KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,187
- 17,167
Haya maongezi uliyadukua mkuu, hadi ku'paraphrase' hivi?Alichosema ni kwamba "Kweli mzee nimechukua kiasi hicho, ila ni kwaajili ya kujiandaa na uchaguzi mkuu huu unaokuja 2020, nimefanya hivyo kukisaidia Chama ili kisitumie hela nyingi kanda ya kaskazini, na nakuahidi Mbowe namuangusha uchaguzi huu. Harudi bungeni. Hizi hela nimechukua kutoka kwa mfanyabiashara anaempa Mbowe jeuri ya kampeni ili nimuangushe Mbowe".
UshahidiNi maswali tata sana mbayo tungependa kumuuliza Shujaa. Ni kweli hakujua kuwa mteule wako anatuhumiwa na kufadhili genge la kihalifu?.
-Kama alijua basi kuna haja ya wananchi Kufungua kesi dhidi ya Rais wa JMT aliyepita kwa kubariki kufanyika uhalifu dhidi ya binadamu kwa raia alioapa kuwalinda.
-Kama si kweli basi kuna haja ya watu wanaohusika na Intelijensia kwa viongozi ya usalama na vetting kuwajibika kuanzia TISS mpaka jeshi la polisi.
-Mpaka muda huu sidhani kama OCD wa hai anapaswa kuwa ofisini kwa hili suala la mkuu na swahiba wake.
-Tume ya maadili ya watumishi wa umma mmetukosea sana watanzania, KUWAJIBIKA NI MUHIMU SANA
View attachment 1808431
Wao pia ni genge la uhalifu,maana silaha za police na police wenyewe walihusika kwa %100Kamati ya Ulinzi na Usalama wilaya ya Hai ina maswali ya kujibu.
Walikuwa wapi wakati uharamia wote ukifanyika?
Ni maswali tata sana mbayo tungependa kumuuliza Shujaa. Ni kweli hakujua kuwa mteule wako anatuhumiwa na kufadhili genge la kihalifu?.
-Kama alijua basi kuna haja ya wananchi Kufungua kesi dhidi ya Rais wa JMT aliyepita kwa kubariki kufanyika uhalifu dhidi ya binadamu kwa raia alioapa kuwalinda.
-Kama si kweli basi kuna haja ya watu wanaohusika na Intelijensia kwa viongozi ya usalama na vetting kuwajibika kuanzia TISS mpaka jeshi la polisi.
-Mpaka muda huu sidhani kama OCD wa hai anapaswa kuwa ofisini kwa hili suala la mkuu na swahiba wake.
-Tume ya maadili ya watumishi wa umma mmetukosea sana watanzania, KUWAJIBIKA NI MUHIMU SANA
View attachment 1808431Ahh
Retaliation inafanywa kisomi bwashee,sasa hivi yuko ananyea kisado,baada ya hapo atakuwa free ball for anyone to give a kickKumbe Wamachame my waoga hivi ...yaani mtu alieapanda kichwani mnamwangalia tu....aisee hata kumroga mlishindwa! Huyu angekuwa kwetu Kalenge angetulia tu...muulizeni Happi alitulia mwenyewe akabaki jukwaani tu!
Kama afisa ardhi alikuwa anapewa back up na Jambazi saambaya hakuna namna Mama angeweza kumfanya lolote bila ridhaa ya hili Jambazi saambaya!Hata kama unasema huyo Sabaya alikuwa juu ya huyo mama , basi huyo mama alishindwa hata kumchukuliia hatua afisa Ardhi wa Hai ambae yeye mama alijua kuwa alikuwa corrupt?
π»πππππ πππππππ ππ£ππ!Wewe ungepigwa life ban kabisa nyie ndiyo mnaifanya JF kuwa ya hovyo kwa kuvuruga mijadala na hoja zenu za kipumbavu
Hakuna Rais aliekua akifuatilia "A - Z" mienendo ya wateule wake kama Magufuli, hata Nyerere hamfikii. Magufuli ilifikia hatua alikiri mbele ya vyombo vya habari kwamba anawafuatilia mpaka maongezi yao kwenye simu....
HerππRetaliation inafanywa kisomi bwashee,sasa hivi yuko ananyea kisado,baada ya hapo atakuwa free ball for anyone to give a kick
Kwani hizo taasisi ndio zinateua viongozi?Ni maswali tata sana mbayo tungependa kumuuliza Shujaa. Ni kweli hakujua kuwa mteule wako anatuhumiwa na kufadhili genge la kihalifu?.......
-Kama alijua basi kuna haja ya wananchi Kufungua kesi dhidi ya Rais wa JMT aliyepita kwa kubariki kufanyika uhalifu dhidi ya binadamu kwa ra
Yani alikuwa anapora Hai na Arusha alikuwa bonge la jambazi alikuwa amalize Arusha aongezewe mkoa na mwingine wa kupora na mwendazake!Makosa mengi alifanya Arusha.Nini tatizo?
Ndiyo, hata mimi naunga mkono hojaUnamaanisha ifunguliwe kesi dhidi ya marehemu?! Au sijakuelewa vizuri?
Hali yake ni mahamumu,j3 anapanda kizimbani kili na j5 manyara,atapelekwa n dom,dar kote huko kapiga matukioLabda maji yakimfika shingoni huyo Sabaya, atawataja wote aliokuwa akipiga nao dili pamoja