George Ambangile apewa zawadi ya gari na Wasafi FM

George Ambangile apewa zawadi ya gari na Wasafi FM

sinza pazuri

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2014
Posts
3,344
Reaction score
9,066
Mchambuzi nambari moja wa soka hapa Tanzania, George Ambangile PhD amezawadiwa gari kwa mtindo wa surprise.

Ambangile ambaye amefanikiwa kuzima vipindi vyote vya uchambuzi wa soka bongo, amekuwa kipenzi cha wanakandanda kwa ustadi wake mkubwa wa kuifundisha soka redioni maana anachofanya ni zaidi ya uchambuzi anakufanya msikilizaji uelewe, ukujumuike kiwanjani na uone soka ni mchezo rahisi sana na wakuinjoi.

Hii ni muendelezo wa wasafi media kuwapa motisha wafanyakazi wanaofanya vizuri.

MaRaia wanasema bado Sanya!

1619606846945.png
 
Hvi hamna zawadi nyingine ni gari tuuu ? Kila mtu anapewa gari duuh..... Kuna nin nyuma ya pazia kwenye hzi gar ..au ndo ibada yetu ileeeee...ngoja tuone kuna watu watazitapika hzo gar mbeleni
Sasa wewe ulitaka watu wapewe zawadi gani? haya basi kawachagulie zawadi za kutoa mnawqza shirki tu wabongo ndio maana amuendelei.
 
Hilo gari linaendana na kipato chake sio mnamletea gari anaanza kuteseka kwenye mafuta
😂😂😂😂 sasa mafuta si yatamtesa yeye mbona unapanic mkuu. Ambangile anakuwa soon atakuwa pundit mwenye pesa nyingi bongo so hata ingekuwa H2 bado anatakiwa aanze kuzoea level hizo
 
Back
Top Bottom