Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Geita ndio Mkoa hatari zaidi kwa Wazee barani Africa kwa sasa , ukifuatiwa na Mogadishu ya Somaliahttps://t.co/EHMUPZqr0B
View attachment 2248230Kamanda wa Polisi Mkoani Geita Henry Mwaibambe amethibitisha tukio la Mwanamke mmoja mkazi wa kijiji na kata ya Nyaruyeye Wilayani Geita, Milembe Lutubija (70) kuuawa kwa kukatwa mapanga na watoto wake kwa madai ya watoto kuhitaji kupatiwa ardhi kama urithi kutoka kwa mama yao.
Picha: Kamanda wa Polisi Mkoani Geita Henry Mwaibambe
Source: DarMpya Blog
Kwaio mjomba, ina maana sisi kanda ya ziwa ndo watenda dhambi sana eh?🤔Kanda ya Ziwa inatakiwa itubu sana,mambo ya kuua vikongwe yalishawalaani
Hii ndio Kanda aliyotokea yule Rais Katili kuliko wote aliewahi kutokea Tanzania,damu za wakina Saanane na wengineo zotaendelea kuililia hiyo ardhi.Jadili tukio acha ukabila wako.
Hasa damu walizomwaga yule Fascist Jiwe na BashiteNdio maana nasema hawa watu watubu maana wameshamwaga damu za watu wasio na hatia
Nenda kalilie kaburini hapo ChatoWewe kibaraka wa Mbowe unachuki sana na Geita
Fuatilia matukio ya kinyama ya Geita , halafu nimewahi kuandika unyama wa Geita miaka mingi mno , sikuanza kuandika leoWewe kibaraka wa Mbowe unachuki sana na Geita
Mauaji ya kishamba ya albino duniani yameasisiwa GeitaNaona umeumia wakati kapigwa mwenzio.
Miaka sabini mtu una pona kabisa. Especially Kama ni Hawa wa Kinondoni na ilala wanaojua kuziosha.Miaka 70 siyo kikongwe aise
Ova