Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nisher yupi?
Thenashara=12, ambao ni maswahaba (wanafunzi) sio body guard
Walikuwepo watu ambao ni nje ya hao wanafunzi, pia inaaminika kuwa Yesu alikuwa ni mwanaume wa miraba sita the likes of Samson...
Wanathiolojia wanaamini hivyo kwa kutumia evidence kama ile ya kupindua meza za wanyang'anyi kwenye hekalu, namna Wayahudi walivyopata tabu kumkamata n.k
Hivyo usidhani kuwa Kristo alikuwa mnyonge mnyonge tu...
Hivi ni kweli watu akili zao hazifanyi kazi ya kujua kuwa wanadanganywa hivi?. Wataliwa sana tena kweupeee. Wafanya mazingaombwe karibu wote nadhani wameacha kuonyesha mazingaombwe mashuleni, na sasa wamekuwa wachungaji.
Anatumia vibaya kodi zetu, hawa maafande hawana shughuli nyingine au ndio wanatafuta allowance zao hapo.
Huyu Mtumishi wa Mungu vyeo vyote kampa nani? Hata huyo Papa waMkuu MziziMkavu nadhani umekosea jina la mtumishi wa Mungu majina yake sahihi ni.
Mheshimiwa Dr Nabii na Mtumee Askofu Mkuu Geordavie
Naomba nisichangie chochote hapa