FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
- Thread starter
-
- #241
Awamu ya Sita watumie Tozo kufufua hiki kiwanda pia, tunapoteza ajira nyingi mno kwa kununua tairi toka Kenya na ChinaHaya ndio mambo ambayo awamu hii inapaswa kuyafanya na kuacha alama kwenye mioyo ya watu wa Arusha.
Kenya si ndio wale waliochukua General tyre YANA, tyre ni ya Mchina wire tupu kuburst shida, labda wafufue ubia na kiwanda kitakachotumia wireAwamu ya Sita watumie Tozo kufufua hiki kiwanda pia, tunapoteza ajira nyingi mno kwa kununua tairi toka Kenya na China
Wanafufua kiwanda au wanafukuza wamasai ngoro ngoro.Mnafufua lini kiwanda 😂😂
Acheni porojo, kiwanda cha Yana Tyres nchini Kenya ni mali ya mtu binafsi. Sio cha serikali au shirika lolote lile la kiserikali. Tena serikali ya Kenya haikuhusika, kwenye shughuli yeyote ile ya kufanikisha kampuni yenyewe kuanzisha kiwanda hicho. Wala hawakuchangia hata shilingi moja. Tafuteni mchawi mwingine wa kumlimbikizia lawama.
Safi sana jombaa, pale Sameer Park, waelezee wenzako. Sio kwenye kila jambo wanarukia tu kuwalaumu wakenya. FRANCIS DA DON , acha kueneza chuki dhidi ya nchi yetu. Porojo za aina hiyo, kwenye dunia ya sasa, zimepitwa na wakati.True that nimepiga nao kazi pale Mombasa Road Nairobi
Mhhhh unauakika mkuu ???....yana tyres mbona inamilikiwa na sameer africa au mimi ndo sifahamuKenya si ndio wale waliochukua General tyre YANA, tyre ni ya Mchina wire tupu kuburst shida, labda wafufue ubia na kiwanda kitakachotumia wire
Hizo tyre za General nyingi zilikuwa za nyuzi na Bei ghali ndio tutakaposhindwa
Tena Firestone ni kampuni ambayo imekuwepo nchini Kenya tangia 1969. Kabla ya mmiliki wa Yana Tyres(Sameer Africa) kununua kampuni hiyo, miaka ya 1980s. Sasa sielewi waliiba na sijui kuihamisha hiyo General Tyres, hadi Kenya kivipi. Wakati wamekuwa na kiwanda chao cha matairi ya Firestone. Ambayo baadaye ndio yalibadilishwa jina na kuitwa Yana na mmiliki huyo mpya.Kampuni ya YANA Tyre ilikuwa inaitwaa Firestone Tyre na sio General Tyre
Soma uzi wote sio unadandia kwa mbele mzeeTena Firestone ni kampuni ambayo imekuwepo nchini Kenya tangia 1969. Kabla ya mmiliki wa Yana Tyres(Sameer Africa) kununua kampuni hiyo, miaka ya 1980s. Sasa sielewi waliiba na sijui kuihamisha hiyo General Tyres, hadi Kenya kivipi. Wakati wamekuwa na kiwanda chao cha matairi ya Firestone. Ambayo baadaye ndio yalibadilishwa jina na kuitwa Yana na mmiliki huyo mpya.
Soma uzi wote sio unadandia kwa mbele mzee
Soma uzi wote, acha kudandia kwa mbeleGeneral Tyres Tanzania ilivyohamishiwa Kenya na kuitwa YANA tyres!
Tuanze hapo kwenye hicho kichwa cha uzi wako. Ulishaelezwa kwamba Yana Tyres ilikuwa inaitwa Firestone na sio General Tyres. Mimi nikaongeza kwamba kampuni ya Firestone ilikuwa na kiwanda cha matairi nchini Kenya, tangia mwaka wa 1969. Hayo hayo matairi ya Firestone ndio yanaitwa Yana sasa hivi. Nieleze hapo nimedandiaje uzi wako kwa mbele?
Gesi ya kusini nayo n kaa la Moto kipind hiki mafuta yamepanda ges ingekuwa mkomboz kwa magari yetu na umeme piaGeneral Tyre siku hizi badala ya kuzalisha tyres na bidhaa nyingine za mpira tumeigeuza sehemu ya sherehe za harusi,bonanza na nyama choma haaa haaa kweli waTanzania tumelogwa na aliyetuloga kesha kufa tumebaki kuchangisha fedha za kujenga misikiti,makanisa ......halafu tunalalamika ajira hakuna.
Tumeanzisha vyuo vikuu vingi wahitimu sijui waende wapi ?.Tumewekeza kwenye siasa katika kila kitu.
Mwezi wa tatu tulianzisha project na jamaa zangu tukahitaji watu wanne tu kwaajli ya hiyo project.Nilishangaa zilikuja barua 300 ndani ya siku tatu nikajua tatizo la ajira Tanzania ni kubwa kuliko tunavyoambiwa na wanasiasa.
Wanahabari wetu badala ya kuangalia tatizo la ajira siku hizi wapo mstari wa mbele kuandika ----- badala ya kuangalia matatizo ya watanzania kwa undani wanaangalia na kusifia ghilba za wanasiasa uchwara.
Serekali baada ya kushindwa kuyasimamia mashirika yaliyokuwa yakiwaingizia fedha nyingi kupitia kodi mbali mbali na kuyaacha yajifie kifo cha mende siku hizi imekimbilia kunyakua fedha kutoka mifuko ya hifadhi ya jamii kama NSSF,PPF...........matokeo yake wachangiaji wa hii mifuko inayokaribia kufilisika ni kutunga sheria na kanuni za kuwabana wachangiaji ambao ni wafanyakazi.Pengo la kuiza NBC ambayo ilimliza Mwl Nyerere na mashirika mengi ya umma ambayo yalikuwa yakilipa kodi bila kukwepa kama mashirika ya watu binafsi labda gasi ya kusini itaweza kuziba kiu ya wanasiasa ya kujilimbikizia mali kila wanapopata nafasi.
Nchii Una Mambo mengi ya hivyo yaliyaowahi tendeka. Na bado hatujifunzi..tunazidi tends hovyoooo zaidi.Asante kwa kunipata maarifa zaidi nilikua silifahamu hili MpendaTz