Genge la Kihalifu la Sabaya, ni kweli Hayati Magufuli hakulijua? OCD Hai unafanya nini kazini mpaka muda huu?

Tanganya toto, hakuna kitu hapo....
 
Nimeyakumbuka maneno ya Rais wa awamu ya 6 Mhe.Samia Suluhu Hassan aliwahi kusema ktk.moja ya mikutano yake "Tabia yako inakufuata " sasa kama awali ali foji ID tena ya chombo cha usalama wa nchi na nothing happened.
 
Kwa mwendazake, Sabaya alikuwa juu ya mama. Nashangaa hilo umeshindwa kuliona.

Hata kama unasema huyo Sabaya alikuwa juu ya huyo mama , basi huyo mama alishindwa hata kumchukuliia hatua afisa Ardhi wa Hai ambae yeye mama alijua kuwa alikuwa corrupt?
 
Ni maswali tata sana mbayo tungependa kumuuliza Shujaa. Ni kweli hakujua kuwa mteule wako anatuhumiwa na kufadhili genge la kihalifu?...
Hata weye ulikuwa unajua kilichokuwa kinaendelea!!! Na hukuchukua hatua yeyote kama raia wa nchi hii, hukufanya kitu kwa kuwa ulilinda uhai wako. Mtu kama OCD angefanya nini naye alilinda kibarua chake.
 
Watakuambia kama uhalifu aliufanyia Hai mbona mashtaka yamefunguliwa Arusha hivyo OCD hayajui mabaya ya huyu kada.
 
Dikteta Jiwe alikuwa katili sana, jambo la kushukuru ni kwamba nayeye ni zilipendwa kwa sasa.
 
DSO ndio kazi yake kutoa taarifa za siri kuhusu mwenendo wa hao viongozi. Je huyo wa Hai alikuwa anapeleka taarifa juu ya uharamia wa huyo DC?
Si ndiyo maana leo kafikishwa mahakamani we unadhani uchunguzi na taarifa unaanzaga siku moja kabla mtuhumiwa kufikishwa mahakamani!!!! Taarifa zinaweza kuanza kupelekwa mwaka 2019 mtuhumiwa akapelekwa mahakamani 2022.
 
Ni maswali tata sana mbayo tungependa kumuuliza Shujaa. Ni kweli hakujua kuwa mteule wako anatuhumiwa na kufadhili genge la kihalifu?...
Hakuna ambacho mwendazake alikua hajui kuhusu sabaya, sema alishasema hapangiwi

Na alimuweka hai kwa kazi maalum ambayo aliifanya vizuri kwa wakati ule ila ika m cost kwa awamu hii.
Naamini hata mafungu alonyang"anya waligawana kiaina maana kama wafanyabiashara waliongea na waziri mkuu na kumpa vielelezo na PM akaahidi ku forward kwenye mamlaka ya uteuzi iliishia wapi.

Nasema sipangiwiiiiiii.

Kazi iendeleee

Sent from my SM-G973U using JamiiForums mobile app
 
Kamati ya Ulinzi na Usalama wilaya ya Hai ina maswali ya kujibu.
Walikuwa wapi wakati uharamia wote ukifanyika?
Ole hakufanya uharamia ktk eneo lake tu la kuongoza, alienda hata nje ya mipaka yake, mfano Arusha.
Nako kuna kamati za ulinzi na usalama, mkoa na wilaya, mbaya zaidi kamishna HAMDUN alikuwepo so yuko kilengeoni na mikono salama.

OCD nadhani walizidiwa kwa kumhofia mwendazake naamini walikua wanatoa taarifa kwa siri kwa mamlaka zao ndo kitakachowaokoa

Sent from my SM-G973U using JamiiForums mobile app
 
Si ndiyo maana leo kafikishwa mahakamani we unadhani uchunguzi na taarifa unaanzaga siku moja kabla mtuhumiwa kufikishwa mahakamani!!!! Taarifa zinaweza kuanza kupelekwa mwaka 2019 mtuhumiwa akapelekwa mahakamani 2022.
Kama hiyo ni kweli kuwa uchunguzi hufanywa na tarifa za watuhumiwa hupelekwa kwa wakuu kuchukua hatua,,afisa Ardhi wa Hai hawezi kuwa kazini!!!
 
Ni maswali tata sana mbayo tungependa kumuuliza Shujaa. Ni kweli hakujua kuwa mteule wako anatuhumiwa na kufadhili genge la kihalifu?...
hawa ma OCD, DED na DC trinity in the hell
 
Bora Mungu katuondolea ile laana jiwe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…