General Muhoozi akishika madaraka tutafata Tanzania baada ya kuwa DRC wameisha, tujipange

General Muhoozi akishika madaraka tutafata Tanzania baada ya kuwa DRC wameisha, tujipange

JWTZ

Najua mnafahamu kuwa endapo lolote likitokea Uganda hata leo, Rais anayefuata wa Uganda ni Generali kichaa Muhoozi Kainerugaba.

Najua mnafaham kuwa Muhoozi na Mjomba wake Kagame wanaamini sana kwenye theory ya Expansionism! Kwa Kagame na Muhoozi maeneo ya Afrika Mashariki yanapaswa kuwa nchi moja (imaya moja) na wao kuwa Viongozi wa hiyo nchi.

Sote tunafaham, miaka ya hivi karibuni Kagame na Muhoozi wamekuwa wakiyaimarisha sana majeshi yao. Uimarishaji huu unaenda sambamba na kununua vifaa vya kisasa vya teknolojia ya Juu sana.

Taarifa zinasema kwenye ziara ambazo Kagame amekuwa akizifanya UAE, Uturuki na nchi zingine, amekuwa akinunua vifaa vya kisasa kwa ajili ya majeshi yake ikiwemo Drones, Makombora ya kutungulia ndege na Silaha nyingine za teknolojia mpya na za kisasa.

Wito wangu kwenu!

1. Kuanza sasa wekezeni heavily kwenye mafunzo ya kutumia silaha za kisasa za teknolojia mpya. Mf. Drones makombora ya kisasa na nyinginezo.

2. Kuanzia sasa wekezeni sana kwenye kununua silaha za kisasa za teknolojia mpya. Kuanzia Vifaru, Makombora, Ndegevita na hata Ndege zisizo na Dubai


3. Imarisheni sana Kamandi yenu ya Wanamaji. Nadhani mmejifunza namna Rwanda na M23 walivyoingia Goma na Lubavu kupitia Ziwa Kivu. Kuna haja kubwa sasa kuwa na Kambi Kubwa za Kijeshi za Wanamaji kwenye Maziwa ya Victoria na Tanganyika. Kambi hizi ziwekewe vifaa vya kisasa na bora kabisa vya kivita na Wanajeshi wetu wapewe mafunzo bora kabisa kuhudumu kwenye silaha hizo.

4. Imarisheni sana Uhusiano na Mataifa yenye uwezo mkubwa wa kijeshi hasa Marekani na China. Ingawa mnafanya vizuri kwenye hili, ila ongezeni sana ushirikiano kwenye eneo hili. Pelekeni maofisa wengi kwenye mafunzo vyuo vya nje vya kijeshi wachukue utaalam na waje kuwafundisha wenzao.

5. Mwisho ingawa sio kwa umuhimu, wekezeni basi hata kwenye mavazi mazuri na nadhifu kwa wanajeshi wetu. Hivi karibuni naona Askari wetu wanavaa nguo kuu kuu zilizochoka sana. Wafanyeni askari wetu wawe proud kuvaa nguo zao. Watengenezeeni nguo na mavazi mazuri ya kijeshi yanayowafanya sio tu wawe vizuri ila wapendeze na kuonekana askari nadhifu wanaojaliwa vizuri. Kwenye hili mjifunze kwa wenzenu wa Rwanda.
View attachment 3243938View attachment 3243939
View attachment 3243925View attachment 3243927

View attachment 3243921View attachment 3243922View attachment 3243928View attachment 3243924
Wacha tuajili form four failure wengi kwenye jeshi bila kuwekeza kwenye technology
 
Mimi sijali nawaambia tu moja kwa moja! Nyinyi watutsi hamfai! Na ni hatari kwa usalama wa hii nchi Tz. Mnapaswa kutangazwa ni adui wa taifa.
Chuki za Kiafrika sote tunazijua,hata Wachaga wanachukiwa hapa Tanzania wacha nikiambie kitu angalia Jamii zote zenye kujielewa zinachukiwa sana na jamii ambzo hazijielewi.
 
Labda vita ya CCM na CHADEMA ndo wanashida ila vinginevyo wataishia kuvunja matofali tu ,kuzuia maandamo ya CHADEMA
Jaribuni na kimbau mbau wenu. Alafu atakapokimbilia uamishoni mfateni mumuulize vizuri kwanini umekimbia. Ule ujinga wa congo wa kuwa wanafiki kwa nafsi zao ndiyo kinawafanya mumuone kimbau mbau anaweza sana siyo. Watu wasio na nidhamu wale wacongo wanaolelewa na wanawake zao?. Mwambieni ajaribu maana hata madini bongo land yapo ya kumwaga aje pia. Hao uliowataja watakufa hata wazo la kusogea Tanzania wakiwa hawana
 
JWTZ

Najua mnafahamu kuwa endapo lolote likitokea Uganda hata leo, Rais anayefuata wa Uganda ni Generali kichaa Muhoozi Kainerugaba.

Najua mnafaham kuwa Muhoozi na Mjomba wake Kagame wanaamini sana kwenye theory ya Expansionism! Kwa Kagame na Muhoozi maeneo ya Afrika Mashariki yanapaswa kuwa nchi moja (imaya moja) na wao kuwa Viongozi wa hiyo nchi.

Sote tunafaham, miaka ya hivi karibuni Kagame na Muhoozi wamekuwa wakiyaimarisha sana majeshi yao. Uimarishaji huu unaenda sambamba na kununua vifaa vya kisasa vya teknolojia ya Juu sana.

Taarifa zinasema kwenye ziara ambazo Kagame amekuwa akizifanya UAE, Uturuki na nchi zingine, amekuwa akinunua vifaa vya kisasa kwa ajili ya majeshi yake ikiwemo Drones, Makombora ya kutungulia ndege na Silaha nyingine za teknolojia mpya na za kisasa.

Wito wangu kwenu!

1. Kuanza sasa wekezeni heavily kwenye mafunzo ya kutumia silaha za kisasa za teknolojia mpya. Mf. Drones makombora ya kisasa na nyinginezo.

2. Kuanzia sasa wekezeni sana kwenye kununua silaha za kisasa za teknolojia mpya. Kuanzia Vifaru, Makombora, Ndegevita na hata Ndege zisizo na Dubai


3. Imarisheni sana Kamandi yenu ya Wanamaji. Nadhani mmejifunza namna Rwanda na M23 walivyoingia Goma na Lubavu kupitia Ziwa Kivu. Kuna haja kubwa sasa kuwa na Kambi Kubwa za Kijeshi za Wanamaji kwenye Maziwa ya Victoria na Tanganyika. Kambi hizi ziwekewe vifaa vya kisasa na bora kabisa vya kivita na Wanajeshi wetu wapewe mafunzo bora kabisa kuhudumu kwenye silaha hizo.

4. Imarisheni sana Uhusiano na Mataifa yenye uwezo mkubwa wa kijeshi hasa Marekani na China. Ingawa mnafanya vizuri kwenye hili, ila ongezeni sana ushirikiano kwenye eneo hili. Pelekeni maofisa wengi kwenye mafunzo vyuo vya nje vya kijeshi wachukue utaalam na waje kuwafundisha wenzao.

5. Mwisho ingawa sio kwa umuhimu, wekezeni basi hata kwenye mavazi mazuri na nadhifu kwa wanajeshi wetu. Hivi karibuni naona Askari wetu wanavaa nguo kuu kuu zilizochoka sana. Wafanyeni askari wetu wawe proud kuvaa nguo zao. Watengenezeeni nguo na mavazi mazuri ya kijeshi yanayowafanya sio tu wawe vizuri ila wapendeze na kuonekana askari nadhifu wanaojaliwa vizuri. Kwenye hili mjifunze kwa wenzenu wa Rwanda.
View attachment 3243938View attachment 3243939
View attachment 3243925View attachment 3243927

View attachment 3243921View attachment 3243922View attachment 3243928View attachment 3243924
🤣🤣🤣 ivi unalinganishaje usalama wa nch moja na nyingne? Wanaijua tz tusha wachapa mpaka idi amn akasepa sembuse huu mtt wa mama anaye mtegemea bb yake
 
🤣🤣🤣 ivi unalinganishaje usalama wa nch moja na nyingne? Wanaijua tz tusha wachapa mpaka idi amn akasepa sembuse huu mtt wa mama anaye mtegemea bb yake
Kumbuka kumkabili Iddi Amin tulisaidiana na vikosi vya Uganda na Rwanda.
 
Chuki za Kiafrika sote tunazijua,hata Wachaga wanachukiwa hapa Tanzania wacha nikiambie kitu angalia Jamii zote zenye kujielewa zinachukiwa sana na jamii ambzo hazijielewi.
Wewe unanichekesha sana!

Huwa nachukia asiyependa haki tu na asiyeienzi amani kwa kuangalia misingi ya haki na usawa kwenye jamii. Kitu ambacho watutsi mmefeli kukionyesha.

Linalochukiwa si kabila! Bali ni mwenendo wenu mliyohodhi ambao unalitia najisi kabila lenu zima. Na kwa taarifa yako wapo wenzako ambao ni wapenda amani wamekiri hizo tabia mnazo na ndizo ambazo zinawafanya jamii yenu kubwa kuzungumziwa vibaya.

Wachagga siwachukii na wala sina mpango nao! Maadamu ni watanzania na wanaishi vizuri kwangu haina shida.

Mimi naipenda Tz. Maisha yangu kwa asilimia kubwa yamekulia hapa! Nikienda sehemu nyengine naenda na kurudi hapa Tz. Yaani nasema narudi nyumbani.

Mababu zangu 6 yaani kutoka babu mpaka babu mpaka babu mpaka akazaliwa baba yangu wamekufa na wote wamezikiwa hapa hapa!

Hata kama asili ni sehemu fulani ila Tz kwangu ni nyumbani.

Siwezi nikafurahia sehemu kama hiyo watokee jamii fulani waanze kuleta tabia zao mbaya kujiona bora kama wayahudi na kuleta machafuko ndani ya jamii zilizowazunguka. Piga uwa wewe mtu utakuwa ni adui yangu.

Ndivyo nilivyofundishwa; na si unajua na kwetu tunafundishwa na dini: Popote itakaposimama haki nami nipo!

Na mfano hai nilishawahi kumueleza wazi zaidi ya mara 2 ndugu Malaria 2 kuwa ni sheikh mzuri, ila haki yake isichague yalipo mapenzi yake, bali yachague kwa usawa. Naam, ndivyo nilivyo!

Na kingine unanichosha huwa sipendi kuandika sana.
 
Wachagga siwachukii na wala sina mpango nao! Maadamu ni watanzania na wanaishi vizuri kwangu haina shida.
Wewe Mhutu uwachukie Wachaga kama nani wakati mimi nasema Jamii za Kitanzania?!
 
Wewe Mhutu uwachukie Wachaga kama nani wakati mimi nasema Jamii za Kitanzania?!
😂😂😂😂😂

Ndiyo kawaida yenu!

Nimeanza kuwasoma tangu Uzi za 2013.

Mkiambiwa ukweli huwa mnaanza kuwashambulia watu na kuwaita wahutu sijui na jina gani lile jengine..

Hii hainipi tabu 😂😂😂😂

Tena uisiishie hapo, niite majina yote mnayowaita wahutu.
 
Licha ya uwepo wao lakini nasikia Kuna mapandikizi kibao ndani ya nchi na serikalini Tena wengine wapo ktk ngazi za maamuzi.

Swali ni je walipenyaje mpaka kufika huko?
Haya mambo haya epukiki kwenye medani za ujasusi mbona tz imepandikiza marais wa nchi zote jirani?
 
Ndiyo kawaida yenu!
Watanzania tutapambana na Idiolojia yenu ya HUTU POWER mpaka tone la mwisho la Jasho na Damu, hii Idiolojia tukiiacha hapa Tanzania itatuchonganisha na Ndugu zetu Wamasai Wairaqwi Watindiga Wabarbaig Wameru Wamachame Warangi nk.Chuki zenu dhidi ya Wanyarwanda bakizeni huko huko Buja.
 
JWTZ kama wanaiona hii habari wasiipuuze.... na nyie machawa hizi ndio habari za kumpelekea Samia na mawaziri wake na sio kumpelekea habari zinazohusiana na Lisu anapanga mikakati gani...

Mawaziri wake
IMG_20250107_152002.jpg
 
JWTZ

Najua mnafahamu kuwa endapo lolote likitokea Uganda hata leo, Rais anayefuata wa Uganda ni Generali kichaa Muhoozi Kainerugaba.

Najua mnafaham kuwa Muhoozi na Mjomba wake Kagame wanaamini sana kwenye theory ya Expansionism! Kwa Kagame na Muhoozi maeneo ya Afrika Mashariki yanapaswa kuwa nchi moja (imaya moja) na wao kuwa Viongozi wa hiyo nchi.

Sote tunafaham, miaka ya hivi karibuni Kagame na Muhoozi wamekuwa wakiyaimarisha sana majeshi yao. Uimarishaji huu unaenda sambamba na kununua vifaa vya kisasa vya teknolojia ya Juu sana.

Taarifa zinasema kwenye ziara ambazo Kagame amekuwa akizifanya UAE, Uturuki na nchi zingine, amekuwa akinunua vifaa vya kisasa kwa ajili ya majeshi yake ikiwemo Drones, Makombora ya kutungulia ndege na Silaha nyingine za teknolojia mpya na za kisasa.

Wito wangu kwenu!

1. Kuanza sasa wekezeni heavily kwenye mafunzo ya kutumia silaha za kisasa za teknolojia mpya. Mf. Drones makombora ya kisasa na nyinginezo.

2. Kuanzia sasa wekezeni sana kwenye kununua silaha za kisasa za teknolojia mpya. Kuanzia Vifaru, Makombora, Ndegevita na hata Ndege zisizotumia rubani (UAV/Drones)


3. Imarisheni sana Kamandi yenu ya Wanamaji. Nadhani mmejifunza namna Rwanda na M23 walivyoingia Goma na Lubavu kupitia Ziwa Kivu. Kuna haja kubwa sasa kuwa na Kambi Kubwa za Kijeshi za Wanamaji kwenye Maziwa ya Victoria na Tanganyika. Kambi hizi ziwekewe vifaa vya kisasa na bora kabisa vya kivita na Wanajeshi wetu wapewe mafunzo bora kabisa kuhudumu kwenye silaha hizo.

4. Imarisheni sana Uhusiano na Mataifa yenye uwezo mkubwa wa kijeshi hasa Marekani na China. Ingawa mnafanya vizuri kwenye hili, ila ongezeni sana ushirikiano kwenye eneo hili. Pelekeni maofisa wengi kwenye mafunzo vyuo vya nje vya kijeshi wachukue utaalam na waje kuwafundisha wenzao.

5. Mwisho ingawa sio kwa umuhimu, wekezeni basi hata kwenye mavazi mazuri na nadhifu kwa wanajeshi wetu pamoja na other protective gears (Mabuti mazuri na viatu vizuri vya kiaskari). Hivi karibuni naona Askari wetu wanavaa nguo kuu kuu zilizochoka sana. Wafanyeni askari wetu wawe proud kuvaa nguo zao. Watengenezeeni nguo na mavazi mazuri ya kijeshi yanayowafanya sio tu wawe vizuri ila wapendeze na kuonekana askari nadhifu wanaojaliwa vizuri. Kwenye hili mjifunze kwa wenzenu wa Rwanda.
View attachment 3243938View attachment 3243939
View attachment 3243925View attachment 3243927

View attachment 3243921View attachment 3243922View attachment 3243928View attachment 3243924
Mkuu weka namba yako hapa tukuchangie hata teni teni kwa uzalendo uliotukuka...

Shida ni moja tu... Jeshi letu lijitahidi listing ikiendelea kabisa siasa. Kama kipindi kafariki Magu, CDF akaamuru katiba ifuatwe... Libaki hivyo nasi wananchi tunalipenda na kulithamini sana.
 
Watanzania tutapambana na Idiolojia yenu ya HUTU POWER mpaka tone la mwisho la Jasho na Damu, hii Idiolojia tukiiacha hapa Tanzania itatuchonganisha na Ndugu zetu Wamasai Wairaqwi Watindiga Wabarbaig Wameru Wamachame Warangi . Chuki zenu dhidi ya Wanyarwanda bakizeni huko huko Buja.
Hahaha!

Kama kawaida yenu!

Yaani mnapita kwenye njia za zilezile za wayahudi!

Wakiambiwa ukweli, wewe ni Antisemitic.

Na nyinyi watutsi mambo ndiyo vilevile! Mkiambiwa ukweli mnawaita watu wahutu!

Kwa bahati zuri mnajulikana jinsi mlivyo!

Tutaendelea kuwapiga spana humu JF mpaka mtakimbia.
 
JWZT Watu sijui mnawachukuliaje.. TISS sijui mnaichukulia aje....

Hapa Africa ukitoa nchi kama 4 hakuna wa kuweza kushinda vita na Tz hayupo..
Kupokea ushauri ni faida sana. Haya ya kale eti tuliwapiga Uganda, ni historia. Mwaka 1986 Museveni kutokea msituni alimtoa Obote ikulu. Mwaka 1996 Kagame akisaidiwa na Uganda alimtungua Habyarimana na kuikalia Rwanda hadi leo baada ya genocide iliyoanza 1994. Serikali ijenge uzalendo wa hali ya juu kwa vijana, kuajiri askari weledi wa hali ya juu bila kufuata ukada, U CCM na undugu, kuwafundisha, kuwalipa vizuri na kuweka usawa kivyama. Ubaguzi mkubwa uliopo kwa vyama ktk ajira, fursa za mikopo ya vijana na maslahi mengine vinawaondoa waliotengwa kuichukia serikali na kujiondoa kuipigania nchi. Wakati wa Nyerere huduma zilikuwa bure na sawa kwa raia wote. Hivyo kila mtu alijivunia matunda ya nchi. Leo huduma za afya, elimu, ajira na mengineyo hutolewa ki CCM zaidi. Tukivamiwa walionyimwa huduma na fursa watakaa pembeni.
 
Hahaha!

Kama kawaida yenu!

Yaani mnapita kwenye njia za zilezile za wayahudi!

Wakiambiwa ukweli, wewe ni Antisemitic.

Na nyinyi watutsi mambo ndiyo vilevile! Mkiambiwa ukweli mnawaita watu wahutu!

Kwa bahati zuri mnajulikana jinsi mlivyo!

Tutaendelea kuwapiga spana humu JF mpaka mtakimbia.
Mtusi wa damu huyo.
 
Back
Top Bottom