Gen-Z hamuwezi kuelewa hivi vitu vilikuwa na maana kiasi gani

View attachment 3144033

Jamani Gen Z hadi wanaweza kuwa bila kusoma mishe za Dr Kumalo 🤣🤣🤣
Siku hizi wanataka wapate elimu kwa kuwawekea filamu.Ukiwapa changamoto ndogo tu wasome kitabu kama "The mine boy,Song of Lawino & Okol,The lonely hill" watalalamika ni vikubwa sana halafu vina lugha tata.Watavikacha tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…