GEITA: Wananchi wavamia kituo Cha Polisi, wawili wauawa

Vyombo vya dola vijitafakari na vijisafishe. Wakati watu wanaripoti watoto kupotea hawakuonesha juhudi zozote za kukabiliana na wimbi hilo. Sasa ndio hayo ya kujichukulia sheria mkononi ambayo haifai. Something must be done.
 
Kanda ya ziwa,hali sio shwari.
Jawaelewi bibi yule anafanya nini!
Hali sio
 
Wananchi waanze kupambana pia na wasiojulikana.

Akija bila utambulisho basi iwe halali ya jamii
 
Umenikumbusha Temeke Sandali aliwahi uliwa mtu akidhaniwa mwizi na hakuwa mwizi.
 
Askari walijaribu kuwaelimisha na kuwaeleza ni kosa na si vizuri kujichukulia sheria mkononi lakini walikaidi na baada ya askari kuona hali hiyo ya kuhatarisha maisha ya watu na mali za serikali walitumia mabomu ya machozi ili kuwatawanya watu hao
Wao polisi hawachukui sheria mkononi?
Tangu lini polisi akaaa na busara ya kusema hayo?
 
Huo ukanda wagombea wa ccm ni wachawi na waganga bila kafara uchaguzi 2025 hawatoboi.
 
Tanzania wapumbavu tuko wengi, kuna watu wana walaumu polisi sasa unajiuliza kosa la polisi ni lipi hapo

kuwahifadhi watuhumiwa ambao wametuhumiwa kwa hisia tu
 
Hio idadi inatia shaka sana mno ili makamanda waonekane walikua overwhelmed wakatumia sub machine gun kutatua changamoto
Yn hapo sidhan ht kama walifika 200
 
Tanzania wapumbavu tuko wengi, kuna watu wana walaumu polisi sasa unajiuliza kosa la polisi ni lipi hapo

kuwahifadhi watuhumiwa ambao wametuhumiwa kwa hisia tu
Wewe ndio hurlrwi na ni mpumbavu zaidi.

Hapa point sio tukio la leo bali matukio yaliyotangulia ndio yamepelekea tukio la leo na ndio msingi wa majadiliano haya.
 
Kadri kunavyozidi kupambazuka giza linaongezeka ila lazima pakuche tu
 
Uko sawa lkn jeshi letu lilipifikia Hadi Sasa kuaminika vigumu mno hata alikuambia Sasa Hivi ni saa7 usiku Toka Nje kwanza ukashuhudie ndivho kinachofanyika Sasa Hivi ha waaminiki.


Watu wanahimidhana akija police kukuchukua usiende heri akuulie hapo hapo familia inaona. Kwa Hali hii ni kiasi Gani jeshi haliaminiki Tena?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…