Gen-Z hamuwezi kuelewa hivi vitu vilikuwa na maana kiasi gani

Gen-Z hamuwezi kuelewa hivi vitu vilikuwa na maana kiasi gani

images (22).jpeg
.Gen Z huyu anaitwa Master Lufufu 🤣
 
View attachment 3144033

Jamani Gen Z hadi wanaweza kuwa bila kusoma mishe za Dr Kumalo 🤣🤣🤣
Siku hizi wanataka wapate elimu kwa kuwawekea filamu.Ukiwapa changamoto ndogo tu wasome kitabu kama "The mine boy,Song of Lawino & Okol,The lonely hill" watalalamika ni vikubwa sana halafu vina lugha tata.Watavikacha tu.
 
Back
Top Bottom