee barani Africa kwa sasa , ukifuatiwa na Mogadishu ya Somalia
 
Kanda ya Ziwa inatakiwa itubu sana,mambo ya kuua vikongwe yalishawalaani
Kwaio mjomba, ina maana sisi kanda ya ziwa ndo watenda dhambi sana eh?🤔
Kipindi cha mauaji mengi kule kusini mtwara n.k na wao walikua watenda dhambi sana af sa hv wameacha?
I think cha muhimu ni kuraise awareness kuhusu masuala kama ya ushirikina n.k yanayosumbua jamii. Hata ukishinikiza kutubu while mindset bado zipo negative hakuna solution hapo
 
Back
Top Bottom